ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Yeah, ndio maana nikasema awe na walau50+% ya vile ulivyotamani awe.Lazima at least awe nacho kimojawapo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, ndio maana nikasema awe na walau50+% ya vile ulivyotamani awe.Lazima at least awe nacho kimojawapo mkuu
Umepata. Sema aminaKama anaelimu anizidi,kiuchumi pia anizidi.....nataka mume mwenye sauti juu yangu lakini mtunza familia....siyo kunipanga tu afu mchoyo....hapana
Kikubwa awe na uchi tofauti na wangu... Mengine tutayajenga....Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?
Nashauri hivi,tembelea ndoto yako,usiforce mambo kwa sababu fulani.
Maisha ni wewe,ukiumia ni wewe,ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu,siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.
Je,hapo ulipo unaamani? Au uliingia tu uonekane umeolewa,umeoa? Ulifuata pesa? Ulifuata kazi yake ili Msaidiane kiuchumi? Pesa zipo ila huna furaha ya mapenz? Fanya maamuzi sasa au subiri kifo furaha ukapatie mbinguni.
Mwenyezi Mungu akaponye kila roho siku ya Leo.
NB:Kumbuka mchozi ni dawa pia,lia pale inapobidi kupunguza mzigo wa maumivu moyoni.
NAWAPENDA SANA NDUGU MEMBERS!😍😘
Kaoe kondoo....😂😂😂😂Nilikosea kuoa mke Hana wowowo ,basi naona kama wananichanganya ,naweza wahonga hata million walahi,mkia ndio Kila kitu jamani
Alitaka mnyakyusa mweupe......😂😂😂Tuanze na wewe.
Ulitaka mnyakyusa wa namna gani ?
Mapenzi yanakuja automatically so huwezi jua nani ni naniKwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?
Nashauri hivi,tembelea ndoto yako,usiforce mambo kwa sababu fulani.
Maisha ni wewe,ukiumia ni wewe,ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu,siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.
Je,hapo ulipo unaamani? Au uliingia tu uonekane umeolewa,umeoa? Ulifuata pesa? Ulifuata kazi yake ili Msaidiane kiuchumi? Pesa zipo ila huna furaha ya mapenz? Fanya maamuzi sasa au subiri kifo furaha ukapatie mbinguni.
Mwenyezi Mungu akaponye kila roho siku ya Leo.
NB:Kumbuka mchozi ni dawa pia,lia pale inapobidi kupunguza mzigo wa maumivu moyoni.
NAWAPENDA SANA NDUGU MEMBERS!😍😘