Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Njoo nikupe yangu ukaekae nayo kidogo usafishe nyota afu utanrejeshea...[emoji23][emoji23]Sasa hivi nina miaka 34 sijawahi. Ngoja nione huko mbeleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo nikupe yangu ukaekae nayo kidogo usafishe nyota afu utanrejeshea...[emoji23][emoji23]Sasa hivi nina miaka 34 sijawahi. Ngoja nione huko mbeleni
No just anyambulishe aliwezaje kupata pesa ndefu then ni nini kilimkumba ndugu yetu.Ulianza chuo ukiwa na miaka 17 ,la sivyo to a hiyo 20's weka miaka inayoeleweka, yaani kama 29 , 25 au hutaki tujue umri wako, kumbuka muulizaji kataka utaje miaka na siyo range ya miaka.
Njoo nikupe yangu ukaekae nayo kidogo usafishe nyota afu utanrejeshea...[emoji23][emoji23]
Nadhali mhindi kesharudisha ml1 yake na faida juu, kamari hailipi mkuu acha.Mm Nilimpiga Mhindi mwaka huu huu niliweka Elfu 10 nakumbuka Ligi ndo zilikuwa zinaishia ishia hv nikazama Premierbet nikaweka over 2.5 game 7 zote za Italy na zote zilifikisha hayo magoli nikala 1M na upuuzi [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Mpaka leo bado sijabahatisha tena hata ka Laki kila siku inachana mechi 1
Kwangu ndipo ilipo....Niifuate wapi?
Watu kama wewe sio wa kucheza mbali nao,Nadhani 2026
Nitakua naelekea kustaafu!
Kati ya ulivyovitaja hapo nimeelewa ng'ombe tu, ingawaje sijajua ng'ombe ulimtumia vipi kupata 4M..
Tusaidiane mkuu maarifa gani ulitumia hapa ili nasi tutengeneze milioni za kwetu!
Shule.wengi zimetupotezea muda mkuu, anyway ndo ishakuwa tena. No wayMm nakumbuka kipindi hicho nina 17 yrs tu ndio nimetoka kumaliza form 4tu nikaingia kitaa mara editor wa video na nafanya video's shooting vibaya sana msimu wa kipaimara ukaja bhana duh nilizipiga vibaya kuja kucheck account yangu sikuamini na macho yangu pochi nene 2.3mil..matokeo yalivyotoka nikaacha kazi na kuendelea na shule hadi chuo...
Sometimes hizi elimu zinatudanganya sana ningeendeleza game lile nowadays ningekuwaga mbali sana..
3000k per day=3,000,000 ndo ulivo maanisha??...Nilikua na 17, nakumbuka kipindi icho dingi ananiagiza bank kumchukulia pesa through ATM en the good thing alikua hataki habari za risiti, Nilikua namuibia sana hivi vi 4mil havikunisumbua kabisa, though saiz namiliki biashara zangu per day naingiza almost 3000k Calculate mwenyewe kwa mwezi naingiza sh ngapi!
Nme bahatika kusoma nikiwa bado mdogo pia nliruka darasa la sita primary na high school pia nlisoma mwaka mmoja tu kwa walio soma Uganda wanafamu hio kitu, sabbu nlisoma nje ikaniwia vigumu ku apply mkopo nika join UCC nikachukua diploma ya IT basi ile nme maliza tu nikapigiwa simu na site manager mmoja wa kampun flan mgodini uko kanda ya ziwa chanzo cha kufahamiana ni nlifanya field kwao wkt wa masomo yangu ..,.. naendlea.....Anyway nikitulia nitajaribu kutoa ushuhuda japo kidogo
Sahivi unauza tu sio?nakumbuka 2010 ndio nme toka tu chuo nikalamba ajira nikapiga deal la 20M nikiwa na umri mdogo early 20's kilichofuatia ni history