Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Pendo lenu lidumu daima
Huyu no sahihi kwangu na kwa miaka 15 ya ndoa sijawahi jutia japo hana elimu dunia aliishia la 3 baada ya mzee wake kufariki na mambo kwenda kombo kwenye familia huku mimi nina MSc. Hajui kusoma wala kuandika vizuri ila ni mama bora kwa watoto wetu 5(Me 3 na ke 2) na mke bora na jinsi alivyo huwezi jua hilo.

Nikifikiria kwa jinsi nilivyokuwa mbabe, mgumu na mjuaji. Wale Akina Binti Tilya, Binti Segumba, Yule Binti Masira, Akina Win, Jack, Loveness, Mickness na hata yule Mariam mtoto wa kiruguru nisingewaweza. Sijutii kabisa wala sikumbukagi hao wale yule binti Mfinanga waliokuwaga wapenzi wangu na niliotakaga kuwaoa. She is very humble na kuna muda najishtukia na kubadilika kwa jinsi alivyo. Mungu atusaidie kwa kweli na nimejifunza Mungu anakupa kile unachostahili ila sio kile unachotaka.
 
Huyu no sahihi kwangu na kwa miaka 15 ya ndoa sijawahi jutia japo hana elimu dunia aliishia la 3 baada ya mzee wake kufariki na mambo kwenda kombo kwenye familia huku mimi nina MSc. Hajui kusoma wala kuandika vizuri ila ni mama bora kwa watoto wetu 5(Me 3 na ke 2) na mke bora na jinsi alivyo huwezi jua hilo.

Nikifikiria kwa jinsi nilivyokuwa mbabe, mgumu na mjuaji. Wale Akina Binti Tilya, Binti Segumba, Yule Binti Masira, Akina Win, Jack, Loveness, Mickness na hata yule Mariam mtoto wa kiruguru nisingewaweza. Sijutii kabisa wala sikumbukagi hao wale yule binti Mfinanga waliokuwaga wapenzi wangu na niliotakaga kuwaoa. She is very humble na kuna muda najishtukia na kubadilika kwa jinsi alivyo. Mungu atusaidie kwa kweli na nimejifunza Mungu anakupa kile unachostahili ila sio kile unachotaka.
Hakika,hongera sana
 
Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?

Nashauri hivi,tembelea ndoto yako,usiforce mambo kwa sababu fulani.

Maisha ni wewe,ukiumia ni wewe,ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu,siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.

Je,hapo ulipo unaamani? Au uliingia tu uonekane umeolewa,umeoa? Ulifuata pesa? Ulifuata kazi yake ili Msaidiane kiuchumi? Pesa zipo ila huna furaha ya mapenz? Fanya maamuzi sasa au subiri kifo furaha ukapatie mbinguni.
Mwenyezi Mungu akaponye kila roho siku ya Leo.

NB:Kumbuka mchozi ni dawa pia,lia pale inapobidi kupunguza mzigo wa maumivu moyoni.

NAWAPENDA SANA NDUGU MEMBERS!😍😘
Mapenzi ni hisia, na sio uamuzi. Ukishaanza kujiwekea ndoto ya kuwa na mtu wa aina fulani, maana yake hapo umeondoa dhana nzima ya mapenzi kuwa ni hisia na umeyafanya kuwa uamuzi.

Let love lead, whoever comes as long as hisia zako zimevutiwq nae, mkubali.

NB: "Nyege na hisia ni vitu viwili tofauti"
 
Mwanzo utamuona utasema huyu ndiye..!!!
Ingia naye kwenye husiano ndo utajua kumbe nilipuyanga kubeba hii ng’ombe..!!

Mi napenda mwanaume aliyenizidi kila kitu mpk dhambi, ila niliyenaye funga kazi..!!
Imagine mwanaume kanizidi mpk kudeka 🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Huyu no sahihi kwangu na kwa miaka 15 ya ndoa sijawahi jutia japo hana elimu dunia aliishia la 3 baada ya mzee wake kufariki na mambo kwenda kombo kwenye familia huku mimi nina MSc. Hajui kusoma wala kuandika vizuri ila ni mama bora kwa watoto wetu 5(Me 3 na ke 2) na mke bora na jinsi alivyo huwezi jua hilo.

Nikifikiria kwa jinsi nilivyokuwa mbabe, mgumu na mjuaji. Wale Akina Binti Tilya, Binti Segumba, Yule Binti Masira, Akina Win, Jack, Loveness, Mickness na hata yule Mariam mtoto wa kiruguru nisingewaweza. Sijutii kabisa wala sikumbukagi hao wale yule binti Mfinanga waliokuwaga wapenzi wangu na niliotakaga kuwaoa. She is very humble na kuna muda najishtukia na kubadilika kwa jinsi alivyo. Mungu atusaidie kwa kweli na nimejifunza Mungu anakupa kile unachostahili ila sio kile unachotaka.
Na penzi lend lidumu milele
 
Mapenzi ni hisia, na sio uamuzi. Ukishaanza kujiwekea ndoto ya kuwa na mtu wa aina fulani, maana yake hapo umeondoa dhana nzima ya mapenzi kuwa ni hisia na umeyafanya kuwa uamuzi.

Let love lead, whoever comes as long as hisia zako zimevutiwq nae, mkubali.

NB: "Nyege na hisia ni vitu viwili tofauti"
hapo kwenye NB ngoja nami nikazie zaidi
 
Nilikosea kuoa mke Hana wowowo ,basi naona kama wananichanganya ,naweza wahonga hata million walahi,mkia ndio Kila kitu jamani
Mwanaume, anahulika ya kutoridhika sasa unalalamika kwamba imekosea umeoa mwanamke hana wowo lakini ungeanza kuoa mwanamke mwenye wowo alafu baada ya kuishi naye kwa kipindi cha mda flani ,bado ungeanza kutamani ambaye hana wowo .Chamsingi be content with what you have ,that's crucial component of happiness and psychological well being.
 
Ndoto yangu kubwa ilikuwa kumpata mwanaume nitakayependana nae sana, yani ile tupendaneeee dunia iwe yetu wawili. Anione mimi, nimuone yeye tu, tupendane hadi uzeeni tutenganishwe na kifo tukiwa bado tunapendana.

Alhamdulillah, nimempata na hakika cha kututenganisha ni kifo tu.
Nakupenda kaka mzuri.
 
Mwenye tako flan iv raound so kubwa saana mana sana inaboa
Kama uyu i mean apo ctowah chepuka. Note cjaoa so kama upo humu of this type bas natangaza ndoa chap
 

Attachments

  • Screenshot_20240130-050103_1.jpg
    Screenshot_20240130-050103_1.jpg
    32.7 KB · Views: 4
Back
Top Bottom