"Ulikuja kazini hujui kuvaa"

"Ulikuja kazini hujui kuvaa"

Ukija kwenye auditing, tax,etc huku usafi wako kaa nao huko huko, huku ni kichwa chako tu ndo kinakubeba. Au ulikua ni secretary wa ofisi nini?
mimi nipo vizuri kijana mdogo wewe hao auditors wako wote wanasubiri hapa........
 
Hongera kwa utanashati. Vimodo vinaathiri via vya uzazi kaa navyo mbali kabisa.
 
kwa uvaaji wako ndo wakakupeleka Tanga wakaona huko kutakufaa kuliko dar, walishindwa kuwapekeka hao wajanja wa dar kwamaa walijua maisha ya Tanga yatawashinda. PERIOD
 
kwa uvaaji wako ndo wakakupeleka Tanga wakaona huko kutakufaa kuliko dar, walishindwa kuwapekeka hao wajanja wa dar kwamaa walijua maisha ya Tanga yatawashinda. PERIOD
Jamani yaani nimecheka kwa sauti peke yangu hapa
 
Mimi jamani mpaka kesho sipendi mwanaume wa kunyoosha trouser akaweka upanga halafu tena iwe na size pana... Ila hongera lkn sidhani kama umepata cheo kwasababu ya usafi wako, siamini pia kua wenzako hawakua smart.....
Mi suruali za kitambaa kwa ujumla napenda nimuone mwanaume kavalia suti baas otherwise naona Cadet znapendeza sana
Unakuta mtu kashona kituko kumwangalia mara mbili huwezi
 
Suruali pana ina panga mbele, shati kubwa ukitembea linajaa upepo mgongoni... Afu unechomekea mmmh mie hapana kwakweli
Hahahah naupata huo mwonekano
Afu piga picha kavaa yale mashati flani ya kung'aa hivi ya sherehe za usiku ye kavaa mchana
 
Mi suruali za kitambaa kwa ujumla napenda nimuone mwanaume kavalia suti baas otherwise naona Cadet znapendeza sana
Unakuta mtu kashona kituko kumwangalia mara mbili huwezi
Alafu ukute mwanaume mwenye makalio makubwa avae trouser ya kitambaa- balaa kabisa tena iwe ya kushonesha!!! Mmmh
 
Suruali pana ina panga mbele, shati kubwa ukitembea linajaa upepo mgongoni... Afu unechomekea mmmh mie hapana kwakweli

Mpendwa, tafadhali bana. Tusitake kuharibiana mitoko. Hapo sio ofisini tu, mpaka club natia timu.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kama nakuona mzee, design ya Arnez J. Wasikukatishe tamaa bro, mbona fresh tu.

images


images


9123260394_ae42d200b6_z.jpg
 
Back
Top Bottom