Skorondinga
Member
- Nov 19, 2018
- 20
- 8
Cjawah asee,a wish nkianza forex ntaishika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mengine kuweka humu ni ttzo mkuu naweza fukua makaburi inshort ukipata pesa ktk umri mdogo ukakosa mtu wa kukuongoza ubazikwa mapema lkn kwangu haikua hivyoFunguka mkuu,tupate na experience yako katika life
Anyway nikitulia nitajaribu kutoa ushuhuda japo kidogoNo one knows you mkuu.najaribu kukupata
Funguka kidogo tu
Si kweliSasa hivi nina miaka 34 sijawahi. Ngoja nione huko mbeleni
...Nilikua na 17, nakumbuka kipindi icho dingi ananiagiza bank kumchukulia pesa through ATM en the good thing alikua hataki habari za risiti, Nilikua namuibia sana hivi vi 4mil havikunisumbua kabisa, though saiz namiliki biashara zangu per day naingiza almost 3000k Calculate mwenyewe kwa mwezi naingiza sh ngapi!
Kati ya ulivyovitaja hapo nimeelewa ng'ombe tu, ingawaje sijajua ng'ombe ulimtumia vipi kupata 4M..Mimi nilikua na19 nilitengeneza million4..rider,double punch,ng'ombe,
Ulianza chuo ukiwa na miaka 17 ,la sivyo to a hiyo 20's weka miaka inayoeleweka, yaani kama 29 , 25 au hutaki tujue umri wako, kumbuka muulizaji kataka utaje miaka na siyo range ya miaka.nakumbuka 2010 ndio nme toka tu chuo nikalamba ajira nikapiga deal la 20M nikiwa na umri mdogo early 20's kilichofuatia ni history
Ulimaliza. advance ukiwa na miaka 18 olevel 16 sijui ulikimbilia nini mtaani.?At 21 soon after kumaliza zangu chuo,
Watoto wa mashavuni...Nilikua na 17, nakumbuka kipindi icho dingi ananiagiza bank kumchukulia pesa through ATM en the good thing alikua hataki habari za risiti, Nilikua namuibia sana hivi vi 4mil havikunisumbua kabisa, though saiz namiliki biashara zangu per day naingiza almost 3000k Calculate mwenyewe kwa mwezi naingiza sh ngapi!
Nahisi sasa hivi hata ml1 kuiona mbinde, nimehisi tu lakini....nakumbuka 2010 ndio nme toka tu chuo nikalamba ajira nikapiga deal la 20M nikiwa na umri mdogo early 20's kilichofuatia ni history
Kweli angefafanua mkuu,Mi bado sijafikisha hicho kiwango. Nadhani ntafikisha nikigonga miaka 60 au 65 hivi mungu akipenda. Sio kwa serikali hii.[emoji18] [emoji18] [emoji18]
Halafu ungefafanua kama ni za wizi au za halali.
Hongera mkuu.jitahidi pia kuweka nguvu katika biashara zingine Mungu mwema ishalahMm Nilimpiga Mhindi mwaka huu huu niliweka Elfu 10 nakumbuka Ligi ndo zilikuwa zinaishia ishia hv nikazama Premierbet nikaweka over 2.5 game 7 zote za Italy na zote zilifikisha hayo magoli nikala 1M na upuuzi [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Mpaka leo bado sijabahatisha tena hata ka Laki kila siku inachana mechi 1