ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hakuna kuogopa, hapa tu nataka ban ya miezi sita nikae mbali na jf.Ukaogopa😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kuogopa, hapa tu nataka ban ya miezi sita nikae mbali na jf.Ukaogopa😜
Kwahiyo huwezi kuamua kukaa mbali na jf kwa muda huo hadi upigwe ban?Hakuna kuogopa, hapa tu nataka ban ya miezi sita nikae mbali na jf.
Nimejaribu nikashindwa, mara kadhaa tu!Kwahiyo huwezi kuamua kukaa mbali na jf kwa muda huo hadi upigwe ban?
Tayari nimeshakuombea ban ya miezi 6, acha tuone kama watakubali ombi langu🤸Muite, mwambie kabisa nataka kuwa offline miezi sita hadi mwaka!
Umeombaje?Tayari nimeshakuombea ban ya miezi 6, acha tuone kama watakubali ombi langu🤸
Habari,Hayo mashtaka huwa yanapelekwa wapi? Yanapelekwaje?? Yaani unamshtaki vipi mtu??
Kwani nilisema sina utulivu wa akili mkuu!!
Unanipangia cha kuwaambia mods? 😎Kwani nilisema sina utulivu wa akili mkuu!!
Yaani kweli katika uchaguzi wako wa maneno ukaona sina utulivu wa akili?😭😭😭Unanipangia cha kuwaambia mods? 😎
Usilie! Muhimu ukila ban nijue pa kukupata nikikumiss☺️Yaani kweli katika uchaguzi wako wa maneno ukaona sina utulivu wa akili?😭😭😭
kbsa yaan mbya zaidi ktu kidg kupga ban au kufuta nyuzi za watuMods wanazingua sana ndio mana JF haiendi mbele
Na bado unarudia kuweka tena. 😂😂😂😂Nili-reply kwenye post flani kwa kuweka (.) bila kuandika kingine chochote.
i.e niliweka alama .
Unajua namna ya kumbembeleza baba akilia? Men hawalii...Usilie! Muhimu ukila ban nijue pa kukupata nikikumiss☺️
😎Kwamba jf basi tena? Kisa? Mbona hatujakukosea kituUnajua namna ya kumbembeleza baba akilia? Men hawalii...
Nikila ban ndio imetoka hiyo, nitatafuta hobby nyingine.
Kwamba ni vibaya mtu kubadilisha hobby? Miaka 11 inatosha sana, kuna hobbies zingine nyingi tu.😎Kwamba jf basi tena? Kisa? Mbona hatujakukosea kitu
Sawa.Kwamba ni vibaya mtu kubadilisha hobby? Miaka 11 inatosha sana, kuna hobbies zingine nyingi tu.