Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuuuuhh!!!! Nani? Mimii???? 😹😹🤣🤣🤣 hajui km ww unapenda papuchi
🤣🤣🤣 eeeh jamani wizo!! Ko ukiletewa papuchi huli?Akuuuuhh!!!! Nani? Mimii???? 😹😹
Akuuuh
😂😂😂😂 nakulaje bila meno jamanii sitaki usagajiii 🙈🙈🤣🤣🤣 eeeh jamani wizo!! Ko ukiletewa papuchi huli?
🤣🤣🤣 Hii naenda kuchekea kitchen wizo😂😂😂😂 nakulaje bila meno jamanii sitaki usagajiii 🙈🙈
tuko sambamba mm nlipata nkiwa na 23 ila hakua ridhki alifariki ila nami soon navuta jiko 25 sasaMim bado bilabila mzee
Ila soon nachukua jiko
25yrs
18Inakuwaje wanaJamiiForums
Kama ilivyo tamaduni yetu WanaJf kushea experience lengo ikiwa ni kuhamasishana kujenga familia, kupeana moyo n.k.
Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata kwa bahati mbaya au kwa makusudio. Je, uliwahi au ulichelewa?
Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata ukiwa na umri gani?
Huyu Bichwa Komwe najikuta tu for no reason napenda sana reply zake kumbe ni "Ke"🤣🤣🤣 Hii naenda kuchekea kitchen wizo
Unaomba kwa maana ya kulea or?Mwenye watoto watatu naomba mmoja,..jinsia yeyote asiwe mlafi
Ni ke huyo mkuu 😂Huyu Bichwa Komwe najikuta tu for no reason napenda sana reply zake kumbe ni "Ke"
Kama umepangiwa kupata mtoto utapata tuu No matter what time it'll take lakini utapata and if hukuandikiwaFafanua kidogo mkuu