Tate top G
Senior Member
- Jan 4, 2023
- 171
- 587
Kifupi na tumeachana...kwani nazuiwa kuishi maisha yangu?Mkuu mademu wa chuo tena.
Acha utoto,,,,wewe hukuwahi kusaliti wapenzi wako??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifupi na tumeachana...kwani nazuiwa kuishi maisha yangu?Mkuu mademu wa chuo tena.
Acha utoto,,,,wewe hukuwahi kusaliti wapenzi wako??
Ur right,,but mademu wa chuo watoto.Kifupi na tumeachana...kwani nazuiwa kuishi maisha yangu?
Aisee nakuelewa sana. A man should feel proud for his other half. When you are proud then you can surely protect her. If you can't control how can you protect?Uchungu ninao ila nachojivunia ni skills za kuhandle uchungu...
Nipo na knowledge kubwa sana kudondoshwa na break up..
Yaani uwezo wangu wakuishi na hisia zangu,kuijua process ya stress inavyoenda...
Mtu hawezi kusema ukae na mwanamke uchumba miaKa 6 ndoa miaka 4 halafu kaachana nae bila kuwa na uchungu..
I am strong enough to be vulnerable,In fact alivyoniambia nilijifungia chumba cha pili siku nzima nalia tu na huo ni uchungu..I was disappointed sana hasa na ukweli kwamba hawezi kuwa na thamani ile ile machoni pangu milele...Nadhani ili liliniuma kuzidi hata usaliti wenyewe na hata kuachana kwetu nilimwambia umekosa kibali machoni pangu hivyo na mimi siwezi kuishi na mwanamke ambaye siwezi kujivunia popote.
Sasa nikiamua jambo langu ndo uwaga sishindwi nina mindset ya kipekee sana.
AiseeeSawa braza kende
surelyAisee nakuelewa sana. A man should feel proud for his other half. When you are proud then you can surely protect her. If you can't control how can you protect?
Shukuru Mungu huo usimamizi wa fedha ungekusaidia Nini [emoji2]Nilikimbilia kusoma uwalimu badala ya usimamizi wa fedha
Hahaa hatimae wanyaki wamefikiwa. daah pole kwa kujichomeka uko kwenye ngenga aisee,,,jichunge sana aisee mnyaki hakawii kukukata mbata za usoKumpa Mimba mnyakyusa,seee wanamatusi na zeleeu wale watu....nimeoa mwingine lkn mpaka Leo nikiona anapiga natakani kujificha.Ningejua hata kumsimamisha nisingethubutu.
Pambana nao kiburi ndio iwe lugha yakoHahaa hatimae wanyaki wamefikiwa. daah pole kwa kujichomeka uko kwenye ngenga aisee,,,jichunge sana aisee mnyaki hakawii kukukata mbata za uso
mkuu kuoa mbn ni jambo jema au kwako ulioa mapema sn au ilikuwaje?
Unapeleka lawama kwa baba ili kuficha uvivu wakoKusoma medicine badala ya engeering kisa kufuata ushauri wa baba sasa nina miaka 30 npo kazini tu Kila nikiomba ata nafasi ya kujitolea sipati kazi wakati rafiki zangu waliosoma engeering wako vizuri kwenye maisha
ni kweliUr right,,but mademu wa chuo watoto.
Achana nao,,,,,juct focus
Ungeweza kweli kuvumilia matusi ya Mpwayungu village anayowatukana walimu kila siku hapa JF?Ni course gani umesoma mkuu Mimi pia najuta Bora ningesoma ualimu saivi ningekua zangu mwalimuuu
Sio bongo tu, kuzaliwa Afrika ni shida sana.daa ishu ya mi kuzaliwa bongo ilikuwa sio aisee
Factni kweli
Bora hata wewe umejiongeza mkuu. Kuna wengine wamemaliza chuo bado wanaomba hela ya vocha/bando na sabuni kutoka kwa walioishia la 7.Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.
Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuishabikia Simba na Manchester UnitedTuwekee hapa kisa chako huenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.
Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa kama amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.
Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.
Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Ushauri mzuri huu.Nimeuchukua,huyu my wangu tutakufa na kuzikana no matter what.Kumwacha mtu niliyempenda zaidi aende kirahisi, sijapata mwingine kama yule tena , ushauri wangu ni huu kama unampenda mtu na unaona kabisa unavutiwa nae na yeye anakupenda shetani akiingia Kati mwondoe shetani na hakikisha unabaki na umpendae.