Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Una mawazo ya hovyo mxiewwww!!Ngoja siku akikutatua marinda ndo utaelewa
Unafikiri wote wametatuliwa km wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mawazo ya hovyo mxiewwww!!Ngoja siku akikutatua marinda ndo utaelewa
Inataka moyo kudekeza mtu mzima mwenye midevu yake mahi 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwache adeke bana
Nahisi wanaume ambao mama zao hawapo ndio wanadeka sana wanakuwa wanaona wapenzi wao au wake zao ni kama mama zao
Inataka moyo kudekeza mtu mzima mwenye midevu yake mahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi wangu kazidi jamani, anadeka mpk unatamani kumzibua kofi
Hongera, shemeji anafaidi..!!Mi hainisumbui kabisa unageuka tu kuwa mama
Haya bhana ila chunga sanaUna mawazo ya hovyo mxiewwww!!
Unafikiri wote wametatuliwa km wewe
Usiwe na mawazo mabaya muda wote.!!Haya bhana ila chunga sana
Nakueleza reality wanaume tunapenda sex haijalishi ni maku au mdukuUsiwe na mawazo mabaya muda wote.!!
Hao ni wanaume wa majalalani sio wote wana mitabia ya hovyoNakueleza reality wanaume tunapenda sex haijalishi ni maku au mduku
No hata sisi noble family. Angalia Rihanna alivyokuwa na jamaa wa Saudi Arabia alikuwa analiwa kisamvu mda wote akaona akimblie kwa ASAP ROCK ila naye lazima atamfumua marinda asipojiheshimuHao ni wanaume wa majalalani sio wote wana mitabia ya hovyo
Inaelekea unapenda hizo mambo??No hata sisi noble family. Angalia Rihanna alivyokuwa na jamaa wa Saudi Arabia alikuwa analiwa kisamvu mda wote akaona akimblie kwa ASAP ROCK ila naye lazima atamfumua marinda asipojiheshimu
Ukizaliwa mwanamke huna namna lazima uliwe, kama vipi nicheki PMInaelekea unapenda hizo mambo??
Haya mchana mwema, usiniquote tena na hizo habari zako
❤️❤️❤️😘Ndoto yangu kubwa ilikuwa kumpata mwanaume nitakayependana nae sana, yani ile tupendaneeee dunia iwe yetu wawili. Anione mimi, nimuone yeye tu, tupendane hadi uzeeni tutenganishwe na kifo tukiwa bado tunapendana.
Alhamdulillah, nimempata na hakika cha kututenganisha ni kifo tu.
Nakupenda kaka mzuri.
Asante MkuuMapenzi ni hisia, na sio uamuzi. Ukishaanza kujiwekea ndoto ya kuwa na mtu wa aina fulani, maana yake hapo umeondoa dhana nzima ya mapenzi kuwa ni hisia na umeyafanya kuwa uamuzi.
Let love lead, whoever comes as long as hisia zako zimevutiwq nae, mkubali.
NB: "Nyege na hisia ni vitu viwili tofauti"
🤣🤣🤣wee,sema kweli? Anadeka mkaka?😂😂Mwanzo utamuona utasema huyu ndiye..!!!
Ingia naye kwenye husiano ndo utajua kumbe nilipuyanga kubeba hii ng’ombe..!!
Mi napenda mwanaume aliyenizidi kila kitu mpk dhambi, ila niliyenaye funga kazi..!!
Imagine mwanaume kanizidi mpk kudeka 🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️