Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

To be honest sijawahi kuwa na ndoto ya kuwa na mke wa aina fulani, kwakweli nasubiria tu yeyote atakaejitokeza nikamkubali naoa, isipokuwa navutiwa na mwanamke mrefu, maji ya kunde, asiejiskia, muelewa na awe na mvuto ki pisi kali pisi kali, ukitaka kujua zaidi kwa nini maji ya kunde njoo inbox mengine ni siri ya ndani hatumwagi mchele kwenye kuku wengi, kwa ufupi tangu nakuwa bachela demu aliyekuwa navutiwa nae ni Tony braxton, ile ndio pisi kali yangu ya ndotoni, nikilala namuota, nikinywa maji namuona ndani ya glass.
Hakuna binadamu mwenye rangi ya maji ya kunde.

Rangi ni mbili tu, aidha awe mweupe ama mweusi.
 
Sijampata ila mpaka ntampata...

Manzi flani hivi Slay Queen,Muonekano wake kila mtu ana mjudge ni (maraya keri) ila deep inside she is a material na ndio wale tunawaita 1 in a million.

Msafi,hard worker,vikuku vingi,hereni kama mtoto wa kihindi ila mkiingia Ndani Ana kubless na Maombi, anakuombea, anaishi kama Jirani ake YESU.

Manzi Flani hiviii mtundu mtundu,sio mshamba,mjafanja,mitego mingiiiii ila ANAJITAMBUA yaniiiiii... Sijui ntaambiwa nimuumbe mwenyewe...

na ntampata... CURRENTLY tunaenda enda ivyo ivyo ngojea mvua inyeshe tuone wapi panavuja
 
Sijampata ila mpaka ntampata...

Manzi flani hivi Slay Queen,Muonekano wake kila mtu ana mjudge ni (maraya keri) ila deep inside she is a material na ndio wale tunawaita 1 in a million.

Msafi,hard worker,vikuku vingi,hereni kama mtoto wa kihindi ila mkiingia Ndani Ana kubless na Maombi, anakuombea, anaishi kama Jirani ake YESU.

Manzi Flani hiviii mtundu mtundu,sio mshamba,mjafanja,mitego mingiiiii ila ANAJITAMBUA yaniiiiii... Sijui ntaambiwa nimuumbe mwenyewe...

na ntampata... CURRENTLY tunaenda enda ivyo ivyo ngojea mvua inyeshe tuone wapi panavuja
24hrs sex
 
Back
Top Bottom