Ulikuwa wapi wakati Ufaransa hii inaitoa nishai Italy Euro 2000

Hawana mpango wowote, Walikaa nyuma mechi nzima wakivizia tu. Bahati ina nafasi yake kwenye michezo.
 
Wachambuzi wengi wa Soka huwa wanadai Euro 2000 ndio michuano bora kabisa kuwahi kufanyika.

Yale mashindano yalikua yana ubora aisee, Portugal na Italy zilikua ni timu bora kabisa zikifuatiwa na Spain na Holland. hawa wafaransa nina wasiwasi walikua wachawi tu
 
Kilikuwa fomu fooo
Daah my best player was Delpieroo
Mzee wa dakika million
 
Darasa la 7
 
France walikua wanacheza mpira wakubahitisha tu. Mechi ya final Totti na Albertini waliwanyanyasa mno uwanjani. huku Inzaghi na Zambrotta wakikosekana uwanjani.

Yaah naunga mkono hoja. Wakati mwingine katika soka unahitaji zaidi bahati
 
Nilikua nna miaka9 wakati wa hii game na nliangalia kwenye tv ya black&white
Ni kweli ufaransa walishinda kwa bahati tu ila walizidiwa sana
 
Mkuu acha utani, hao uliowataja hakuna hata mmoja aliyecheza Michuano ya Euro 2000. Buffon aliumia kidole akakosa michuano, hao wengineo hawakuwepo kwenye Euro 2000 achilia mbali hata mwaka 2006 wakati Italy ananyanyua ubingwa wa Dunia.
Buffon hakuwepo alidaka Fransisco toldo
 
Nlikua form 2 those days,Sebule nzima kuanzia dingi mpaka madogo walikua washabiki wa Italy...mi peke yangu shabiki wa Ufaransa..hadi dk ya 90 nimejikunyata km mtoto yatima...wiltod akatutoa kimasomaso
Abel alifanya nini
 
Duu totti alikuwa man of the match
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…