Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Hahaaaa. Mie sio kwa muhangaiko ule aisee nikajua simu yangu kimeo nacheck MB ninazo kilichobaki nikubadilisha mikao tu mara sitting room mara chumbani mara kibarazani ilimradi tu eti naweza pata network.

Mpaka nakuja kujua kinachoendelea nilijicheka sana aiseee.

Kwa kuwa imesharudi sina budi kusema tugange yajayo.
Hahahaa, pole sana Hajar nimejikuta nimecheka kwa sauti kwa kusoma jinsi ulivyo hangaika, ama kweli ukitaka kujua thamani ya kitu kikutoke kwanza, kwakweli kila mtu alitaharuki kwa style yake kutokana na shambulio la forum hii pendwa, lakini tunashukuru imekaa sawa kwa haraka
 
umetuita sie wambea babu
Kwani mmeacha??
1473425809271-png.396956
 
Duuh! Hongera zako mdogo wangu. Mie nkajua ulikuwa mwendo wa kujaribu jaribu tu mpaka muda ule. Hahaaaa.
Ilipokataa kuanzia saa kumi hadi saa 12 jioni nikaachana nayo, nilikula Dinner mapema nikashiba sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , kuanzia shiba na uchovu wa kutwa nzima kwa Jamhuri nikajikuta niko hoi, nikaamua kulala ili nijiweke kwenye msawazo.

Bahati nzuri nilishtuka majira ya mid night ndio nikakuta imerejea kidogo na mimi nikaingia japo kwa mbinde.
 
Back
Top Bottom