Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Tuwekee hapa kisa chako huenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa kama amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Kula Sambusa IRINGA!!!
 
Kupenda mashangazi. Sasa hivi kila nikiingia kwenye mahusiano yale ya serious, ninaokuwa nao wananiambia nadeka sana.

Lakini hata Mimi huwa nawaona ni wakali wakali, hivyo tunaishia kuachana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
11. Haolewi au kudumu kwenye ndoa 1
Wapo majasiri wanaoa ila kumridhishaa mwanamke wa aina hii kunahitaji ubunifu wa hali ya juu sanaa saana yaani kuna mavitu vitu
Wapo wanadumu ila hapa unakuta mume kawa kama boya
 
Kosa langu ni kuwa na kiburi kupita kiasi wakati nilipokuwa na mpenzi tuliyependana sana. Nilijiona mimi kidume sipaswi kujishusha na lazima mwanamke afuate amri zangu. Alichoka akaniacha na hakuwahi kurudi nyuma. Nilitumia hadi viongozi wa dini kumshawishi asamehe akagoma. Baada ya hapo ndo nikaanza kukutana na magaidi wa mapenzi.
 
Kupenda mashangazi. Sasa hivi kila nikiingia kwenye mahusiano yale ya serious, ninaokuwa nao wananiambia nadeka sana.

Lakini hata Mimi huwa nawaona ni wakali wakali, hivyo tunaishia kuachana.
Kmmk [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sina ninachojutia. Kila nilichopitia kilikuwa daraja la kunifikisha nilipo hivi sasa.
Najitahidi kuwa bora, nisiwe kama nilikotoka.

Majuto yafaa nini ikiwa maisha ni sasa?
Anza kuishi sasa, achana na yaliyopita.

Watu hawasemi majuto yao ili wajisikie vibaya wanasema majuto yao ili iwe funzo kwa watu wengine kujifunza ili wasikosee kama wao, hatutaki vitu vile vile vi loop again and again….
 
Nikupe pole kwa kuwaza kijinga namna hii..unafikiri kuzaa na tajir ndionilikua ticket ya mtaji eeh?? Pole sana sana tena mshukuru Mungu hukuzaa nae.

Probably ungezalishwa na kutelekezwa juu sasa imagine sasa hiv tu huna mtoto ila ngoma ngumu, ungekua nae je??

Kuwa mzazi (hasa mama) ni jukum zito sana.
  • kuna limit freedom yako
  • kuna limit fursa zako (yan kuna fursa hutakaa uchukue hata kama ziko wazi kisa wewe ni mzazi una mtot)
  • kuna options zako juu ya nini ufanye (maana kila jambo utasukumwa kufikiri sio interests zako tu bala na za mtegemeze wako yaan mtoto).

Mambo ni mengi
Duuh hio ni one of perspectives from another angle , je umemaanisha kupunguza maana na thamani ya mtoto au umewaza tu kuhusu bahati nasibu kwa aina ya matarajio yake? May be yes may be no, tumeshuhudia wengi wakipewa nyumba mitaji na wako mbali, kuna mkataa chema pia hupata kibaya what if kama yule tajiri alikuwa mwema mwenye changamoto ndani ya ndoa yake. Mungu ni wa ajabu katika upana wake
 
U

Uko vizuri mno madame. Kila kosa ama zuri,adui na rafiki wote huwa Ni content ya maisha yetu pia huwa Ni pushing force ,ndio Mana Kuna Giza na mwanga , God and shetani ndipo uumbaji ukakamilika. Nimekukubali Ila Kama ulichokiongea kimetoka moyoni
There are always two forces in each individual. The vocal one is that one who envisages or dreams to be by words, the silent one on eyes and actions is the real one
 
Back
Top Bottom