RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Acha roho mbaya mkuu hebu njoo PM tuyajenge. Nataka niwe natoka nimevaa taulo kwenye mjengo wako huu wa bonyokwa .😃🤣🤣🤣🤣 Bonyokwa nimehama jana, nipo gomz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha roho mbaya mkuu hebu njoo PM tuyajenge. Nataka niwe natoka nimevaa taulo kwenye mjengo wako huu wa bonyokwa .😃🤣🤣🤣🤣 Bonyokwa nimehama jana, nipo gomz
Mkuu nataka nimuoe Binti bado mbichi sana. 😃Tena anajisifu anavyofanya uharibifu 🤣🤣🤣
Huyu ndio ile mizee ikiipa mkono kuisalimia inakutekenya 🤣
Kama Ni main na sio mchepuko sawaSio mwanangu utofaut wetu ni miaka 10/12 so siwezi hata kumzaa, halafu naweza kumuoa navyoona kabisa.
Haki nimecheka Kwa sauti😂😂😂..au Anakupiga piga begani🥲🤣🤣Tena anajisifu anavyofanya uharibifu 🤣🤣🤣
Huyu ndio ile mizee ikiipa mkono kuisalimia inakutekenya 🤣
Ndio nataka nioe mkuu nitoke chama Cha KATAA NDOA, mtoto yupo vizuri Hana mambo mengi, halafu eti ananiamkia 😃.Kama Ni main na sio mchepuko sawa
Asa si umemzidi umri jamani😂😂Ndio nataka nioe mkuu nitoke chama Cha KATAA NDOA, mtoto yupo vizuri Hana mambo mengi, halafu eti ananiamkia 😃.
Kwangu pia hivyo hivyo. Kila ninayekutana naye hunipa hizo Shikamoo. Siyo Shikamoo tu bali wanaongeza "Shikamoo Mzee". Ni wachache sana ambao mimi huwapa hiyo salaam.shikamoo zinakuwa nyingiii.. kila sehemu unaitwa blazaaaa
Wacha weee 😂😂😂😂😂Acha roho mbaya mkuu hebu njoo PM tuyajenge. Nataka niwe natoka nimevaa taulo kwenye mjengo wako huu wa bonyokwa .😃
Ni mimalaya sana 🤣🤣🤣Haki nimecheka Kwa sauti😂😂😂..au Anakupiga piga begani🥲🤣🤣
Em tulia Kwan,,,Kwahiyo ulirudisha😂🧐🧐Ni mimalaya sana 🤣🤣🤣
Kuna moja lilinipa laki eti ninunue bundle, nikaliuliza ww kwenye simu yako una bundle hata la elfu 20..???
Nimecheka sana eti ni "MIMALAYA" mie kijana mwezio kabisa wa 90S, Inapaswa nioe mtoto wa 2000S, Hawa tunaolingana wanaolewa na watu waliozaliwa 80S. Ndio heshima inakuwepo ndani ya nyumba, unakua umemzidi Kila kitu binti.Ni mimalaya sana 🤣🤣🤣
Kuna moja lilinipa laki eti ninunue bundle, nikaliuliza ww kwenye simu yako una bundle hata la elfu 20..???
Ww umezeeka unataka kumtisha binti wa watu na mvi zako za ikulu 😂Mkuu nataka nimuoe Binti bado mbichi sana. 😃
Nimtihani kiukweli lakini huwa naitika kabisa.Asa si umemzidi umri jamani😂😂
Watoto wa siku hizi vichomi, kuna kapo kamemaliza form 4 ndio matokeo yametoka kananiita baby oooh hii dunia hahsTena anajisifu anavyofanya uharibifu 🤣🤣🤣
Huyu ndio ile mizee ukiipa mkono kuisalimia inakutekenya 🤣
Bado sana ndio niko kwenye 31/33. Ndio muda sahihi wakuoa hasa Kwa sisi watu wa Bara.Ww umezeeka unataka kumtisha binti wa watu na mvi zako za ikulu 😂
Nirudishe nimerogwa..??? Unantania ww.!!Em tulia Kwan,,,Kwahiyo ulirudisha😂🧐🧐
Hapo ndo tutaenda vizuri sasa,,, enhe ikawaje😂😂😂Nirudishwe nimerogwa..??? Unantania ww.!!
Mkinga nirudishe pesa?? 🤣🤣🤣🤣
Noti zina picha ya Nyerere hazina picha ya mzee Tweve oooh!!
Kwani uongo.?? 🤣🤣🤣Nimecheka sana eti ni "MIMALAYA" mie kijana mwezio kabisa wa 90S, Inapaswa nioe mtoto wa 2000S, Hawa tunaolingana wanaolewa na watu waliozaliwa 80S. Ndio heshima inakuwepo ndani ya nyumba, unakua umemzidi Kila kitu binti.