Ulikuwa na ndoto za kuwa nani utakapokuwa mkubwa? Umeiishi ndoto yako au maisha yamekupeleka kwingine?

Nilitaka sana kuwa mwanasheria/wakili ila maisha yakawa na mipango yake tofauti. Ila nimebahatika kuoa wakili.
 
Kwahiyo ndio umeamua kujitoa ufahamu Mkuu? Sasa ukiota unakojoa ndio umetuambia uliwa unataka kuwa nani?
 
Me nlikua nataka kua traffic tu nipate zangu hela barabaraniπŸ˜‚πŸ˜‚ physics na math zkabadili interest zangu mapema tu I'm taking engineering now
 
Nilitaka kuwa banker na ninashukuru Mungu nimekua banker and a lawyer kwa miaka 10.
 
Me nlikua nataka kua traffic tu nipate zangu hela barabaraniπŸ˜‚πŸ˜‚ physics na math zkabadili interest zangu mapema tu I'm taking engineering now
Kwahiyo ulitakuwa kuwa mla rushwa Mkuu? πŸ˜‚ πŸ˜‚ Hongera kwa kubadili ndoto
 
Huku jf kila mtu utasikia Laywer ,Teacher ,lecture, Pilot ,doctor ,Officer , secretary ,Nurse, ila mkulima na mfugaji huwezi kutaπŸ˜…πŸ˜…
 
Kwanza, Rubani,...pili, Mfanya-biashara mkubwa...
Kwasasa natamani KUFA TU, ila ndo vile nawaonea sana huruma wananitegemea....

NO MATTER WHAT, LIFE IS MEANINGLESS GUYS πŸ₯²πŸ₯²
 
Nilitamani kuwa MD(Doctor), mwisho wa siku nikaona mambo siyo rahisi, nimeangukia huku kama Afisa wa halmashauri, Itabidi iwe sizitaki mbichi hizi, nipige Masters, Then PhD, niwe Doctor wa Cheo sasa, kwenye fani yangu huku, tofauti na Afya kabisa, niliangukia CBG-A-level.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…