Ulijuaje kuwa umri wako umeenda?

Ulijuaje kuwa umri wako umeenda?

Nirudishwe nimerogwa..??? Unantania ww.!!
Mkinga nirudishe pesa?? 🤣🤣🤣🤣
Noti zina picha ya Nyerere hazina picha ya mzee Tweve oooh!!
Kuna Mzee mmoja yupo Tanga anamiaka kama 70 anakuambia mabinti wanapenda sura ya Nyerere na Mwinyi tu, hawaamgalii sura yamtu mwingine, kwahio yeye anapiga mabinti wadogo tu, ilikradi anawaaachia sura ya Nyerere na Mwinyi.
 
Back
Top Bottom