Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Joto la jiwe....TRA ina collwct tsh13 trillion na budget yenu ni tsh33 trillion...duh!!!watu wa pesa za ndani ni noma lwel
Kuna kitu kinaitwa "government acounting" kinafundishwa darasani. Mtu aliye soma hiko kitu akiona hilo swali lako lazima akucheke.
 
Kuna kitu kinaitwa "government acounting" kinafundishwa darasani. Mtu aliye soma hiko kitu akiona hilo swali lako lazima akucheke.
Najua nilichokilenga hapo...usiniona labda mm ni mbumbumbu...sasawa
 
Umekielewa kwanza nilichokiandika..au leo jiwe ana wa monitor na remote zake...bwahahaa..tsh20 trillion mtazitoa wwpi...bwahaa...jamani watu wa pesa za ndani
Zungumzia hili la kupanga bajeti kubwa nje ya uwezo wenu mkitegemea kukopa, ninyi ni failed state kabisa
 
Joto la jiwe....TRA ina collwct tsh13 trillion na budget yenu ni tsh33 trillion...duh!!!watu wa pesa za ndani ni noma lwel
KRA inakusanya 1.8 trl, na bajeti yenu ni 3.1trl. Nusu kwa nusu. Hahahahaha, Hahahahaha.
 
Someone finances his budgets with his own money while the other depends on grands and donations. What a shame!
 
Wuhuhuuuuu!!!eti nusu kw nusu...bwahahaa...
Only a 1/3...

Kizazaa ni pale ambapo TRA haijafikisha htanusu ya bajeti...maskini
Hahahahaha, 1.8/3.1 = 0.54. Hahahahaha, Hahahahaha. Mnategemea kukopa na kuomba chakula. Failed state at its best.
 
Someone finances his budgets with his own money while the other depends on grands and donations. What a shame!

Hahahahaha, mnawaza kukopa hata kabla budget haijaanza. Failed state ninyi.
 
Yeyote anayepanga bajeti inayojitaji fedha toka nje yake, NAYE NI KAMA KENYA TU
 
Kama Mkenya bajeti ya Kenya ingekuwa $14b na ile ya Tz $30b, ningetokwa povu Kama vile joto la jiwe kwa wivu mwingi hadi nifungue uzi ilimradi nimwage povu majungu yanitoke.
 
Someone finances his budgets with his own money while the other depends on grands and donations. What a shame!

Hahahahaha, failed state ninyi, mnapanga budget kubwa wakati hamna pesa mnategemea kukopa
 

Hahahahaha, failed state ninyi, mnapanga budget kubwa wakati hamna pesa mnategemea kukopa
Wuhuhuuuu...jamaaa wa pesa za ndani...tsh 20billion...yani more than a half unategemea mkopo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama Mkenya bajeti ya Kenya ingekuwa $14b na ile ya Tz $30b, ningetokwa povu Kama vile joto la jiwe kwa wivu mwingi hadi nifungue uzi ilimradi nimwage povu majungu yanitoke.

Hahahahaha, wajinga ninyi hamna pesa mnategemea kutembeza bakuli.
 

Hahahahaha, Hahahahaha
Vp tbc...hawajajadili kuhusu tsh20billion km zitatoka wapi...ama mkulu atawatimua...bwahahaa...

Jamaa wa kufadhiliwa bajeti hao...kisha mnawasimanga mabeberu...wakati more than a half ya bajeti mnafadhiliwa...maskini ldc[emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]
 
Wuhuhuuuu...jamaaa wa pesa za ndani...tsh 20billion...yani more than a half unategemea mkopo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leta ushahidi, Tanzania is not failed state like Kenya. Tumewajengea reli Uganda, tunaenda kuwajengea barabara DRC, bure kwa pesa yetu. Hahahahaha
 

Hahahahaha, wajinga ninyi hamna pesa mnategemea kutembeza bakuli.
Wuhuhuuuu...tsh 20billion mtafadhiliwa na akina...nani...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Leta ushahidi, Tanzania is not failed state like Kenya. Tumewajengea reli Uganda, tunaenda kuwajengea barabara DRC, bure kwa pesa yetu. Hahahahaha
Hhhhhh!!!basi km sio mkopo mabeberu watawafadhili km kawaida yenu....haki ya nani...ldc n ldc tu
 
Back
Top Bottom