Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmnh 🤔🤔.. Hii imekaaje kaaje😂😂Mtoto wa kike niliyemuacha mdogo sana,nilikuta mtoto wake amemaliza form 4.
Ahahahah 😂😂😂...Nilijua umri umeenda baada yakumuona mtoto wakiume wakaka yangu aliezaliwa 2001 anazaliwa namuona halafu eti analingana umri na binti naemdate Kwa sasa. Nimeshangaa Sana najiona nimezeeka sasa.
UFATAKI huoNilijua umri umeenda baada yakumuona mtoto wakiume wakaka yangu aliezaliwa 2001 anazaliwa namuona halafu eti analingana umri na binti naepiga Kwa sasa. Nimeshangaa Sana najiona nimezeeka sana.
Mkuu nihatarii.Ahahahah 😂😂😂...
Nakazia😂UFATAKI huo
Fanya uachane nae bhana... Ni mwanao huyo ujueMkuu nihatarii.
Si tunaangalia tarehe ya kuzaliwa?
UFATAKI GANI MKUU, 2001 KAZALIWA KWA SASA ANA MIAKA 23, INGEKUA CHINI YA MIAKA 18 UNGEKUA NDIO UFATAKI BY THE WAY NIPO JIRANI YAKO HAPA BONYOKWA NJOO TUYAJENGE MKUU.UFATAKI huo
Sio mwanangu utofaut wetu ni miaka 10/12 so siwezi hata kumzaa, halafu naweza kumuoa navyoona kabisa.Fanya uachane nae bhana... Ni mwanao huyo ujue
🤣🤣🤣🤣 Bonyokwa nimehama jana, nipo gomzUFATAKI GANI MKUU, 2001 KAZALIWA KWA SASA ANA MIAKA 23, INGEKUA CHINI YA MIAKA 18 UNGEKUA NDIO UFATAKI BY THE WAY NIPO JIRANI YAKO HAPA BONYOKWA NJOO TUYAJENGE MKUU.
Tena anajisifu anavyofanya uharibifu 🤣🤣🤣Nakazia😂