EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Aisee sijawahi kuhukumiwa Ban ninaogopwa na wapiga ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mimi huwa nasema hivyo mara nyingi na ban sipewi, sikua najua kama ni kosanlipigwa ban mwezi mzma kwa kusema id fulani ndo fulani
nkapigwa ban kwa kuandika neno mkondo wa maji na mhluhogo
Sikua najua Mwanaume akiitwa Zuchu ni tusi yaan unabanduliwa we ZuchuNgoja na mini nitukane wanipige ban maana kutopigwa ban naonekana kama zuchu TU!
Tusi kubwa hiloSikua najua Mwanaume akiitwa Zuchu ni tusi yaan unabanduliwa we Zuchu
Ebwana nilipigwa ban Nusu MwakaSasa hiki cha kumpa mtu ban?
dah kwani mi nilijua kuwa mkondo ni ni kosa mkuu...? na nashangaaga wengi wanaandika hvo na hawapgwi ban tena ya mwezi bora ata nngepgwa week au siku nilionewa sana ilikua tarehe 1-1-2023 mpka tarehe 1-2-2023 watu wanapndelewa humu acha tu😆😆Mbona mimi huwa nasema hivyo mara nyingi na ban sipewi, sikua najua kama ni kosa
Mtu ukiwa banned unajuaje mkuu mana kuna sisi hatujui chochotedah kwani mi nilijua kuwa mkondo ni ni kosa mkuu...? na nashangaaga wengi wanaandika hvo na hawapgwi ban tena ya mwezi bora ata nngepgwa week au siku nilionewa sana ilikua tarehe 1-1-2023 mpka tarehe 1-2-2023 watu wanapndelewa humu acha tu😆😆
kwenye avatar yake tu inaandikwa banned😆 mtafute Mbaga Jr uyu bingwa kabsa kila week anakula ban ila wanampndelea anapgwa ban fupi fupi ss wengne tunapgwa mwana ukomeMtu ukiwa banned unajuaje mkuu mana kuna sisi hatujui chochote
Ukiona hvy ujue huna umuhimu huku JF, umuhimu wako unaonekana kwa kutofautiana mawazo na member wengne hvy kupelekea kukushtaki kisa umewaambia ukweliKwakweli miaka yangu yote hii JF since 2011 mpaka Leo sijawahi kupigwa BAN. Sasa sijui kwasababu ya upole na kuwachukulia members wengine kama watu wangu wa karibu na kuepuka mabishano yasiyokuwa na msingi😀🍿
Hiyo alama ni signallers full stop, ina ubaya gani au ina maana tofauti?Nili-reply kwenye post flani kwa kuweka (.) bila kuandika kingine chochote.
i.e niliweka alama .
Na umerudia emoji, ngoja wambea wakushtaki tena upigwe ban nyngnNilitunga kimasihara yenye uongo uliokubuhu. Jamaa akareply neno "Chai" nika-reply dole nikalimwa ban kwa matumizi mabovu ya emoji🖕
Mr banner ktk ubora wako tenaBan mwana ukome halafu kuna hiyo Ban mama mkanye mwanao 😂
Haina maana tofauti mbaya, ila ndo hivyo tena nilikutana na kitu kizitoHiyo alama ni signallers full stop, ina ubaya gani au ina maana tofauti?
Mkuu walikuonea bure.Haina maana tofauti mbaya, ila ndo hivyo tena nilikutana na kitu kizito