Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Mtu unajutaje una miaka 45 kurud chini aisee. Broda no time to waste. Jikubali chukua hatua anzia ulipo. Mbona bado una muda wa kurekebisha. Wanajuta wenye miaka 70 na kuendelea bana acheni utan
 
Kuoa mwanamke mwenye msimamo, kama mwanamme usioee, Mimi nilijua huyu ndo hatachepuka ni kweli ila Hana hayo mambo ila Kama naishi na mwanamme mwenzangu, hakuna kujishusha,hakuna kuomba msamaha, labda uamue wewe kumsamehe maisha yaendelee( wivu ndo uloniponza)
 
share mapito yako mabaya ili wengine tujifunze kupitia wewe, ndio lengo la mleta uzi
 
Duuh hio ni one of perspectives from another angle , je umemaanisha kupunguza maana na thamani ya mtoto au umewaza tu kuhusu bahati nasibu kwa aina ya matarajio yake? May be yes may be no, tumeshuhudia wengi wakipewa nyumba mitaji na wako mbali, kuna mkataa chema pia hupata kibaya what if kama yule tajiri alikuwa mwema mwenye changamoto ndani ya ndoa yake. Mungu ni wa ajabu katika upana wake
Tatizo la watu wengi ninkuishi kwa assumptions.. what if ..what if nyiiingi.. hayo uliyoona na huko na watu hawafanani
 
Back
Top Bottom