Ulijisikiaje siku ya kwanza umehamia kwenye nyumba yako?

Pongezi kwenu wote mliofanikiwa kujenga na mnaopambana kujenga,kwa itakaye mpendeza naomba kupata Picha ya Chumba kimoja,sebule na jiko ili na mimi nijipange.asante
usisononeke mkuu
mbuyu ulianza kama mchicha
weka nia tu kwake yote yanawezekana
 
Pole sana mkuu
 
Daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…