Limbalangule
Senior Member
- Jun 14, 2023
- 131
- 264
Kwanini ujute kuoa mtumishi wakati anakuletea mshahara?Kuoa mtumishi....aiseee achana na hawa viumbe ni hatari sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ujute kuoa mtumishi wakati anakuletea mshahara?Kuoa mtumishi....aiseee achana na hawa viumbe ni hatari sana.
Mkuu npo apa Singida Ilongero inabidi unipe mfano halisiKuoa mwanamke wa Singida
Movie Inanzia hapo Sasa!!Nikiwa bado shababy miaka hiyo Dodoma, 2008!, kazi, nyumba, niliwekewa mpaka house girl na mlinzi na kampuni, Sina mke, wala mtoto, mi Gym na muviii tu.
Badala ya kuwekeza kununua ardhi, nikanunua gari la kutembelea tu! Kampuni ilipokufa, nikapata kazi nyingine, maokoto kiduchu! Gari nikauza! Laiti ningenunua ardhi Leo ningekuwa bilionea.
Kuna Dogo tulikuwa wote kazini, aliuza ardhi yake kwa bilioni 1.5 kwa NSSF! Sasa hivi ana nyumba kama 10 hivi!
Mie bado nachechemea! Hatari Sana,
Wekeza kwanza kwenye ardhi.
Dont be judgemental mkuu,uzi unaelezea watu wanavyojutia ,ww unacrtice majuto yake,sio sawa.Nikupe pole kwa kuwaza kijinga namna hii..unafikiri kuzaa na tajir ndionilikua ticket ya mtaji eeh?? Pole sana sana tena mshukuru Mungu hukuzaa nae.
Probably ungezalishwa na kutelekezwa juu sasa imagine sasa hiv tu huna mtoto ila ngoma ngumu, ungekua nae je??
Kuwa mzazi (hasa mama) ni jukum zito sana.
- kuna limit freedom yako
- kuna limit fursa zako (yan kuna fursa hutakaa uchukue hata kama ziko wazi kisa wewe ni mzazi una mtot)
- kuna options zako juu ya nini ufanye (maana kila jambo utasukumwa kufikiri sio interests zako tu bala na za mtegemeze wako yaan mtoto).
Mambo ni mengi
Duuhh..kwahiyo hivyo ndio kuwa judgemental ?Dont be judgemental mkuu,uzi unaelezea watu wanavyojutia ,ww unacrtice majuto yake,sio sawa.
Huo mshahara wake atakufanya zamwamwa yani uwe unamnyenyekea kwa kila kitu...
Mkuu alikuwa nakutesa au?Huo mshahara wake atakufanya zamwamwa yani uwe unamnyenyekea kwa kila kitu...
Nilioa make mwenye kiburi sina Raha na tushapata watoto naona Soo kumtemamkuu kuoa mbn ni jambo jema au kwako ulioa mapema sn au ilikuwaje?
Ukioa mwanamke wa kinyaturu jiandae na haya yafuatayo au zaidiMkuu npo apa Singida Ilongero inabidi unipe mfano halisi
Hongera kwa uwezo huoUchungu ninao ila nachojivunia ni skills za kuhandle uchungu...
Nipo na knowledge kubwa sana kudondoshwa na break up..
Yaani uwezo wangu wakuishi na hisia zangu,kuijua process ya stress inavyoenda...
Mtu hawezi kusema ukae na mwanamke uchumba miaKa 6 ndoa miaka 4 halafu kaachana nae bila kuwa na uchungu..
I am strong enough to be vulnerable,In fact alivyoniambia nilijifungia chumba cha pili siku nzima nalia tu na huo ni uchungu..I was disappointed sana hasa na ukweli kwamba hawezi kuwa na thamani ile ile machoni pangu milele...Nadhani ili liliniuma kuzidi hata usaliti wenyewe na hata kuachana kwetu nilimwambia umekosa kibali machoni pangu hivyo na mimi siwezi kuishi na mwanamke ambaye siwezi kujivunia popote.
Sasa nikiamua jambo langu ndo uwaga sishindwi nina mindset ya kipekee sana.
Mkuu npo apa Singida Ilongero inabidi unipe mfano halisi
sawa. ukachukue wanao wameshakuwa wakubwa saiviIlongero aisee nilisoma apo Ilongero secondary kidato cha 5. Tulikula sana mbususu za wenyeji
Ukioa mwanamke wa kinyaturu jiandae na haya yafuatayo au zaidi
1. Uchawi
2. Wivu kupindukia ambao humpelekea mwanamke kukurndea kw amganga(hapa mama na mwana hushikamana)
3. Jiandae kutawaliwa (Ukiwa mbishi hata kwa limbwata utatawalika tuu)
4. Viburi balaa
5. Wanaushirikiano na kaka zao kukukandamiza
6.Atasaidia ndugu zake zaidi(waambie ndugu zako wajiandae kunyanyasika)
7.Watoto watapajua kwao zaidi kuliko kwenu(kuna mfumo hutengenezwa hapa)
8.Usiamini kila unayeambiwa ndugu ni ndugu mara nyingi wanakulana hata ndugu
9.Wavumilivu
10.Wanajua kutunza na kusimamia familia
11.Wamekeketwa
12.Ni warahisi kugegedwa nje na mwanaume mwingine
13.Na zingine nyingi tuu ukishamsogeza utaziona mkuu.
mkuu hawa si ndo wanatajika sana uko mijini kwa uzuri yani ni kama hawaingii bafuni vile auUkioa mwanamke wa kinyaturu jiandae na haya yafuatayo au zaidi
1. Uchawi
2. Wivu kupindukia ambao humpelekea mwanamke kukurndea kw amganga(hapa mama na mwana hushikamana)
3. Jiandae kutawaliwa (Ukiwa mbishi hata kwa limbwata utatawalika tuu)
4. Viburi balaa
5. Wanaushirikiano na kaka zao kukukandamiza
6.Atasaidia ndugu zake zaidi(waambie ndugu zako wajiandae kunyanyasika)
7.Watoto watapajua kwao zaidi kuliko kwenu(kuna mfumo hutengenezwa hapa)
8.Usiamini kila unayeambiwa ndugu ni ndugu mara nyingi wanakulana hata ndugu
9.Wavumilivu
10.Wanajua kutunza na kusimamia familia
11.Wamekeketwa
12.Ni warahisi kugegedwa nje na mwanaume mwingine
13.Na zingine nyingi tuu ukishamsogeza utaziona mkuu.