Ulikuwa mwanafunzi wa aina gani katika maisha yako ya shule?

Ulikuwa mwanafunzi wa aina gani katika maisha yako ya shule?

Mimi nilikuwa mwanafalsafa aliyesoma CBG,

Siku moja ticha kajichanganya.

Teacher: Leo nitazunguka kwenye dormitories, kukagua kama kuna silaha haramu.

Mimi: Mwalimu-Teacher unamaanisha nini?

Teacher: Silaha haramu ni kama vile kisu, panga, nyundo n.k.

Mimi: Mbona silaha tunazo!! Kwahiyo fyekeo, jembe, reki, trunk n.k, vipi hizo siyo silaha haramu? Na tumeishi nazo bila shida yoyote?

Kilichotokea hapo.
 
Nilikuwa nanyooshewa vidole achaa tuu nilikuwa nachekwaa,baba alivokuja shule nilichapwaa sanaa,mzee alinkamata akachomeka kichwa changu kwenye mguu yake hili nisikukuluke nilipigwaaa hakujali hata kama mimi ni wa kike,hadi maskio yaliziba wiki nzima
Duuuh poleee sanaa dear,
 
Primary
Daftari na zile biki niemchukua hadi namaliza STD 7

Muandika notes ubaoni
Kwenye macho ya wengi nilionekana mpole
Bahati ya kupendwa sana na walimu karibia wote
Popular sana kutokana na ajali iliyoweka uhai wangu kwenye tundu la sindano.
Ibada
Uwezo wa kawaida ila ndo Mungu kama aliamua kuniinua baada ya ile ajali nilianza kukimbiza sana hadi naondoka..Elimu yangu ilikuwa mteremko sana.
Olevel hiyo.


Advance
Mpole mwenye kushirikiana na majasusi ya shule [emoji38]
Nilikuwa nawachajia simu zao maana nilikuwa na access na funguo za sehemu yenye switch.
Tulikubaliana ntawasaidia kuchaji ila mkikamatwa msinitaje kabisa.
Ibada zaidi,yaani chuo na primary ni sehemu niliyomtumikia Mungu zaidi kuliko kipindi chochote.
Elimu yangu ilikuwa na misukosuko.
Popular kwenye baadhi ya masomo na handwriting yangu ilinipa kujulikana.

Chuo
Mpole hivyohivyo
Ibada
Nilipigwa sana matukio na rummate,,ananipiga exile naona na macho yangu.
Nikajifunza ukali.
Handwriting yangu kama kawa ikanipa umaarufu.
Milima ,mabonde,mteremko, Yaani kiuelimu nimepitia vipindi vyote kulingana na semester.
Nomaaaa sanaaa dada, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mm ndio nlikua sielewek kabsa kwa watoro nipo kwa wenye akil nipo daftar n moja limejkunja ilo kama kitabu cha tiket yote kwa yote nkapata chet [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee nishawai adi bandikwa kwenye notice board kwenye list ya watukutu walio kubuhu
 
[emoji16][emoji16]haya namimi niweke zangu

1)Primary[emoji116]
Mpole&mkimya wa shule nzima kiasi kwamba kuna watu hata darasan hawakuwai kuisikia saut yangu, pia shulen hapo wapo walioamini mie bubu mpaka leo wapo ambao wanaamin mim ndie yule yule wa kipindi kile[emoji16], ilifika wakati hata nikimdunda mwanafunzi wenzangu tukipelekwa ofisin lazma aliyedundwa atapewa kesi maana niliaminika kwa upole na ukimya hivyo ugomvi si sehem yangu[emoji16]
[emoji117] Note:- mpka uwe rafiki yangu basi umekidhi vigezo, hata shule nzima lazima ikuverify kwa kuweza kuvumilia kuishi na mtu siku nzima anaongea neno moja tu, nalo ni ule muda wa mchana nikiulizia "leo tunaondoka na njia ipi?"[emoji16]
2)utoro, yaan kuna baadhi ya siku sikuwai gusa shulen haswa ijumaa siku ya vipindi vya dini+michezo hizo siku kwangu ilikuwa ni OFF+Likizo fupi
[emoji16][emoji16]
3)akili kidoogooo kufelii kidoogo
4)mpka namaliza primary sikuwa na marafik wa uhakika zaid zaid ya wale wale niliotoka nao mtaani na kuongozana nao shule, nao wao hawakuwaamin wala kunielewa nilikua na tabia gan, yaan nyumban nakuwa mgomv, mkorof, mpiga kelele, lkn tukivuka tu mipaka na kuingia shule nakuwa mpole+mkimya yaan hata ukiniongelesha neno nitakujibu baada ya masaa uku kazi yangu ikiwa ni kutabasamu na kuguna tuu[emoji23][emoji23]

5) sikuwapenda madem (wasichana) nilikuwa mgomvi sana kwa wasichana, ole wako upangwe dawati moja na mie, utajuta[emoji23]

2)sekondari
1) Ukimya kidoogo, kufeli kwa sana, misifa+kupenda starehe na wanawake kwa sana, lkn bado sikuacha Uhalisia wa ukimya, jambo lililonifanya niweze kuwadate wanawake 4 wa Darasa moja na kampani moja bila ya wao wote kujua, maana nilikuwa mtu wa siri saana, mpka unijue baasi wew nae nishakufanya ujuwe kwa madhumuni yangu

2)kujihusisha na makundi ya utoro uliotukuta, yaan naaga nyumban nikiwa na sale ya shule, maajabu nafika shulen saa4 na kutoroka saa6, sionekan shulen pia sionekan nyumban[emoji23][emoji23]
Nishawai kutokuonekana nyumban lkn shule nipo kwa vipindi vya mapumziko tu[emoji23][emoji23],
 
Nilikuwa sitaki kuonewa.

Nilipiga walimu wawili, mmoja primary, mmoja secondary.

Nilimpiga kibao mtoto wa rais primary kwa sababu alileta mashauzi baba yake rais darasani.

Nilikuwa mtu wa kuwarusha watu kila mtu alinijua.

Siku hizi rafiki zangu wakiniona nimekuwa "model citizen" wanashangaa sana.
Wewe unaonekaa ulikuwa muimba kwaya kabla ya kuasi kwako na kuwa Non believer[emoji23] au wale watoto wanaoimbisha kwaya za Ukwata na Casfeta lkn baadae ukawa muasi wa kidini[emoji16][emoji16][emoji16](joke)
 
Wewe unaonekaa ulikuwa muimba kwaya kabla ya kuasi kwako na kuwa Non believer[emoji23] au wale watoto wanaoimbisha kwaya za Ukwata na Casfeta lkn baadae ukawa muasi wa kidini[emoji16][emoji16][emoji16](joke)
Wewe kwa jinsi unavyojifanya unanijua inaonekana ulitaka kuwa girlfriend wangu.
 
Based on true story
Primary school
Nilikuwa mtoto mpole,mwenye heshima na akili,sikuwa muongeaji ila nilikuwa na vipaji vingi toka nikiwa mdogo mpira, kuimba,kucheza gitaa na kinanda nilikuwa mcheshi kila mtu alinipenda jamii,wazazi na hata wanafunzi wenzangu.
Shida ilianza tulipofika darasa la tano tukaanza kujifunza tabia mbaya kuonja pombe,sigara na utoro maisha yakaende tulipofika darasa la saba tulikuwa tayari tunajua vitu vingi nilikuwa nakunywa pombe,navuta sigara na hata bangi.
Secondary o-level
Maisha yakaendelea nikiwa mtumiaji mzuri wa mihadarati,mcheza kamari mashuhuri,mtoro lakini watu walinipenda kwa sababu ya upole wangu na vipaji nilivyonavyo nikishika gitaa lazima ufurahi nikiingia uwanjani usiseme but l was addicted to substances.
Nikamaliza form four majuto yakaanza tayari nimeshakuwa mraibu mlevi,mvuta sigara,mvuta bangi na hata miraa nilikuwa nakula i was not able to did anything without such kinds of substances.
Secondary A-level
Nilifanikiwa kuendelea lakini mambo yalikuwa magumu nilikuwa nasoma PCB mambo mengi na uraibu uliokuwa unanisumbua na wazazi wakaja kugundua ila ilikuwa too late sana.
College
Wakati naanza chuo nilikuwa addicted ya kupindukia l rolled nine to twelve joints of weed together with cigarette and high consumption of alcohol maisha yalikuwa magumu nisipotumia naumia sana,nilipoteza marafiki waudogoni wengine walinitenga na kunisema vibaya.
Nikamaliza chuo nikarudi kitaa baada ya kama mwaka mambo yakaanza kubadilika nikaacha pombe baadae nikaacha sigara kuna marafiki waudogoni wengine walipelekwa sober ila wengine naandika hapa machozi yananitoka wameshapumzi RIP they are no longer with us
Ila nilikuja kujifunza kuwa mambo yote nilipitishwa ili kunishape kwaajili ya sasa I thank God ameniacha nikiwa hai,nimeajiriwa na namaisha yangu familia,jamii na taifa inatambua mchango wangu.
GOD BLESS TANZANIA.
 
[emoji16][emoji16]haya namimi niweke zangu

1)Primary[emoji116]
Mpole&mkimya wa shule nzima kiasi kwamba kuna watu hata darasan hawakuwai kuisikia saut yangu, pia shulen hapo wapo walioamini mie bubu mpaka leo wapo ambao wanaamin mim ndie yule yule wa kipindi kile[emoji16], ilifika wakati hata nikimdunda mwanafunzi wenzangu tukipelekwa ofisin lazma aliyedundwa atapewa kesi maana niliaminika kwa upole na ukimya hivyo ugomvi si sehem yangu[emoji16]
[emoji117] Note:- mpka uwe rafiki yangu basi umekidhi vigezo, hata shule nzima lazima ikuverify kwa kuweza kuvumilia kuishi na mtu siku nzima anaongea neno moja tu, nalo ni ule muda wa mchana nikiulizia "leo tunaondoka na njia ipi?"[emoji16]
2)utoro, yaan kuna baadhi ya siku sikuwai gusa shulen haswa ijumaa siku ya vipindi vya dini+michezo hizo siku kwangu ilikuwa ni OFF+Likizo fupi
[emoji16][emoji16]
3)akili kidoogooo kufelii kidoogo
4)mpka namaliza primary sikuwa na marafik wa uhakika zaid zaid ya wale wale niliotoka nao mtaani na kuongozana nao shule, nao wao hawakuwaamin wala kunielewa nilikua na tabia gan, yaan nyumban nakuwa mgomv, mkorof, mpiga kelele, lkn tukivuka tu mipaka na kuingia shule nakuwa mpole+mkimya yaan hata ukiniongelesha neno nitakujibu baada ya masaa uku kazi yangu ikiwa ni kutabasamu na kuguna tuu[emoji23][emoji23]

5) sikuwapenda madem (wasichana) nilikuwa mgomvi sana kwa wasichana, ole wako upangwe dawati moja na mie, utajuta[emoji23]

2)sekondari
1) Ukimya kidoogo, kufeli kwa sana, misifa+kupenda starehe na wanawake kwa sana, lkn bado sikuacha Uhalisia wa ukimya, jambo lililonifanya niweze kuwadate wanawake 4 wa Darasa moja na kampani moja bila ya wao wote kujua, maana nilikuwa mtu wa siri saana, mpka unijue baasi wew nae nishakufanya ujuwe kwa madhumuni yangu

2)kujihusisha na makundi ya utoro uliotukuta, yaan naaga nyumban nikiwa na sale ya shule, maajabu nafika shulen saa4 na kutoroka saa6, sionekan shulen pia sionekan nyumban[emoji23][emoji23]
Nishawai kutokuonekana nyumban lkn shule nipo kwa vipindi vya mapumziko tu[emoji23][emoji23],
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie watu jaman khaaah
 
Back
Top Bottom