Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Tuwekee hapa kisa chako huenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa kama amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
 
Tuewekee hapa uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.

Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.

Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaahaa pole mkuu yote maisha endelea kupigania ndoto
 
Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.

Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu naomba unipe tofauti ya hivyo vitu viwili
 
Tuewekee hapa uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Nikiwa bado shababy miaka hiyo Dodoma, 2008!, kazi, nyumba, niliwekewa mpaka house girl na mlinzi na kampuni, Sina mke, wala mtoto, mi Gym na muviii tu.

Badala ya kuwekeza kununua ardhi, nikanunua gari la kutembelea tu! Kampuni ilipokufa, nikapata kazi nyingine, maokoto kiduchu! Gari nikauza! Laiti ningenunua ardhi Leo ningekuwa bilionea.

Kuna Dogo tulikuwa wote kazini, aliuza ardhi yake kwa bilioni 1.5 kwa NSSF! Sasa hivi ana nyumba kama 10 hivi!
Mie bado nachechemea! Hatari Sana,
Wekeza kwanza kwenye ardhi.
 
Kutanguliza ,kuwaza, na kufikiria hela badala ya kufikiria kupata ujuzi baada tu ya kutoka chuo. Nimepata kazi ya kwanza mwezi wa name na huku nimehitimu July , nikaambiwa laki tano nikaomba laki nane.
Baaada ya hapo nilipigikaje hata ya 300 ikakosa kazi.
Sasa bana ukipata ujuzi ndio ishu hela Ni outcome of having the skills
 
Sina ninachojutia. Kila nilichopitia kilikuwa daraja la kunifikisha nilipo hivi sasa.
Najitahidi kuwa bora, nisiwe kama nilikotoka.

Majuto yafaa nini ikiwa maisha ni sasa?
Anza kuishi sasa, achana na yaliyopita.
 
Tuewekee hapa uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Wenye mapenzi ya kweli wapo, wanaojali wapo sema hujawahi kukutana nao, so usitoe mjumuisho wa jumla ila hapo kwenye umakini uko sahihi.
 
Back
Top Bottom