Hahahaaaaaa. Duuh.Nilimkumbuka sana dada yangu kipenzi Hajar na jamaa zangu akina mbalizi1 Davet hazard cfc bila kumsahau Mama Sabrina Demiss maliyamtu na wengine wengi sana
Kuna watu nawahis jana tumekutana instergram hahahahaha tulifurahi sana na kwa majonzi tukaanza kupita story za huku na kutaka majina ya member wa huku
Hata mie nlikuwa nawanyapianyapia,kuna kamoja kazurizuri hiviSalama jamani yaan jana kwenye acc ya jf insta nimekuta members wa jf wanalalamika yaani nilitamani tu kuwajua jamani
Polee mamii...now mambo ni freshNimenunu gauni na viatu on line. Si kwa kuboreka kule
Hahah!! Sio siri huu ni ugonjwa wajameni ila wewe ndio umezidi mana sio ulivyokua unanisumbua utadhani mimi ndio MaxHahaaaa. Kwema aiseee.
Kila nikikumbuka nacheka yaani. Jf imetulemaza yaani. Lol
Poleni sana mkuuYani hicho ndicho nilichokuwa nakumbana nacho hasira huwa inanishika mpaka simu naichukia
Hahhahah hauwezi shambuliwa tena max kasemaGud sana, naona tumekutana tena sasa tuutumie haraka haraka kabla haujashambuliwa tena
Nimejikuta naifananisha JF na mpenda ngonoShida sana kuzoea jf
Sio kwa kuchungulia kulee[emoji13] [emoji13] [emoji13]Ushawahi tayarii
Salama jamani yaan jana kwenye acc ya jf insta nimekuta members wa jf wanalalamika yaani nilitamani tu kuwajua jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uliwaonaje watu acc zipo privateHata mie nlikuwa nawanyapianyapia,kuna kamoja kazurizuri hivi
Kweli kabisa mkuuJf imekuwa kama maisha yangu sasa..jana niliboreka sana..tujitahidi kuilinda hadhi ya JF
YeaahJf imerudi? Asante Mungu
Hapa sasa nimekuona upo sawaUshawahi tayarii
Nimefika rafiki, vipi lakini kwema jamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Niliona na mm nilihisiKuna mmoja anaitwa Putin watu wakaanza kumshuku kuwa Ni putini wa huku nimechoka sana jana hahahahahaha
Hahahaaaa. Pole rafiki ndio shida ya kuwa na MB zisizokwisha.Hahah!! Sio siri huu ni ugonjwa wajameni ila wewe ndio umezidi mana sio ulivyokua unanisumbua utadhani mimi ndio Max
HahahaSio kwa kuchungulia kulee[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nimeenda acc ya twitter
Aweke picha[emoji23] [emoji23][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ulibadili hadi mkao??
Ningefurahi akifanya hivyoAweke picha[emoji23] [emoji23]
Hahahaaaaaa. Duuh.
Kumbe mlihamia Insta?