Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana tunalalamikia mengi juu ya mods humu JF, kuna muda wanafanya maamzi ambayo unabaki mdomo wazi.Mkuu walikuonea bure.
Hiyo ni full stop ya signallers bhana!
Hayo mashtaka huwa yanapelekwa wapi? Yanapelekwaje?? Yaani unamshtaki vipi mtu??Ukiona hvy ujue huna umuhimu huku JF, umuhimu wako unaonekana kwa kutofautiana mawazo na member wengne hvy kupelekea kukushtaki kisa umewaambia ukweli
Acha UpumbavuNimepigwa sana Ban hapa JF na kosa langu almost ni la aina hiyo hiyo tu ila sitaacha,
Mtu akinitukana au kutumia lugha ya hovyo kwangu,nampokea kama alivyo kuja ili tuende sawa.
Naona unataka kuthibitisha hicho nilichokiandika sio?
[emoji1][emoji1][emoji1] Nimethibitisha maneno yako Mkuu, Sirudii tena kukuchokozaNaona unataka kuthibitisha hicho nilichokiandika sio?
sio poa nakumbuka mwez uliopta tulipgwa ban ya pamoja naona m nlipgwa mwanaukome mwanang ukapgwa ya kawaida tu week ukarud ila nkawa naona kila week unakula ban 😂 m nmeamua kuwa mpole tuBan mwana ukome halafu kuna hiyo Ban mama mkanye mwanao 😂
Yule mpuuzi aliyefanya nipigwe ban ya wiki sasa jana usiku baada ya ban kuisha nikamfata tena kumwambia ban imeisha hvy tuendelee ety akanishitak tena jana hy hy nikapigwa ban nyngn ya wiki ila nikaenda Twitter nikawaambia JF sio fair wanachonifanyia then asubuhi hii naona ban wameitoasio poa nakumbuka mwez uliopta tulipgwa ban ya pamoja naona m nlipgwa mwanaukome mwanang ukapgwa ya kawaida tu week ukarud ila nkawa naona kila week unakula ban 😂 m nmeamua kuwa mpole tu
Huyo uliyemuita nyumbu alikua ni mod kwenye id yake ya kuchit chat😂Sijawahi kula ban toka nijiunge, ila nilipewa onyo na mod huko pm, kisa nilimwita jamaa mmoja nyumbu.
Humu JF ukiwa wote mnatukanana afu mwenzako akawahi kukushtaki bc ww pekee yako ndio unapigwa ban afu huyo mpuuzi mwngn anaachwa utadhani ulikuwa unatukana pekee yako.Nimepigwa sana Ban hapa JF na kosa langu almost ni la aina hiyo hiyo tu ila sitaacha,
Mtu akinitukana au kutumia lugha ya hovyo kwangu,nampokea kama alivyo kuja ili tuende sawa.
Kwenye comment au mada ya mtu utaona kuna kipengele kinaitwa report upande wa mkono wa kushoto hapo ndipo unapoandika kosa la huyo mhusika kama amekutukana unasema amekutukana n.kHayo mashtaka huwa yanapelekwa wapi? Yanapelekwaje?? Yaani unamshtaki vipi mtu??
Kuna wapuuzi wengi humu huwez kuwavumiliaMr banner ktk ubora wako tena
Ilikuwa jukwaa la siasa kipindi cha uchaguzi, I was Pro JPM vibaya mno, jamaa wa CDM nikamwita nyumbu baadae naona pm ina kizungu cha kufa mbwa...Huyo uliyemuita nyumbu alikua ni mod kwenye id yake ya kuchit chat😂
Ukaogopa😜Ilikuwa jukwaa la siasa kipindi cha uchaguzi, I was Pro JPM vibaya mno, jamaa wa CDM nikamwita nyumbu baadae naona pm ina kizungu cha kufa mbwa...
😂😂 mods wanaleta ukiritimba sana aiseeYule mpuuzi aliyefanya nipigwe ban ya wiki sasa jana usiku baada ya ban kuisha nikamfata tena kumwambia ban imeisha hvy tuendelee ety akanishitak tena jana hy hy nikapigwa ban nyngn ya wiki ila nikaenda Twitter nikawaambia JF sio fair wanachonifanyia then asubuhi hii naona ban wameitoa
View attachment 3010008
Mods wanazingua sana ndio mana JF haiendi mbele😂😂 mods wanaleta ukiritimba sana aisee