Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sani,sijawahi kuwa mpenzi wa magazeti ya kichawa na yale kijani baada ya sani.Na hivi sasa. Sisomi lolote.Habarini wakuu!
Hakika miaka inakwenda. Miaka ya nyuma, magazeti yalikuwa na mvuto sana kuanzia front pages hadi ndani. Yalikuwepo magazeti mengi sana ila Binafsi nilikuwa mpenzi wa magazeti ya Sani na Kiu.
Hao jamaa walikuwa wabunifu sana, kurasa za mbele zilipambwa kwa picha nzuri za mastaa na vichwa vya habari vyenye kuibua hisia sana. Picha za warembo wenye maumbile mazuri na muhtasari wa habari zilizomo ndani yake. Raha ya haya magazeti ilikuwa ni zaidi hata ya kumiliki smartphones siku hizi ambazo ni kama zinaleta depression tu kwa watu. Enzi hizo hakukuwa na mambo ya kuwaza sijui fulani hajaview status yangu, mbona hajanipost, sijui kaniblock na mambo kama hizo
Kulikuwa na simulizi zilizotungwa kwa imahiri, zinazokuachia kiu ya kutaka kufatilia toleo lijalo bila kukosa. Pia kulikuwa na katuni kama vile Lodilofa, Kipepe, Kifimbo Cheza, Madenge, Baba ubaya na nyingine nyingi. Hakika ilikuwa zaidi ya burudani.
Leo nimepita ukurasa fulani nikakutana na picha za katuni za enzi hizo nikapata kurejesha kumbukumbu nyuma sana jinsi burudani hizo zilivyoweza kukonga nyoyo zetu. Hiyo ni kwa ufupi tu.
Wewe unakumbuka nini kuhusu magazeti ya enzi hizo?
Alikuwa hataki uwe ChaputaSani!!
Mzee wangu alikuwa ananinunulia kila jumatano, akikuta ukurasa wa picha za uchi, anatupa huo ukurasa!! alafu et ana niambia huo ukurasa umepotea😁😁
Jamaa muongo muongo kama movies za StarTimesAmbalo nitakalo likuta nyumbani, naenda moja kwa moja kwenye katuni, lakini gazeti la Sani lilijua kutuburudisha kabla hajaja Shigongo na magazeti yake
Sani, Tabasamu, Bongo na kuna lile FeminaHabarini wakuu!
Hakika miaka inakwenda. Miaka ya nyuma, magazeti yalikuwa na mvuto sana kuanzia front pages hadi ndani. Yalikuwepo magazeti mengi sana ila Binafsi nilikuwa mpenzi wa magazeti ya Sani na Kiu.
Hao jamaa walikuwa wabunifu sana, kurasa za mbele zilipambwa kwa picha nzuri za mastaa na vichwa vya habari vyenye kuibua hisia sana. Picha za warembo wenye maumbile mazuri na muhtasari wa habari zilizomo ndani yake. Raha ya haya magazeti ilikuwa ni zaidi hata ya kumiliki smartphones siku hizi ambazo ni kama zinaleta depression tu kwa watu. Enzi hizo hakukuwa na mambo ya kuwaza sijui fulani hajaview status yangu, mbona hajanipost, sijui kaniblock na mambo kama hizo
Kulikuwa na simulizi zilizotungwa kwa imahiri, zinazokuachia kiu ya kutaka kufatilia toleo lijalo bila kukosa. Pia kulikuwa na katuni kama vile Lodilofa, Kipepe, Kifimbo Cheza, Madenge, Baba ubaya na nyingine nyingi. Hakika ilikuwa zaidi ya burudani.
Leo nimepita ukurasa fulani nikakutana na picha za katuni za enzi hizo nikapata kurejesha kumbukumbu nyuma sana jinsi burudani hizo zilivyoweza kukonga nyoyo zetu. Hiyo ni kwa ufupi tu.
Wewe unakumbuka nini kuhusu magazeti ya enzi hizo?
We mbona za juzi tu hizina kuna vile vijarida vya shujaaz magari ya coca cola yalikuwa yakileta soda shule yanakuja navyo vingi
View attachment 3219722
Nimeshangaa piaWe mbona za juzi tu hizi
Kwangu mimi hakuna nyakati nzr za kusoma kama zile nyakati ambazo tulikua tunasoma vijarida vya sani, tabasamu na bongo, hii ni kabla ya ujio wa magazeti ya udaku nafikiri. Kwa ambao walikua ktk umri wa kusoma na kukumbuka wataelewa ninachoongea hapa. Jarida linatoka mara moja kwa mwezi na kuna hadithi nzr ya Eddie Ganzel. Unakaa mwezi mzima kwa shauku ya kusubiri toleo lijalo ili uendelee na hadithi yako. Sikuwahi tena kuishi kwa shauku ya kusoma kama kipindi kile. Ama kweli siku zinaenda kasi.Habarini wakuu!
Hakika miaka inakwenda. Miaka ya nyuma, magazeti yalikuwa na mvuto sana kuanzia front pages hadi ndani. Yalikuwepo magazeti mengi sana ila Binafsi nilikuwa mpenzi wa magazeti ya Sani na Kiu.
Hao jamaa walikuwa wabunifu sana, kurasa za mbele zilipambwa kwa picha nzuri za mastaa na vichwa vya habari vyenye kuibua hisia sana. Picha za warembo wenye maumbile mazuri na muhtasari wa habari zilizomo ndani yake. Raha ya haya magazeti ilikuwa ni zaidi hata ya kumiliki smartphones siku hizi ambazo ni kama zinaleta depression tu kwa watu. Enzi hizo hakukuwa na mambo ya kuwaza sijui fulani hajaview status yangu, mbona hajanipost, sijui kaniblock na mambo kama hizo
Kulikuwa na simulizi zilizotungwa kwa imahiri, zinazokuachia kiu ya kutaka kufatilia toleo lijalo bila kukosa. Pia kulikuwa na katuni kama vile Lodilofa, Kipepe, Kifimbo Cheza, Madenge, Baba ubaya na nyingine nyingi. Hakika ilikuwa zaidi ya burudani.
Leo nimepita ukurasa fulani nikakutana na picha za katuni za enzi hizo nikapata kurejesha kumbukumbu nyuma sana jinsi burudani hizo zilivyoweza kukonga nyoyo zetu. Hiyo ni kwa ufupi tu.
Wewe unakumbuka nini kuhusu magazeti ya enzi hizo?
Hakika ni nyakati bora sana kuwahi kutokea.Kwangu mimi hakuna nyakati nzr za kusoma kama zile nyakati ambazo tulikua tunasoma vijarida vya sani, tabasamu na bongo, hii ni kabla ya ujio wa magazeti ya udaku nafikiri. Kwa ambao walikua ktk umri wa kusoma na kukumbuka wataelewa ninachoongea hapa. Jarida linatoka mara moja kwa mwezi na kuna hadithi nzr ya Eddie Ganzel. Unakaa mwezi mzima kwa shauku ya kusubiri toleo lijalo ili uendelee na hadithi yako. Sikuwahi tena kuishi kwa shauku ya kusoma kama kipindi kile. Ama kweli siku zinaenda kasi.
Risasi,iijumaa wikienda,mwanasport,dimba n.kHabarini wakuu!
Hakika miaka inakwenda. Miaka ya nyuma, magazeti yalikuwa na mvuto sana kuanzia front pages hadi ndani. Yalikuwepo magazeti mengi sana ila Binafsi nilikuwa mpenzi wa magazeti ya Sani na Kiu.
Hao jamaa walikuwa wabunifu sana, kurasa za mbele zilipambwa kwa picha nzuri za mastaa na vichwa vya habari vyenye kuibua hisia sana. Picha za warembo wenye maumbile mazuri na muhtasari wa habari zilizomo ndani yake. Raha ya haya magazeti ilikuwa ni zaidi hata ya kumiliki smartphones siku hizi ambazo ni kama zinaleta depression tu kwa watu. Enzi hizo hakukuwa na mambo ya kuwaza sijui fulani hajaview status yangu, mbona hajanipost, sijui kaniblock na mambo kama hizo
Kulikuwa na simulizi zilizotungwa kwa imahiri, zinazokuachia kiu ya kutaka kufatilia toleo lijalo bila kukosa. Pia kulikuwa na katuni kama vile Lodilofa, Kipepe, Kifimbo Cheza, Madenge, Baba ubaya na nyingine nyingi. Hakika ilikuwa zaidi ya burudani.
Leo nimepita ukurasa fulani nikakutana na picha za katuni za enzi hizo nikapata kurejesha kumbukumbu nyuma sana jinsi burudani hizo zilivyoweza kukonga nyoyo zetu. Hiyo ni kwa ufupi tu.
Wewe unakumbuka nini kuhusu magazeti ya enzi hizo?
sijafuatilia mkuuHivi ziku hizi hawatoi hivi vijarida mkuu?