[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilikuwa domo zege nikiongea na mrembo mwanzo mwisho nakenua tu... warembo walikuwa wananiangalia udenda ukiwatoka lakini ndo hivyo tena mi domo kama nimebugia uji wa magimbi.
nilikuwa najulikana kwa kuweka mabanda ya chemia tu. yani nilikuwa nasoma chemistry tu[emoji16] (chemisti)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilikua domozege, somasoma
bikra yenyewe nilitoa kwa wahaya(shukrani kwake)
Msumbufu, mzinzi, kiburi, majivunoBinafsi mimi nilikua mvivu sana kusoma (ila nilikua nabukua), sipendi kufanya test (nasingizia ugonjwa).
Ukinisaidia kwenye pepa lazima nikupite, nilikua najua sana kumodify majibu ya msaada.
Sikupenda kuwa kiongozi ila niliishi kama kiongozi.
Tiririka.
🤣🤣Wantedi,haipiti mwezi sijaandikwa notisibodi,mvuta bangi na mpenda misosi jikoni..