Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa haaa haaa me n wa kwalamahondoWewe kama si wa Mwakaleli basi ni wa Macjame
Kabisa e.g nisipokuwepo mambo hualbka[emoji23] [emoji23] ulikua hukosi namba..
[emoji23] shule ya zaman ilkua raha sanamtoro daraja la kwanza, naingia shule saa 2 saa 4 sipo mpaka wakawa wananiita ( mimi na kikundi changu wa asubuhi ) tuko kidato cha 4 iyo.
mwalimu mgeni akafunga mkanda kukomesha tabia iyo, tukamwambia tuko tayari kuacha shule kuliko kukaa masaa 8 shule.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]mtoro daraja la kwanza, naingia shule saa 2 saa 4 sipo mpaka wakawa wananiita ( mimi na kikundi changu wa asubuhi ) tuko kidato cha 4 iyo.
mwalimu mgeni akafunga mkanda kukomesha tabia iyo, tukamwambia tuko tayari kuacha shule kuliko kukaa masaa 8 shule.
Hahahahaa. Yani mimi sikuwahi kuwa na muonekano wa kuwa kipanga darasani. Kwanza napenda kucheza na kusoma magazeti ya udaku. Sionekani nikiwa busy na kitabu darasani. Ila ndo niliwashikia number kuanzia primary mpaka o level.mlikua mnatutisha xna[emoji23] [emoji23]