Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Ndoto yangu kubwa ilikuwa kumpata mwanaume nitakayependana nae sana, yani ile tupendaneeee dunia iwe yetu wawili. Anione mimi, nimuone yeye tu, tupendane hadi uzeeni tutenganishwe na kifo tukiwa bado tunapendana.

Alhamdulillah, nimempata na hakika cha kututenganisha ni kifo tu.
Nakupenda kaka mzuri.
Nimuite Kaka mzuri?

Usinijibu Vibaya...Naumwa jino[emoji1787]
 
Daaa point 5 hivii wanipe kids chotaraa weeeee wao sasaaa wanakomaaam lmileleee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwache adeke bana
Nahisi wanaume ambao mama zao hawapo ndio wanadeka sana wanakuwa wanaona wapenzi wao au wake zao ni kama mama zao
Nikikuita my everything ujue namanisha kwel
 
Back
Top Bottom