Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Unaumwa na mavi wewe, hujui lolote unalozungumza kazi yako kupiga kelele tu, angalio KILIMO kilivyodharauliwa kwa kyoewa pesa kidogo wakati tayari Kenya imeshakumbwa na njaa, wakenya wanalalamika kutokana na pesa kidogo iliyopelekwa ktk kilimo eti wewe unapayuka hovyo, rudi ktk forum za udaku, huku sio mahali pako
Tuta, tuna...ndo wimbo wenu
Btw how much have you budgeted for your electric train this financial year?
 
Unaumwa na mavi wewe, hujui lolote unalozungumza kazi yako kupiga kelele tu, angalio KILIMO kilivyodharauliwa kwa kyoewa pesa kidogo wakati tayari Kenya imeshakumbwa na njaa, wakenya wanalalamika kutokana na pesa kidogo iliyopelekwa ktk kilimo eti wewe unapayuka hovyo, rudi ktk forum za udaku, huku sio mahali pako
Huo ndo ushahidi uliompa
 
Tuta, tuna...ndo wimbo wenu
Btw how much have you budgeted for your electric train this financial year?
Andaa passport, November uvuke mpaka uje usafiri kwa kutumia "the first bullet train in Africa". Vipi ninyi, ndio mumeshindwa kumalizia lile reli lenu la kuzamani mumelitelekeza pale porini?
 
Evidence Kenya sio failed state angalia budget yao imejikita zaidi kwenye kilimo elimu na afya ndio vipa umbels vyao sisi huku ni miundombinu tu , kwahiyo wao wanapata huduma nzuri za vigezo hivyo. Watanzania tukipata ukame mwaka mmoja tu, kama wakenya hata kuandika humu JF hatuwezi. Kennya wana mapungufu yao ya ukabila lakini ni failed state,, I beg to difer.. Uvumilvu Wa Kenytta matokeo yalipofutwa ni kigezo cha serikali inayojiamini, sisi hats kupinga matokeo tu mahakamani ni maruku. Tujifariji tupendavyo iila Kenya wako juu yetu kwa vigezo vyote. Anayebisha alete ushahidi sio povu LA semi literate mkadhani matusi kuzuia Mawazo huru ndio ushindi Wa hoja, siyo.
Kenya is a failed state according to international criteria, sio according to you or me.
 
The International Monetary Fund and World Bank plus UNDP all rank Tanzania an LDC country .Hii Kenya imewashinda mbali in military budget,national budget ,life expectancy ,Human Development Index na zinginezo.
Hahahahaha, hivyo vyote sio criteria ya kuwa failed state, soma vizuri hii link iliyoonyesha Kenya ni failed state ndio utajua vigezo vilivyotumika. Huna sababu ya kulia, mbona sisi hatukatai kwamba ni LDC. Kenya ni failed state, na Tanzania ni LDC, Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha
 
Hahahahaha, hivyo vyote sio criteria ya kuwa failed state, soma vizuri hii link iliyoonyesha Kenya ni failed state ndio utajua vigezo vilivyotumika. Huna sababu ya kulia, mbona sisi hatukatai kwamba ni LDC. Kenya ni failed state, na Tanzania ni LDC, Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha
Duh!!km umekubali nyinyi ni ldc....basi hapa jf unapiga kelele ya nn...jinga ni jinga tu yani...

Yani uko hapa kubishana na middle income...hata nyani hawezi compare ldc na middle income...

Najua hii comment itakuuma...sasa mwaga povu
 
Duh!!km umekubali nyinyi ni ldc....basi hapa jf unapiga kelele ya nn...jinga ni jinga tu yani...

Yani uko hapa kubishana na middle income...hata nyani hawezi compare ldc na middle income...

Najua hii comment itakuuma...sasa mwaga povu
Niko hapa kuwaonyesha kwamba ninyi ni failed state, hampaswi kujibizana na sisi, ninyi kundi lenu ni Somalia, Yemen, Afghanistan, South Sudan, na Africa ya kati.
 
Niko hapa kuwaonyesha kwamba ninyi ni failed state, hampaswi kujibizana na sisi, ninyi kundi lenu ni Somalia, Yemen, Afghanistan, South Sudan, na Africa ya kati.
Hao wote uliowataja ni ndugu zenu wa ldc...santa sana kw kuwatambua nduguzo
 
Hao wote uliowataja ni ndugu zenu wa ldc...santa sana kw kuwatambua nduguzo
LdC ni kundi la nchi nyingi sana duniani, lakini failed states zipo 9 tu dunia nzima. Kumbuka kigezo cha kuwa LDC ni kimoja tu, kutifikia kiwango cha pesa, lakini failed state ni kutofikia vigezo vingi sana vya maisha. Security, corruption, inequality, healthcare, unemployment, peace, na vinginevyo vingi tu, ndio sababu zipo nchi tisa duniani kote. Mumeshindwa hata na Burundi haimo. Hahahahaha, hahahahaha.
 
LdC ni kundi la nchi nyingi sana duniani, lakini failed states zipo 9 tu dunia nzima. Kumbuka kigezo cha kuwa LDC ni kimoja tu, kutifikia kiwango cha pesa, lakini failed state ni kutofikia vigezo vingi sana vya maisha. Security, corruption, inequality, healthcare, unemployment, peace, na vinginevyo vingi tu, ndio sababu zipo nchi tisa duniani kote. Mumeshindwa hata na Burundi haimo. Hahahahaha, hahahahaha.
Naona umemtaja ndugu yako mwngine...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ldc..
 
Naona umemtaja ndugu yako mwngine...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ldc..
Wewe ndugu zako ni, Somalia, Yemen, South Sudan, Afghanistan, Central Africa Republic, Syria, Kenya, na Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
 
Wewe ndugu zako ni, Somalia, Yemen, South Sudan, Afghanistan, Central Africa Republic, Syria, Kenya, na Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
Hawa si umeshawataja tayari bro...au nikuletee wengine...hhhh[emoji1784][emoji1784][emoji1784]
 
Kutengeneza takwimu za uongo huwezi kufuta ukweli kuwa Kenya wako mbele yetu. Wenye hatimiliki ya Uzalendo mtanishambulia lakini haitaondoa ukweli kuwa Kenya collects more revenue that Tanzania licha ya kwamba wao ni wachache kuliko sisi 45m/sisi 52m.
Wanaotengeneza takwimu za uongo ni Kenya kwa kuwa takwimu zao haziakisi uchumi wa wakenya (Kibera, dondora).
Naomba wajuzi wanijulshe kuwa ni vigezo gani wanatumia kuita Kenya ni failed state, na je hizo sifa Tz hatumo.? Kwa sababu zile sifa kama coletion of revenue , democracy, per capita income , bajeti yao hawalipi madeni makubwa kila mwezi kama Tz. Sasa ni creteria ipi tunahalalisha sisi sio failed state ,bali wao ni failed state. Nataka nigoogle sifa za failed state niwajibu wazalendo vipofu niwaelimishe mkinishambulia
Failed state ni nchi isiyo tawalika, huko Turkana raia wanatembea na AKs kama hawana akili nzuri na serikali haina hata habari na yanayoendelea huko. Nchi nyingine yenye mambo kama hayo ni Somalia.
Evidence Kenya sio failed state angalia budget yao imejikita zaidi kwenye kilimo elimu na afya ndio vipa umbels vyao sisi huku ni miundombinu tu , kwahiyo wao wanapata huduma nzuri za vigezo hivyo. Watanzania tukipata ukame mwaka mmoja tu, kama wakenya hata kuandika humu JF hatuwezi. Kennya wana mapungufu yao ya ukabila lakini ni failed state,, I beg to difer..
Kama bajeti inajikita kwenye kilimo mbona kila mwaka watu wanakufa kwa njaa? Kuhusu huduma za afya ndo wala usiseme, wakenya wengi huja Tanzania kutibiwa kansa. Wakati wao wanaagiza madaktari toka Cuba, sisi tunagundua aina mpya ya kutambua vijidudu vya TB kwa kutumia panya ambao wamefundishwa kutambua kama kohozi lina bakteria wa TB au la. Tena panya hao wanauwezo wa kutambua haraka na kwa usahihi kuliko kufanya X-ray scan.
 
Wanaotengeneza takwimu za uongo ni Kenya kwa kuwa takwimu zao haziakisi uchumi wa wakenya (Kibera, dondora).

Failed state ni nchi isiyo tawalika, huko Turkana raia wanatembea na AKs kama hawana akili nzuri na serikali haina hata habari na yanayoendelea huko. Nchi nyingine yenye mambo kama hayo ni Somalia.

Kama bajeti inajikita kwenye kilimo mbona kila mwaka watu wanakufa kwa njaa? Kuhusu huduma za afya ndo wala usiseme, wakenya wengi huja Tanzania kutibiwa kansa. Wakati wao wanaagiza madaktari toka Cuba, sisi tunagundua aina mpya ya kutambua vijidudu vya TB kwa kutumia panya ambao wamefundishwa kutambua kama kohozi lina bakteria wa TB au la. Tena panya hao wanauwezo wa kutambua haraka na kwa usahihi kuliko kufanya X-ray scan.
[/QUOTE]
What can a poor man from a poor country tell Kenya?. A country that can't even finance its budget but only depends on grands from other country. A country that Kenya gives a donation of ksh 100m. A country that is professional in being lazy and killing albinos and a sorcery level next to none.
 
Back
Top Bottom