karonga
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 681
- 1,128
Nakusubiria kwa hamuNikiingia nitakuja kutoa maoni yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusubiria kwa hamuNikiingia nitakuja kutoa maoni yangu
Basi itabidi tujaribu uangalie kama nimekidhi vigezo vyako, pengine sijafikia au nimezidi vigezo, the choice is yours binti mfalmeUje ukiwa full package.
Do you think kama ana tabia ya umalaya utaweza kumbadilisha?????Siyo kila unachokihitaji utapata.
Unaweza mpata mwenye vigezo vyote. Lakink huyo ni wa nje. Wa ndani sasa,baada ya miaka kama 20 akakugeuka.
Binafsi naona mzuri wa sura,poa tu. Kwa sababu tabia unaweza jaribu kumbadilisha,ikishindikana unabaki unajivunia tu uzuri wake basi.
Si kujipa tu moyo! Kila jambo huwa ni kujaribu tu. Ukibahatika,ataficha uovu. Lakini sura,hawezi kuifichaDo you think kama ana tabia ya umalaya utaweza kumbadilisha?????
Your welcomeBasi itabidi tujaribu uangalie kama nimekidhi vigezo vyako, pengine sijafikia au nimezidi vigezo, the choice is yours binti mfalme
Wewe utafaidika nini akiachwa? Kwani wowowo lina nini cha ziada kwenye ndoa? Ni kwa ajili ya kulifanyia nini?Muache
Kaoe mwenye wowowo
Sawa Sawa,hongera....hivo vigezo ulivyoviweka ndiyo ndoto zako Mkuu...sisi wafupi Tukae kwa kutuliaTo be honest sijawahi kuwa na ndoto ya kuwa na mke wa aina fulani, kwakweli nasubiria tu yeyote atakaejitokeza nikamkubali naoa, isipokuwa navutiwa na mwanamke mrefu, maji ya kunde, asiejiskia, muelewa na awe na mvuto ki pisi kali pisi kali, ukitaka kujua zaidi kwa nini maji ya kunde njoo inbox mengine ni siri ya ndani hatumwagi mchele kwenye kuku wengi, kwa ufupi tangu nakuwa bachela demu aliyekuwa navutiwa nae ni Tony braxton, ile ndio pisi kali yangu ya ndotoni, nikilala namuota, nikinywa maji namuona ndani ya glass.
Unaniuliza Mimi tena Lina faida Gani?🙄Wewe utafaidika nini akiachwa? Kwani wowowo lina nini cha ziada kwenye ndoa? Ni kwa ajili ya kulifanyia nini?
😂😂😂Mke asiejua kusoma wala kuandika ili asiweze kusoma sms za michepuko yangu.
Tayari umempata?
Aina ya mwanamke nnaemtaka nmegundua hatopatikana yaan nmekuwa disappointed tayari, sasahivi nmelegeza masharti kikubwa awe anapumua tu sasa NO FUCKING WAY.😓
Weuweeee! NimekwishaYour welcome
Huna ufupi wowote labda tu ulitamani kuwa mrefu zaidi ya ulionao, jikubali tu uko vizuri me mwenyewe nakutolea udenda sema tu labda sijaandikiwa kuwa nawe.Sawa Sawa,hongera....hivo vigezo ulivyoviweka ndiyo ndoto zako Mkuu...sisi wafupi Tukae kwa kutulia
Basi itabidi mukaishi kwenye dunia yenu maana kwa dunia hii kuna maadui wengi wanawazunguka na wanafanya kila njia mufarikiane nikiwemo mimi fisi mtafuna mifupaNdio Yaan yeye na mim tu no marafiki