Ulikuwa mwanafunzi wa aina gani katika maisha yako ya shule?

Ulikuwa mwanafunzi wa aina gani katika maisha yako ya shule?

@Chizi Maarifa alikifanyia nini kibaya mbona umemchukia ivyo

Mpe nafasi nyingine mlee mtoto atabadilika
Mkuu mbona unanikomalia sana au umetumwa nini?? Nimeshakwambia clean simfahamu huyo mtu, huwa ananichokoza akitaka attention jukwaani bado unakomaa nimpe nafasi. Narudia tena sio baba wa mtoto wangu au mpaka siku nimtaje baba mtoto ili niwafaidishe??
 
*Nilikuwa mpole kiasi, sio muongeaji sana, ila nilikuwa na aibu zaidi ya mtoto wa kike.

*Nikichelewa kuingia darasani siingii mpaka nipate kampani ya washikaji.

*Nilikuwa smart sana kwa mavazi ikitokea siku umeme umekatika na sijapiga pasi basi siendi shule.

*Darasani nilikuwa vizuri ila nilikuwa mtoro sana, kama 4m 4 ilipita miezi mi4 sijaenda shule na home wanajua ila sifatiliwi kutokana nilikuwa nasimamia shughuli za mzee.

*Nilikuwa nawaazima pesa wanafunzi hadi walimu na nilikuwa sina tabia ya kuwadai.

*Nilikuwa MALAYA hakuna mfano, yani ni mwanaume MALAYA kweli kweli. Nilipiga sana wanafunzi wenzangu na walimu wa field.

*Darasani kwetu kulikuwa na wasichana 40 ila katika hao mademu zangu walikuwa 29 ndani ya darasa moja.

*Nilikuwa maarufu sana shule, kufika kidato cha pili nikawa nafahamika shule nzima kwa sifa za umalaya na nilikuwa nafatiliwa sana na wanawake..

Mtanisamehe kwa hizi screenshots zisizo na maana ila hii thread imenikumbusha mbali sanaa.


View attachment 2590367View attachment 2590370View attachment 2590371View attachment 2590372
Kuna mwamba mmoja nae tulisoma nae kawachafua balaa,ila wew umetisha darasa moja ukabakiza 11 tu
 
Nilikuwa hustler sana coz nlisoma boarding alaf washua Hela ya matumizi wanatuma mara 1 Kwa mwaka...Mimi ikifika muda wa prepo nazama kijijini kununua madonati nachukua ya tsh 5000 kwa tsh 100 nakuja kuuza shule 300 na usiku huo huo yanakata...hapo nawatoa viongozi donati mbili mbili...hamna kula peke yako!....
 
Sijatumwa shem napenda nikiona mkipatana mnaendana sana

Just think twice trudie
Mkuu mbona unanikomalia sana au umetumwa nini?? Nimeshakwambia clean simfahamu huyo mtu, huwa ananichokoza akitaka attention jukwaani bado unakomaa nimpe nafasi. Narudia tena sio baba wa mtoto wangu au mpaka siku nimtaje baba mtoto ili niwafaidishe??
 
Nilikuwa sitaki kuonewa.

Nilipiga walimu wawili, mmoja primary, mmoja secondary.

Nilimpiga kibao mtoto wa rais primary kwa sababu alileta mashauzi baba yake rais darasani.

Nilikuwa mtu wa kuwarusha watu kila mtu alinijua.

Siku hizi rafiki zangu wakiniona nimekuwa "model citizen" wanashangaa sana.
Chai
 
Sijatumwa shem napenda nikiona mkipatana mnaendana sana

Just think twice trudie
Mkuu hii reply ya mwisho kwako, naomba tusikwazane na hivi hatujuani. Kama ni ID nyingine ya huyo Chizi kutaka kiki excuse me. Tunaendeana how unanijua mm hadi useme tunaendana??
 
*Nilikuwa mpole kiasi, sio muongeaji sana, ila nilikuwa na aibu zaidi ya mtoto wa kike.

*Nikichelewa kuingia darasani siingii mpaka nipate kampani ya washikaji.

*Nilikuwa smart sana kwa mavazi ikitokea siku umeme umekatika na sijapiga pasi basi siendi shule.

*Darasani nilikuwa vizuri ila nilikuwa mtoro sana, kama 4m 4 ilipita miezi mi4 sijaenda shule na home wanajua ila sifatiliwi kutokana nilikuwa nasimamia shughuli za mzee.

*Nilikuwa nawaazima pesa wanafunzi hadi walimu na nilikuwa sina tabia ya kuwadai.

*Nilikuwa MALAYA hakuna mfano, yani ni mwanaume MALAYA kweli kweli. Nilipiga sana wanafunzi wenzangu na walimu wa field.

*Darasani kwetu kulikuwa na wasichana 40 ila katika hao mademu zangu walikuwa 29 ndani ya darasa moja.

*Nilikuwa maarufu sana shule, kufika kidato cha pili nikawa nafahamika shule nzima kwa sifa za umalaya na nilikuwa nafatiliwa sana na wanawake..

Mtanisamehe kwa hizi screenshots zisizo na maana ila hii thread imenikumbusha mbali sanaa.


View attachment 2590367View attachment 2590370View attachment 2590371View attachment 2590372
Chai
 
Ukisikia mwanafunzi mnafiki ndo mimi sasa, tunaweza kubaliana hakuna kwenda prepo alafu usiku tukilala naamka usiku naenda kusoma[emoji23][emoji23][emoji23] nakula msuki balaa

Tukitoka kwenye pepa ukaanza kulalamika mtihani ni mgumu mwana nitaungana na wewe tena nitakunafikia asikwambie mtu. Naweza kukwambia huu mtihan mwalimu akinipendelea sana nina 14% alafu pepa ikija nina 98% au 95% ilikuwa kawaida.

Usije ukajitera ukafanya kosa na mimi, najua kujitetea ahahaha naweza kula stiki tu au nikasamehewa kabisa alafu wew ukafukuzwa shule.

Kiukweli mashuleni kuna watu ukiwaiga unapotea. Watu ni wanafiki sana hata uraiani ikiwemo mimi. Utakavyokuja na mim nitaimba na wewe biti hilo hilo.

Kiukweli unafiki ni mzuri sana na sijui kama nitaacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Nilikuwa mwanafunzi wa kawaida sikuwahi kuwapenda walimu au viongozi wa wanafunzi au wale spy.

Nina moderate akili za darasani
 
Back
Top Bottom