Weltmeisterschaftung
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 364
- 248
- Thread starter
- #21
mimi nipo vizuri kijana mdogo wewe hao auditors wako wote wanasubiri hapa........Ukija kwenye auditing, tax,etc huku usafi wako kaa nao huko huko, huku ni kichwa chako tu ndo kinakubeba. Au ulikua ni secretary wa ofisi nini?