Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Uchungu ninao ila nachojivunia ni skills za kuhandle uchungu...

Nipo na knowledge kubwa sana kudondoshwa na break up..

Yaani uwezo wangu wakuishi na hisia zangu,kuijua process ya stress inavyoenda...


Mtu hawezi kusema ukae na mwanamke uchumba miaKa 6 ndoa miaka 4 halafu kaachana nae bila kuwa na uchungu..

I am strong enough to be vulnerable,In fact alivyoniambia nilijifungia chumba cha pili siku nzima nalia tu na huo ni uchungu..I was disappointed sana hasa na ukweli kwamba hawezi kuwa na thamani ile ile machoni pangu milele...Nadhani ili liliniuma kuzidi hata usaliti wenyewe na hata kuachana kwetu nilimwambia umekosa kibali machoni pangu hivyo na mimi siwezi kuishi na mwanamke ambaye siwezi kujivunia popote.

Sasa nikiamua jambo langu ndo uwaga sishindwi nina mindset ya kipekee sana.
Aisee nakuelewa sana. A man should feel proud for his other half. When you are proud then you can surely protect her. If you can't control how can you protect?
 
Kumpa Mimba mnyakyusa,seee wanamatusi na zeleeu wale watu....nimeoa mwingine lkn mpaka Leo nikiona anapiga natakani kujificha.Ningejua hata kumsimamisha nisingethubutu.
Hahaa hatimae wanyaki wamefikiwa. daah pole kwa kujichomeka uko kwenye ngenga aisee,,,jichunge sana aisee mnyaki hakawii kukukata mbata za uso
 
Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.

Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hata wewe umejiongeza mkuu. Kuna wengine wamemaliza chuo bado wanaomba hela ya vocha/bando na sabuni kutoka kwa walioishia la 7.
 
Tuwekee hapa kisa chako huenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa kama amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Kuishabikia Simba na Manchester United
 
Kumwacha mtu niliyempenda zaidi aende kirahisi, sijapata mwingine kama yule tena , ushauri wangu ni huu kama unampenda mtu na unaona kabisa unavutiwa nae na yeye anakupenda shetani akiingia Kati mwondoe shetani na hakikisha unabaki na umpendae.
Ushauri mzuri huu.Nimeuchukua,huyu my wangu tutakufa na kuzikana no matter what.
 
Back
Top Bottom