Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Vipi...mmeshapata mgao wa hela kutoka kw waume zenu mabeberu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna uwezekano Uganda wakaomba tuwapelekee SGR hadi Kampala, ni chini ya 200Km kutokea Rusumo, mpaka wa Tanzania na Rwanda, wakiomba tutawajengea. Hahahahaha, Hahahahaha,.
Kenya mkiomba chakula tutawapa, bure kabisa, Hahahahaha, Hahahahaha
 
20 trillion mtatoa wapi.. 20 trillion ni almost 1 trillion Kes.. Yani budget yenu ni ndogo but deficit ni kubwa kushinda kenya
Kwa mujibu wa bajeti ya Tzn 12 trion shs ndizo zitakopwa na misaada ya wahisani,trion 8 ni from other sources of revenues from ministries,districts,utalii,madini charges etc so hoja hapa ni je 12 trion ni deficit kiasi gani?
 
Kuna uwezekano Uganda wakaomba tuwapelekee SGR hadi Kampala, ni chini ya 200Km kutokea Rusumo, mpaka wa Tanzania na Rwanda, wakiomba tutawajengea. Hahahahaha, Hahahahaha,.
Kenya mkiomba chakula tutawapa, bure kabisa, Hahahahaha, Hahahahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ccm katika ubora wao...always out of topic...
Nkuulize...mmeshapata grants...au bado mgao wa ldc haujatoka...ngojeni ration ya bajeti bana
 
Kwa mujibu wa bajeti ya Tzn 12 trion shs ndizo zitakopwa na misaada ya wahisani,trion 8 ni from other sources of revenues from ministries,districts,utalii,madini charges etc so hoja hapa ni je 12 trion ni deficit kiasi gani?
Tsh20 trillion mtatoa wapi...jiulize hilo swali kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani zaidi ya nusu ya bajeti unangojea mgao wa hela kutoka kw waume zenu...ldc ni ldc kwel
 
Kuna uwezekano Uganda wakaomba tuwapelekee SGR hadi Kampala, ni chini ya 200Km kutokea Rusumo, mpaka wa Tanzania na Rwanda, wakiomba tutawajengea. Hahahahaha, Hahahahaha,.
Kenya mkiomba chakula tutawapa, bure kabisa, Hahahahaha, Hahahahaha
Dar to rusumo...bwahahaaaa!!
Cheki hyo distance kwanza...alafu unambie km mfanyibiashara gani mwenye akili timamu atatumia port ya dar...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1128052
Screenshot_20190615-134350_Opera%20Mini.jpeg
 
Dar to rusumo...bwahahaaaa!!
Cheki hyo distance kwanza...alafu unambie km mfanyibiashara gani mwenye akili timamu atatumia port ya dar...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1128052View attachment 1128054
It will be 50% cheaper than Mombasa route, the train will be 20% faster than Kenyan route. Kwahiyo njia ya Dar itakuwa "cheaper and faster, hivyo ndivyo vitu vinavyohitajika katika biashara. Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
 
It will be 50% cheaper than Mombasa route, the train will be 20% faster than Kenyan route. Kwahiyo njia ya Dar itakuwa "cheaper and faster, hivyo ndivyo vitu vinavyohitajika katika biashara. Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
It will be cheaper...bwahahaa....wacha cheaper..hta kw bure hawaezi...bwahahaaa
 
Someone finances his budgets with his own money while the other depends on grands and donations. What a shame!
$3.6 billion ya SGR ndiyo mradi mkubwa kuwahi kutokea Kenya... 🤣 sisi bwawa tuu ni $3.9 billion, SGR wala hatuizungumzii.
 
Manake miradi yote ya magu bado iko under construction tu
 
Manake miradi yote ya magu bado iko under construction tu
Sasa kwani Magu ana muda gani tangu aingie madarakani, na hiyo miradi kawaida inajengwa ndani ya miaka mingapi?. Ila ile ya muda mfupi umeshaanza kazi, kama ununuzi wa ndege na ufufuaji wa route ya Dar to Kampala.
 
Sasa kwani Magu ana muda gani tangu aingie madarakani, na hiyo miradi kawaida inajengwa ndani ya miaka mingapi?. Ila ile ya muda mfupi umeshaanza kazi, kama ununuzi wa ndege na ufufuaji wa route ya Dar to Kampala.
Weeee..koma...dhamira ya ndege sio kuoiga boda bod..ni kupaa overseas
 
Mimi ni mtanzania , lakini sioni taabu kukubali kuwa Kenya wametuzidi kwa kila hali , sasa sisi tuko LDC group nao ni uchumi Wa kati, hiyo ni evidence kuwa kwa takwimu zozote utakazoleta hazitafuta ukweli kuwa Tz tuko nyuma ya Kenya. Binadamu mkamilifu unakubali udhaifu wako kwanza halafu unajipanga, nifanye nini ili nimfikie Jirani. Kutengeneza takwimu za uongo huwezi kufuta ukweli kuwa Kenya wako mbele yetu. Wenye hatimiliki ya Uzalendo mtanishambulia lakini haitaondoa ukweli kuwa Kenya collects more revenue that Tanzania licha ya kwamba wao ni wachache kuliko sisi 45m/sisi 52m. Naomba wajuzi wanijulshe kuwa ni vigezo gani wanatumia kuita Kenya ni failed state, na je hizo sifa Tz hatumo.? Kwa sababu zile sifa kama coletion of revenue , democracy, per capita income , bajeti yao hawalipi madeni makubwa kila mwezi kama Tz. Sasa ni creteria ipi tunahalalisha sisi sio failed state ,bali wao ni failed state. Nataka nigoogle sifa za failed state niwajibu wazalendo vipofu niwaelimishe mkinishambulia
 
Evidence Kenya sio failed state angalia budget yao imejikita zaidi kwenye kilimo elimu na afya ndio vipa umbels vyao sisi huku ni miundombinu tu , kwahiyo wao wanapata huduma nzuri za vigezo hivyo. Watanzania tukipata ukame mwaka mmoja tu, kama wakenya hata kuandika humu JF hatuwezi. Kennya wana mapungufu yao ya ukabila lakini ni failed state,, I beg to difer.. Uvumilvu Wa Kenytta matokeo yalipofutwa ni kigezo cha serikali inayojiamini, sisi hats kupinga matokeo tu mahakamani ni maruku. Tujifariji tupendavyo iila Kenya wako juu yetu kwa vigezo vyote. Anayebisha alete ushahidi sio povu LA semi literate mkadhani matusi kuzuia Mawazo huru ndio ushindi Wa hoja, siyo.
 
Evidence Kenya sio failed state angalia budget yao imejikita zaidi kwenye kilimo elimu na afya ndio vipa umbels vyao sisi huku ni miundombinu tu , kwahiyo wao wanapata huduma nzuri za vigezo hivyo. Watanzania tukipata ukame mwaka mmoja tu, kama wakenya hata kuandika humu JF hatuwezi. Kennya wana mapungufu yao ya ukabila lakini ni failed state,, I beg to difer.. Uvumilvu Wa Kenytta matokeo yalipofutwa ni kigezo cha serikali inayojiamini, sisi hats kupinga matokeo tu mahakamani ni maruku. Tujifariji tupendavyo iila Kenya wako juu yetu kwa vigezo vyote. Anayebisha alete ushahidi sio povu LA semi literate mkadhani matusi kuzuia Mawazo huru ndio ushindi Wa hoja, siyo.
Unaumwa na mavi wewe, hujui lolote unalozungumza kazi yako kupiga kelele tu, angalio KILIMO kilivyodharauliwa kwa kyoewa pesa kidogo wakati tayari Kenya imeshakumbwa na njaa, wakenya wanalalamika kutokana na pesa kidogo iliyopelekwa ktk kilimo eti wewe unapayuka hovyo, rudi ktk forum za udaku, huku sio mahali pako
 
Back
Top Bottom