Ulikuwa mwanafunzi wa aina gani katika maisha yako ya shule?

Ulikuwa mwanafunzi wa aina gani katika maisha yako ya shule?

Mpaka nakaribia kumaliza shule, form five walijua mi six na six walijua mi ni five.

Sikua mtoro ila ni watu watano tu kwa shule nzima ndo walifahamu jina langu halisi.

Sikua kipanga wala sikua kilaza, sikua muongeaji wala mpole sana.

Ilihali nilikua PCM lakini nilishasoma kwenye michepuo yote iliyokuepo pale shule. Kuna watoto wa tukuyu na kyela walikua na kelele sana, so nilikua naingia mara HKL, HGK, EGM CBG n.k, yani nikiona pana utulivu tu mimi humo humo. Na mwalimu akiingia sitoki.
 
Mpaka nakaribia kumaliza shule, form five walijua mi six na six walijua mi ni five.

Sikua mtoro ila ni watu watano tu kwa shule nzima ndo walifahamu jina langu halisi.

Sikua kipanga wala sikua kilaza, sikua muongeaji wala mpole sana.

Ilihali nilikua PCM lakini nilishasoma kwenye michepuo yote iliyokuepo pale shule. Kuna watoto wa tukuyu na kyela walikua na kelele sana, so nilikua naingia mara HKL, HGK, EGM CBG n.k, yani nikiona pana utulivu tu mimi humo humo. Na mwalimu akiingia sitoki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooo.
 
Mimi na rafiki yangu tulikuwa tunaitwa miss Corridor. Ilikuwa ikifika saa 2 usiku mwalimu wa zamu akiondoka tuu na sisi prepo imeisha hapo tutaingia kila darasa, hkl,hge,hgk,pgm,egm,hgl. Darasa la hkl tuliita jumba la starehe full kelele.

Humo kazi yetu ilikuwa kuhamasisha kelele tupige stori pia kuchukua vimemo kutoka kwa mchumba kupeleka kwa mchumba. Hapo kwenye vimemo ilikuwa lazima tuweke kituo tufungue tusome kilichoandikwa ndio tufikishe. Inshort nilikuwa mpiga kelele na mbea maarufu. Nikaja kutulia form six baada ya kupenda kwa mara ya kwanza[emoji1][emoji1][emoji1] nikaacha na tabia zote.
 
Nilikuwa na misimamo pia ni mtu nisiyependa shobo kikubwa zaidi nilikuwa na heshima hata nikikutwa ofisi ticha hawezi kunipiga mpaka aniulize.

Nilikuwa mbishi sijwahi kupoteza battle haswa advance kubishana ishu za mikoa na mpira...Kingine watu wengi walipenda kuniomba msaada maana nilikuwa nina huruma sana nagawa vitu kibao kama sabuni ,mafuta kweny bweni.

Nilipewa jina la jeshi la mtu mmoja kwani nilikuwa na misimamo binafsi .
 
Nilikuwa mpiga kelele niliyetukuka, mchelewaji marufu mwenye daraja la general, sikuwa na ufauru mzuri kifupi sikuwa nikifanya njema, nilikuwa mpole sipendi kujulikana, kwenye kila tukio baya mimi kuna mchango wangu wa kimawazo, kwa sifa izo nilipachikwa jina la jambazi kuu

Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Sikuwahi kupenda kwenda shule ila nilikuwa na kichwa chepesi hivyo kipindi Cha mitihani nilikuwa na faulu kwa msuli Pepa..

Kipindi nasoma shule ya kidini sikuwa napenda kwenda kanisani..

Nilikuwa napenda sana kula hivyo ni bora niache kipindi nikafuate makoko ya wali...

Nilivyofika shule ndo walau nikawa nasoma soma na hapo ndo nilikuwa nawanyoosha htr..

Mademu walikuwa wananipenda ila sikuwa na mtaji na maghetto ya kula mbususu..
 
Toto lisiloeleweka.. darasani kipanga, halafu kwenye matukio ya hivyo natokea, kwenye matokeo mazuri nimo,kwenye watoro sikosekani. Wenye busara nimo, magumashi huku uchochoroni na wahuni wenzangu tunachoma kushi.. sio mpiga misuli lakini pepa fresh.
Mcheshi nakubalika kote, wanyonge wangu, wahuni wangu.

Primary nilipata msala mzito nikala saana mikwaju na wanangu. Mwalimu wangu wa hisabati alikuwa akinilinda saana kwenye misala misala

O level nikapiga mwalimu nikatimuliwa.
Nikahamia school ya seminary na ni muislam siku sijui wanakula mkate wa bwana nikaunga nikala, wanangu hawana mbavu,
Nikahama 4m 3 nikarudi islamic misala deile, almanusura nitimuliwe hostel, ila walimu wangu wakanitetea nikarudi. Usoni sura ya wema, matokeo mazuri, ila mimi miyeyusho yeyusho tu, kila sekta nimo 🤣

A level sasa 🤣, msala wa kumtia mtu mimba, nikawa sitimbi school, ticha wangu wa physics alikuwa ananikubali kinooma jinsi nilivyokuwa naitendea haki FIZIKIA, sasa akawa hanielewi class hanioni, kimasomo nishashuka kumbe msala wa mimba ushanivuruga, shule ishakuwa ngumu.
Si ndio akanirukia hewani, sauti yake nikaifananisha na demu mmoja nishamsalandia saana kabla ya msala, nikampotezea, siwezi mapenzi ya kuchi kuchi hotae mimi, dah, madam kapiga simu sauti inakuja kuja akaniuliza ushajua unaongea na nani, nikavunga, akauliza tena, nikataja jina la yule mrembo, akawa kama ndio yeye,kilichofata nikashusha punch line za kibabe mnoo, mtoto naona kalainika tu, mwishoooni kabisa madam akataja jina la ubini wangu ........... mie mwalimu wako wewe..
Dah! Nikakosa pozi, akapiga, nikapokea akaniambia kumbe haya ndio yanakufanya una drop school huonekani, lakini ile ilikuwa too late kuniokoa form 6 yote ni kama sikusoma, kwa msala wa mimba.

Namkumbuka saana madam yule kidato cha 5 na 6 mwanzoni alinikubali mnooo, fizilia ilikuwa ni kama nimezaliwa na isac mewton, hiyo mechanics ilikuwa inanitii tu.
 
Nilikuwa sitaki kuonewa.

Nilipiga walimu wawili, mmoja primary, mmoja secondary.

Nilimpiga kibao mtoto wa rais primary kwa sababu alileta mashauzi baba yake rais darasani.

Nilikuwa mtu wa kuwarusha watu kila mtu alinijua.

Siku hizi rafiki zangu wakiniona nimekuwa "model citizen" wanashangaa sana.
 
Shule ya msingi mlimwa dom jina langu lisipoandikwa wapiga kelele list inakuwa fake

Na kwa siku ilikuwa ikipita sijalambwa stiki hiyo ya uongo ntaenda staaf kuomba mwl anichape ndo niende home

Enz mwa mwl john
Ndumbalo
Kadebe
Mwl tambala
Rwebangira katili ( huyu tu nilikuwa sina mzaha naye

Na nilipokaribia kuingia darasa lake nikahama shule
Mikochen a
Huku nikawa nasoma sana na utukutu wa kias
Dingi alikiwa mtata sana



Secondar kusema aibu mwanangu akisoma ila kifupi
Nilikiwa napenda pia kupigana sana kila siku kuanzia primary mpaka sec na chuo mara 2 tu
Ila ndo mtu ambaye nilikuwa mchangamfu shule nzima nisipoenda inajulikana tu kiumbe flan hayup0

Na nilikuwa kipenz sana cha watu

Niligundua haya kipindi nalamba suspension sec walilia sana na chuo pia walilia sana
Ndo nikajua napendwa
 
Nilikuwa sitaki kuonewa.

Nilipiga walimu wawili, mmoja primary, mmoja secondary.

Nilimpiga kibao mtoto wa rais primary kwa sababu alileta mashauzi baba yake rais darasani.

Nilikuwa mtu wa kuwarusha watu kila mtu alinijua.

Siku hizi rafiki zangu wakiniona nimekuwa "model citizen" wanashangaa sana.
Wa kishua toka kitambo.
 
Mpaka nakaribia kumaliza shule, form five walijua mi six na six walijua mi ni five.

Sikua mtoro ila ni watu watano tu kwa shule nzima ndo walifahamu jina langu halisi.

Sikua kipanga wala sikua kilaza, sikua muongeaji wala mpole sana.

Ilihali nilikua PCM lakini nilishasoma kwenye michepuo yote iliyokuepo pale shule. Kuna watoto wa tukuyu na kyela walikua na kelele sana, so nilikua naingia mara HKL, HGK, EGM CBG n.k, yani nikiona pana utulivu tu mimi humo humo. Na mwalimu akiingia sitoki.
watu wa uko wana kelele sana adi darasani kwetu walikuwepo wanakera
 
Nilikuwa mpole sanaa na msiri sanaa sio muongeaji,tulikuwa tunakatazwa kwenda na simu shule, hilaa mm nilikuwa naenda nayo na hamna mtu anajua hata marafiki zangu walikuwa hawajui,siku ukaja msako wakushtukiza nikakutwa simu hamna mtu alihamini kama mimi nilikuwa na simu....afu mwalimu akawa anasoma msg zangu assemble kila mtu ahaamini kama mimi ndo nimekutwa na hile simu na zile msg zinazosomwa ni mm ndo niliyekuwa naandika acheni aibu ilikuwa sio ya kitoto
 
Nilikuwa mpole sanaa na msiri sanaa sio muongeaji,tulikuwa tunakatazwa kwenda na simu shule, hilaa mm nilikuwa naenda nayo na hamna mtu anajua hata marafiki zangu walikuwa hawajui,siku ukaja msako wakushtukiza nikakutwa simu hamna mtu alihamini kama mimi nilikuwa na simu....afu mwalimu akawa anasoma msg zangu assemble kila mtu ahaamini kama mimi ndo nimekutwa na hile simu na zile msg zinazosomwa ni mm ndo niliyekuwa naandika acheni aibu ilikuwa sio ya kitoto
[emoji3][emoji3] pole kama nakuona ulivotamani dunia ipasuke uingie humo ndani? Baada ya assemble maisha yalikuaje waliendelea kukuona mpole[emoji12]
 
[emoji3][emoji3] pole kama nakuona ulivotamani dunia ipasuke uingie humo ndani? Baada ya assemble maisha yalikuaje waliendelea kukuona mpole[emoji12]
nilikuwa maarufu ghafla mzazi akapigiwa simu acha kabisaa hata home walikuwa hawajui kama nina simu kwahiyo ni kasheshe juu ya kasheshe ule mwezi ulikuwa mchungu sana kwangu
 
Mimi na rafiki yangu tulikuwa tunaitwa miss Corridor. Ilikuwa ikifika saa 2 usiku mwalimu wa zamu akiondoka tuu na sisi prepo imeisha hapo tutaingia kila darasa, hkl,hge,hgk,pgm,egm,hgl. Darasa la hkl tuliita jumba la starehe full kelele.

Humo kazi yetu ilikuwa kuhamasisha kelele tupige stori pia kuchukua vimemo kutoka kwa mchumba kupeleka kwa mchumba. Hapo kwenye vimemo ilikuwa lazima tuweke kituo tufungue tusome kilichoandikwa ndio tufikishe. Inshort nilikuwa mpiga kelele na mbea maarufu. Nikaja kutulia form six baada ya kupenda kwa mara ya kwanza[emoji1][emoji1][emoji1] nikaacha na tabia zote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila maisha ya shule bhanaa, uwiiih
 
Back
Top Bottom