[emoji2] [emoji2]Mi bado sijafikisha hicho kiwango. Nadhani ntafikisha nikigonga miaka 60 au 65 hivi mungu akipenda.[emoji18] [emoji18] [emoji18]
Halafu ungefafanua kama ni za wizi au za halali.
[emoji23][emoji23][emoji23] Nadhani kalenga ya halali mkuuMi bado sijafikisha hicho kiwango. Nadhani ntafikisha nikigonga miaka 60 au 65 hivi mungu akipenda.[emoji18] [emoji18] [emoji18]
Halafu ungefafanua kama ni za wizi au za halali.
Ila kumshikia mtu millioni moja yake tayari, mi nsha safisha nyota. [emoji18][emoji23][emoji23][emoji23] Nadhani kalenga ya halali mkuu
[emoji38][emoji38][emoji38]hongeraIla kumshikia mtu millioni moja yake tayari, mi nsha safisha nyota. [emoji18]
Heri mkuu wala hili halina sifaSina uzoefu na hili, nasoma tu comments wadau.