Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #21
Kwa watu Kuna mambo asee.πππππππcomment za huko juu daaah kwanza nicheke maana...
Ila mi niliwahi kuta ile mashine ya salon ya kike ambayo wadada wanaweka kichwa sijui...
Nyingine nilikuta jamaa ana tranka ndani anafuga panya alafu anawanunulia na maziwa ya unga kabisa
Kuna jamaa angu yupo gomzi pale ni mkristo ila nilikuta ana ile fimbo ya mashekhe wanayoshika msikitini wakiwa wanatoa mawaidha... Na sio moja ila ana fimbo kama saba hivi
Ukimimina nyingi utamaliza mandoo kaza wa kaza za maji.ππππHii bei yake
Kuoga ni nini?Mkuu umesema sabuni mi nikauliza unaogaje bila sabuni asee
Kuna dogo alikuwa anaumwa si akapelekwa kibaha pale akapewa dripu alikuwa na homa akalala hapo mida flani jioni tukaenda kumchek hosptal hatukumkuta basi tukasubir maybe yuko toilet wap harudi daah lisaa limepita tukawaza kachanganyikiwa labda wacha tumsake mpaka kagiza kanaingiza hatumuoni tukasema turud home maybe karud home daaah kufika home yole dogo aisee karud home na lile limrija na drip lake kalitundika juu ya kitanda bado linaingia aisee maswali kama yote tukamwambia ilikuaje akasema pale wodini wagonjwa wanakufa anawaona kwa macho wamekufa wawili karibu yake akaona anaefuata na yeye akaamua kuondoka ili israel akija asimkute daah huyu dogo wa mia 16 yaniWakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?
Ebu lete kisa chako hapa.
Naanza Mimi......
Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.
Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.
Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?
Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.
Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)
Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.
Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
ππππ Weee acha tuuKwa watu Kuna mambo asee.
Shuka la MSDWakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?
Ebu lete kisa chako hapa.
Naanza Mimi......
Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.
Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.
Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?
Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.
Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)
Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.
Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
Kama yuko jirani na shule za advance, Hao panya wanalipa sana (Wale weupe), Huenda ni mradi wake baada ya kupata soko la uhakika.Nyingine nilikuta jamaa ana tranka ndani anafuga panya alafu anawanunulia na maziwa ya unga kabisa
Wee faza mbona umekaa kimchongo mchongo hivi...Kama yuko jirani na shule za advance, Hao panya wanalipa sana (Wale weupe), Huenda ni mradi wake baada ya kupata soko la uhakika.
Na sio panya tu, Haddi chura ni biashara nzuri (ya msimu), Maana unakuta unatakiwa kufanya practical (mazoezi) na shule haina panya wala chura.
Apo mianzini Janlita 70 za mkojo na kinyesi ndoo 6
Hii hata nikipewa Bure siogei.
Sawa mkuu.Hii hata nikipewa Bure siogei.
Ndo nn mkuuMpekecho
Labda aliwanyang'anya michepko wakeNilimkuta Mwamba ana madela 4 geto.
KwannHii hata nikipewa Bure siogei.