Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
27
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua kidogo mkuu20
Ila kuwahi na kuchelewa lipo nje ya uwezo wa kiumbe hai awaye yote...
Unatuuliza ili iweje wakati wewe hutaki kutuambia?Inakuwaje wanaJamiiForums
Kama ilivyo tamaduni yetu WanaJf kushea experience lengo ikiwa ni kuhamasishana kujenga familia, kupeana moyo n.k.
Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata kwa bahati mbaya au kwa makusudio. Je, uliwahi au ulichelewa?
Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata ukiwa na umri gani?
Pongezi MkuuAisee umenikumbusha mbali kidogo miaka ileee..nikiwa std seven ..siku ya graduation si tukapewa time ya kucheza disco vumbi na maticha...ilipofika saa moja disco likasitishwa ikabidi turudi home...alooo! Njiani tukawa na ratifa ambae ni graduate mwenzangu...acha aanze kunishikashika kitoto...mara anuguse guse na vichuchu vyake mchomozo aloooo!...ghafla mnara ukasoma 5g mara paaaaaa tunajikuta ndani ya pagale tukavunja amri ya Saba!...alooo kumbe tayari mimba...nakuja kuingia form one July tayari naitwa baba.. Nilisherekea my 15th birthday nikiwa naitwa Father...Alooooo....Leo tukitangulizana na Binti angu utafikiri mdogo wangu hatari yan
Tukakae kwa shangazi yako? Halafu unakuta shangazi yako mwenyewe BICHWA KOMWE - si ntakufwaaa 🤣🤣🤣🤣Ndio mkuu, na nitahamia na my love Lamomy
Shangazi yangu n woman of the people hvy Hana shidaTukakae kwa shangazi yako? Halafu unakuta shangazi yako mwenyewe BICHWA KOMWE - si ntakufwaaa 🤣🤣🤣🤣
Dah sasa watoto watatuita bibi na babu 😔Mi ntazaa nikifika 40 km Ashanti 🤣🤣🤣
Mhmm!! Thubutuuu!! Wapare walivyo wachoyo na roho za kwann!! Mfano mzuri dada wa taifa 😂😂😂Shangazi yangu n woman of the people hvy Hana shida
🤣🤣🤣🤣 Km huna pesa lazima wakuone babu yao.Dah sasa watoto watatuita bibi na babu 😔
Yule dada ameharibikiwa na uzunguMhmm!! Thubutuuu!! Wapare walivyo wachoyo na roho za kwann!! Mfano mzuri dada wa taifa 😂😂😂
Watoto siku zote wanajua wazazi wao wana pesa, ila ww ndio unajua vile niko hoi 😂🤣🤣🤣🤣 Km huna pesa lazima wakuone babu yao.
🤣🤣🤣 Watoto wa ss hivi wanajua, tafuta pesa ohh.!!Yule dada ameharibikiwa na uzungu
Watoto siku zote wanajua wazazi wao wana pesa, ila ww ndio unajua vile niko hoi 😂