Official nyox
Senior Member
- Jan 29, 2024
- 132
- 278
Aah ndoto ya nimtakae imebuma.....sasa iv nataman kuwa ndoto ya kumpata anaepumua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaAah ndoto ya nimtakae imebuma.....sasa iv nataman kuwa ndoto ya kumpata anaepumua tu
Basi itabidi mukaishi kwenye dunia yenu maana kwa dunia hii kuna maadui wengi wanawazunguka na wanafanya kila njia mufarikiane nikiwemo mimi fisi mtafuna mifupa
Hii mada ilitakiwa kuanzishwa na mtu ambaye ana uzoefu wa ndoa iliyodumu si chini ya miaka 10. Awe bado katika ndoa ili Vijana wajifunze kutoka kwake. Kwa ambao ndoa zilitushinda nadhani aidha tunatafuta wengine wawe kama sie au tuna ji console tu. Ni mawazo yangu tuKwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?
Nashauri hivi, tembelea ndoto yako, usiforce mambo kwa sababu fulani.
Maisha ni wewe, ukiumia ni wewe, ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu, siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.
Je,hapo ulipo unaamani? Au uliingia tu uonekane umeolewa, umeoa? Ulifuata pesa? Ulifuata kazi yake ili Msaidiane kiuchumi? Pesa zipo ila huna furaha ya mapenz? Fanya maamuzi sasa au subiri kifo furaha ukapatie mbinguni.
Mwenyezi Mungu akaponye kila roho siku ya Leo.
NB: Kumbuka mchozi ni dawa pia, lia pale inapobidi kupunguza mzigo wa maumivu moyoni.
NAWAPENDA SANA NDUGU MEMBERS!😍😘
Sawa mkuu,wazo zuri sana🙏🏽Hii mada ilitakiwa kuanzishwa na mtu ambaye ana uzoefu wa ndoa iliyodumu si chini ya miaka 10. Awe bado katika ndoa ili Vijana wajifunze kutoka kwake. Kwa ambao ndoa zilitushinda nadhani aidha tunatafuta wengine wawe kama sie au tuna ji console tu. Ni mawazo yangu tu
Jana na leo
Thank you beautiful girl😘Miss you....how are you doing?