Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Mke fulani hivi aliefungashia besela maalum la kibantu furaha kumuangalia akienda na akiwa anarudi, and I wish Papa God Oh atanishushia mazee akishushwa napiga Pingu ya maisha ulipo mwanakwetu Mama chanja simamapo unisikiepo sala hizi za Toba njoepo nikupigepo Pingu za Maisha
🤣🤣nikupigepo pingušŸ™ŒšŸæ
 
Kwakweli haya Mambo haya ni vichekesho tuu ni ngumu kupata uanacho kitaka!

Kiufupi unaweza agiza shati ukaletewa shati tofauti kabisa lakini unachofanya ni kulipokea na kuangalia utariboresha vipi halafu kisha unalitinga na kuingia nalo mtaani!
 
Kwakweli haya Mambo haya ni vichekesho tuu ni ngumu kupata uanacho kitaka!

Kiufupi unaweza agiza shati ukaletewa shati tofauti kabisa lakini unachofanya ni kulipokea na kuangalia utariboresha vipi halafu kisha unalitinga na kuingia nalo mtaani!
Kabisa mkuu
 
Mapenzi ni hisia, na sio uamuzi. Ukishaanza kujiwekea ndoto ya kuwa na mtu wa aina fulani, maana yake hapo umeondoa dhana nzima ya mapenzi kuwa ni hisia na umeyafanya kuwa uamuzi.

Let love lead, whoever comes as long as hisia zako zimevutiwq nae, mkubali.

NB: "Nyege na hisia ni vitu viwili tofauti"
Nautunza huu ujumbe mkuu!

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa awe na uchi tofauti na wangu... Mengine tutayajenga....
Wengi wamelike na kucheka ...hii Comment... Wengi wenu mnaonifahamu ..Mimi ni mkristo Mkatoliki...at the purest... Na hata kwenye zile comments za kidini ni Ile changamsha genge... Mnaonifahamu mnaonifahamu ...usiyenifahamu jipe muda... AniNi"search tu".... Sisi tumezaliwa tisa...kafariki mmoja ..Tumebaki nane ... Wakristo 5 waislamu 3.. Mke wangu Muislam... Nilipost humu "Nimemuachia Nyumba Mke wangu"... Alirudi yeye na utajiri wao... Na ni waislamu wa Tanga... Kuna mambo Vijana wanatakiwa kuelewa "NDOA NA MAPENZI NI ZAIDI YA KUTOOMBANA.."...
 
Mke fulani hivi aliefungashia besela maalum la kibantu furaha kumuangalia akienda na akiwa anarudi, and I wish Papa God Oh atanishushia mazee akishushwa napiga Pingu ya maisha ulipo mwanakwetu Mama chanja simamapo unisikiepo sala hizi za Toba njoepo nikupigepo Pingu za Maisha
What is blood pressure? Blood pressure is the force of your blood pushing against the
walls of your arteries. Each time your heart beats, it pumps blood into the arteries. Your
blood pressure is highest when your heart beats, pumping the blood.
 
Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?

Nashauri hivi,tembelea ndoto yako,usiforce mambo kwa sababu fulani.

Maisha ni wewe,ukiumia ni wewe,ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu,siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.

Je,hapo ulipo unaamani? Au uliingia tu uonekane umeolewa,umeoa? Ulifuata pesa? Ulifuata kazi yake ili Msaidiane kiuchumi? Pesa zipo ila huna furaha ya mapenz? Fanya maamuzi sasa au subiri kifo furaha ukapatie mbinguni.
Mwenyezi Mungu akaponye kila roho siku ya Leo.

NB:Kumbuka mchozi ni dawa pia,lia pale inapobidi kupunguza mzigo wa maumivu moyoni.

NAWAPENDA SANA NDUGU MEMBERS![emoji7][emoji8]
To be honest sijawahi kuwa na ndoto ya kuwa na mke wa aina fulani, kwakweli nasubiria tu yeyote atakaejitokeza nikamkubali naoa, isipokuwa navutiwa na mwanamke mrefu, maji ya kunde, asiejiskia, muelewa na awe na mvuto ki pisi kali pisi kali, ukitaka kujua zaidi kwa nini maji ya kunde njoo inbox mengine ni siri ya ndani hatumwagi mchele kwenye kuku wengi, kwa ufupi tangu nakuwa bachela demu aliyekuwa navutiwa nae ni Tony braxton, ile ndio pisi kali yangu ya ndotoni, nikilala namuota, nikinywa maji namuona ndani ya glass.
 
Mwanzo utamuona utasema huyu ndiye..!!!
Ingia naye kwenye husiano ndo utajua kumbe nilipuyanga kubeba hii ng’ombe..!!

Mi napenda mwanaume aliyenizidi kila kitu mpk dhambi, ila niliyenaye funga kazi..!!
Imagine mwanaume kanizidi mpk kudeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Unanizungumzia mimi sio?
 
Nilitaka
Mwenza ambae hana marafiki wa kufatana fatana kila sehemu ,mashem shem siwataki kabisa
Hana mambo mengi kichwa kimetulia
Mwenye upendo na heshima
Mwenye kunipa attention yote
Mwenye kujali kwenye shida na raha
Tayari umempata?
 
Ndoto yangu imezima kama mshumaa

Nilikuwa na ndoto ya mwanaume kama yule ila ndio hivyo Mungu hajapenda[emoji174][emoji174]
Wewe umeandikiwa mimi ndio chaguo la mungu wako usilaze mchezo achia boli tulisakate rhumba
 
Back
Top Bottom