Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ooh (ndio) asubuhi (nika)ingia na kukuta hamkulala.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ooh (ndio) asubuhi (nika)ingia na kukuta hamkulala.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
davet hatukumuona mtot huyu kwa ubusy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa usipoingiza yote utamu na watoto watapatikanaje???
Nilipona hiki kicheko nikakumbuka msg yako [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji2][emoji2]
Hahahaa, pole sana Hajar nimejikuta nimecheka kwa sauti kwa kusoma jinsi ulivyo hangaika, ama kweli ukitaka kujua thamani ya kitu kikutoke kwanza, kwakweli kila mtu alitaharuki kwa style yake kutokana na shambulio la forum hii pendwa, lakini tunashukuru imekaa sawa kwa harakaHahaaaa. Mie sio kwa muhangaiko ule aisee nikajua simu yangu kimeo nacheck MB ninazo kilichobaki nikubadilisha mikao tu mara sitting room mara chumbani mara kibarazani ilimradi tu eti naweza pata network.
Mpaka nakuja kujua kinachoendelea nilijicheka sana aiseee.
Kwa kuwa imesharudi sina budi kusema tugange yajayo.
Umemuonaeee. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usitupoteze wala nini [emoji23][emoji23]
Kwakweli tumependwa
Hahahaaaa. Hivi ulilala saa ngapi kaka?Sie nilikuwa too much hahahahahaha
asante kwa kutupendaKwa kweli ni full upendo yani mpaka raha, nimewapenda wote
Sio wewe honey...Khaaaa
sitaki kusema uongo [emoji85][emoji85][emoji85]Kweli kabisa Dada yangu
Huyo mtoto anashida kwakwelidavet hatukumuona mtot huyu kwa ubusy
Ilipokataa kuanzia saa kumi hadi saa 12 jioni nikaachana nayo, nilikula Dinner mapema nikashiba sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , kuanzia shiba na uchovu wa kutwa nzima kwa Jamhuri nikajikuta niko hoi, nikaamua kulala ili nijiweke kwenye msawazo.Duuh! Hongera zako mdogo wangu. Mie nkajua ulikuwa mwendo wa kujaribu jaribu tu mpaka muda ule. Hahaaaa.
Hahah!Nilipona hiki kicheko nikakumbuka msg yako [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Haya bana rafiki.
Umeona ee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jf ina raha bana jamaani. Tuwe wakweli tu.
pindi atakapo wajilia mtukufu wa jamaa zenu basi mtukuzeni tushamkirimu mdog wanguMkirimu kama kawaida yetu
Yaani wacha rafiki. [emoji85] [emoji85]Leo jf ipo hujaniumiza masikio
[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usitupoteze wala nini [emoji23][emoji23]