Ulikuwa unamjua Linda Bezuidenhout?

Ulikuwa unamjua Linda Bezuidenhout?

mamakibunju

alikuwa ana ana beauty parlor yake maeneo ya kinondoni manyanya pia akiita LAMIA'S SALOON...huyu mbishi wayback
 
Last edited by a moderator:
Muuza Sura

Ndio alikuwa nayo..! Kweli mbishi na mjeshi haswa!Sio hawa madada Du wa siku hzi, kila kitu wanahongwa..!


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
mamakibunju

tru dat!.....kuhongwa siyo kesi sana kwani hata linda naye anahongwa ila uzuri na ujanja wake ni jinsi anavyoisafisha ile hela aliyohongwa kuwa safi!ni kama wauza unga wengine walivyo smart kusafisha pesa zao kwa kufanya biashara zingine!.......siyo kama vicheche wengine ambao hao ndo wamejitoa mazima wanasubiri kuhongwa hata akili ya kufanya million izae jiwe hawana!
 
Last edited by a moderator:
Pia alikuwa na kaka yake mtangazaji na mwendesha mazoezi ya viungo zamani wakiishi wote mitaa ya Sinza karibu Bobs Motel sijui nae kapotelea wapi.Hizi ndio sampuli asilia ya kwa kagame,kuanzia madame Rita,Mama wawili , Linda na yule dada alikuwa rapper mzuri akaishia kwa Mwisho na kwenda zake kwa Obama
Duh umenikumbusha anaitwa Rah P, dada alikuwa mkali huyo kwa sauti balaa na alikuwa na figure nzuri sana. Ila alijikuta akiangukia mikononi mwa Teja huko Marekani na akazalishwa watoto wawili kama sijakosea na kutelekezwa huko.
Mwaka juzi alitoa wimbo mmoja na Alpha yule mnyarwanda mwenzake unaitwa African Swagga, ilikuwa Bonge la wimbo!
 
Mwana Mpotevu
Ewaa MM ndio huyo huyo loo kumbe aliishia kwa teja,ama kweli maisha kizungumkuti,kuna wakati mimi naona game likiwa linakuendea vizuri hapa bongo ni aheri ubaki bongo ambapo umekuwa nyota tayari,Uropa au States sio mchezo kunataka uwe na moyo wa paka maisha si lelemama kama wengi wanavyo dhani.
 
Last edited by a moderator:
Sijaelewa...unamaanisha sisi akina thick legged ni mashangingi au?

Samahani kama nimekukwaza,nilikuwa sijui kama na wewe unamiguu ya kijapan. Lakini nyumbani kwetu wakikuona macho yanawatoka, utasikia, mtoto guu guu.
 
mfianchi

Teja siyo yeye mkuu ni hao mabwana zake wawili ambao ni mwisho na huyo mwingine waliyezaa naye marekani ambaye sa hivi inasemekana yule jela kwa mujibu wa Rah P mwenyewe


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na maneno si ajabu sababu wana damu ya Kizaramo hata Richard ni muongeaji sana
 
Haki ya mungu tena naomba msaada kwenye tuta! Yaani kila nikijaribu kutamka hilo jina tangu enzi za Rich, nashindwa! Hivi ni Bezu...what? Anayeweza kuweka pronoanciation ya hilo jina?! Dinazarde, kweli ni binamy yako? Nisaidie basi hilo jina manake mnh!

La kikaburu!
 
Last edited by a moderator:
Linda trans enzi hizo mitaa ya Sinza,huyu dada pesa kaishika tokea kitambo sana,nakumbuka ni mmoja ya watu wa kwanza kumiliki vile vigali vilivyokuwa vinafunguka milango kama milango ya ndege,hata Dewji wa Simba enzi hizo akiaminika kama mmoja wa matajiri naye alikuwa nacho,baadaye akawa na bonge la salon kule Kino akina papa Mopao K .Olomide alikuwa anaoshwa kucha huko,sijui bado yupo na yule houseboy wake (serengeti boyz)aliyemuoa na kuondoka naye,huyu dada haishi vioja,kuwa na kila kitu lakini BUSARA ndio kila kitu lasivyo pamoja na mafanikio utaonekana mtu wa hovyo,sijui kama kabadilika huko majuu
Yeah kidg unaonekana unamjua! ki ukweli yu dada ni mpambanaji sana toka 1997 mpaka sasa yuko juu pia uzuri wake uko pale pale!! all the best Linda!!!
 
You nailed it, na Mzee Kimesera hakubaki nyuma na yeye ujana akachukuwa mtoto wa kitasha ndio wamemzaa Mali.

Hawa wapiga porojo wengi ni ule mkumbo wa Zitto na Dr Slaa kumbe hawajui kile chama kina madon wake, ndio kaana huyu dogo Zitto alipoleta ujuwaji simply aliambiwa chama hawezi kukabidhiwa mtu from no where.

Nota bene: Na kipindi hiko hata Freeman Mbowe alikuwa hana jeuri ya kukaa hiyo meza ya Madon yeye kazi yake ilikuwa ni kuandaa makabrasha na kuwa servant tu.

ukiweza kuyajuwa haya ( badly Chadema fuata mkumbo hawaelewi kitu) wala huwezi kupata shida kujuwa kwamba kuwa na vyeti vya vyuo vikuu wala si kuelimika, hapa ndipo utaona usomi wa Zitto na Kitila Mkumbo ni sifuri.

Mkuu@Matola umeua aisee
CC@Ben Saanane@Mungi@Dr Slaa@Mbowe@Tundu Lisu@Mtei
 
Ewaa MM ndio huyo huyo loo kumbe aliishia kwa teja,ama kweli maisha kizungumkuti,kuna wakati mimi naona game likiwa linakuendea vizuri hapa bongo ni aheri ubaki bongo ambapo umekuwa nyota tayari,Uropa au States sio mchezo kunataka uwe na moyo wa paka maisha si lelemama kama wengi wanavyo dhani.
Aliingia Mkenge huyu Rah P akaishia mikononi mwa mwanaume Teja mwisho wa siku yule mwanaume akafungwa jela akamwacha yeye na mtoto akilea. Maisha ya kujilipua States na Ulaya magumu sana sijui wanakimbia nini raha zilizojaa hapa Tanzania wanakimbilia shida za majuu.
 
You nailed it, na Mzee Kimesera hakubaki nyuma na yeye ujana akachukuwa mtoto wa kitasha ndio wamemzaa Mali.

Hawa wapiga porojo wengi ni ule mkumbo wa Zitto na Dr Slaa kumbe hawajui kile chama kina madon wake, ndio kaana huyu dogo Zitto alipoleta ujuwaji simply aliambiwa chama hawezi kukabidhiwa mtu from no where.

Nota bene: Na kipindi hiko hata Freeman Mbowe alikuwa hana jeuri ya kukaa hiyo meza ya Madon yeye kazi yake ilikuwa ni kuandaa makabrasha na kuwa servant tu.

ukiweza kuyajuwa haya ( badly Chadema fuata mkumbo hawaelewi kitu) wala huwezi kupata shida kujuwa kwamba kuwa na vyeti vya vyuo vikuu wala si kuelimika, hapa ndipo utaona usomi wa Zitto na Kitila Mkumbo ni sifuri.

Kwa maana hiyo hawa akina Ben Saanane na Bavicha hawaijui Chadema in deep kiasi hicho bali ni kama watu walio - jump into a band wagon?
 
Kuna dada yao mmoja akiitwa Tas aliwapeleka resi sana mabrazameni wa Obay early nineties.

Ukizuka kwa mzee Kimesera nyuma kwa Mengi pale weekends enzi hizo huwakosi kina Mtei, Makani etc, watu tukafikiri wazee wanakumbushiana tu. Kumbe ndio walikuwa wanapanga mkakati wa kuanzisha CHADEMA.

Leo hii unakutana na watoto wanajifanya wanaijua sana CHADEMA hata ukiwauliza Kimesera nani hawamjui wala historia ya chama hawaijui.

I don't mean to derail, hilo jina la Kimesera limenikumbusha mbali sana Obay.

Asante sana mkuu kwa kunifungua macho kuhusu historia ya Chadema. Endelea kumalizia kuangalia House of Cards
 
Back
Top Bottom