Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni yako mama just enjoyYeah...Glory to God...Am real doing good.still on bed,I havenāt gone to jobš
Asante mrembo uwe na siku njema piaYeah sure...asubuhi njema
Ila kuna madini na yanachekesha menginešWatu walikwepakwepa mno
Hakuna binadamu mwenye rangi ya maji ya kunde.To be honest sijawahi kuwa na ndoto ya kuwa na mke wa aina fulani, kwakweli nasubiria tu yeyote atakaejitokeza nikamkubali naoa, isipokuwa navutiwa na mwanamke mrefu, maji ya kunde, asiejiskia, muelewa na awe na mvuto ki pisi kali pisi kali, ukitaka kujua zaidi kwa nini maji ya kunde njoo inbox mengine ni siri ya ndani hatumwagi mchele kwenye kuku wengi, kwa ufupi tangu nakuwa bachela demu aliyekuwa navutiwa nae ni Tony braxton, ile ndio pisi kali yangu ya ndotoni, nikilala namuota, nikinywa maji namuona ndani ya glass.
Bado, natamani nipate zigo kama lile nilipake mafutaš¤£š¤£š¤£then imetimia
Nini??Naamini umepata cute
Nilikosea kuoa mke Hana wowowo ,basi naona kama wananichanganya ,naweza wahonga hata million walahi,mkia ndio Kila kitu jamani
24hrs sexSijampata ila mpaka ntampata...
Manzi flani hivi Slay Queen,Muonekano wake kila mtu ana mjudge ni (maraya keri) ila deep inside she is a material na ndio wale tunawaita 1 in a million.
Msafi,hard worker,vikuku vingi,hereni kama mtoto wa kihindi ila mkiingia Ndani Ana kubless na Maombi, anakuombea, anaishi kama Jirani ake YESU.
Manzi Flani hiviii mtundu mtundu,sio mshamba,mjafanja,mitego mingiiiii ila ANAJITAMBUA yaniiiiii... Sijui ntaambiwa nimuumbe mwenyewe...
na ntampata... CURRENTLY tunaenda enda ivyo ivyo ngojea mvua inyeshe tuone wapi panavuja