Ulikuwa mpenzi wa gazeti gani miaka ya nyuma?

Sani,sijawahi kuwa mpenzi wa magazeti ya kichawa na yale kijani baada ya sani.Na hivi sasa. Sisomi lolote.
 
Ambalo nitakalo likuta nyumbani, naenda moja kwa moja kwenye katuni, lakini gazeti la Sani lilijua kutuburudisha kabla hajaja Shigongo na magazeti yake
 
Sani, Tabasamu, Bongo na kuna lile Femina
 
Kwangu mimi hakuna nyakati nzr za kusoma kama zile nyakati ambazo tulikua tunasoma vijarida vya sani, tabasamu na bongo, hii ni kabla ya ujio wa magazeti ya udaku nafikiri. Kwa ambao walikua ktk umri wa kusoma na kukumbuka wataelewa ninachoongea hapa. Jarida linatoka mara moja kwa mwezi na kuna hadithi nzr ya Eddie Ganzel. Unakaa mwezi mzima kwa shauku ya kusubiri toleo lijalo ili uendelee na hadithi yako. Sikuwahi tena kuishi kwa shauku ya kusoma kama kipindi kile. Ama kweli siku zinaenda kasi.
 
Hakika ni nyakati bora sana kuwahi kutokea.
 
Risasi,iijumaa wikienda,mwanasport,dimba n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…