Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Huna bwana au Mungu ajakubarikiI wish jaman
Ni pm nikugaie mmoja, mana nnao wengiI wish jaman
Nianze tu kulea watoto wa mwanmk mwngne nayey yupoNi pm nikugaie mmoja, mana nnao wengi
Njoo PM malaikaNianze tu kulea watoto wa mwanmk mwngne nayey yupo
Joanah kuwa makini na hichi kiumbe😆Mimi ndo Kwanza Nina miaka 28 ila Nina watoto watano niliozaa na wanawake tofauti tofauti, Yaani kila mtoto Ni ana mama yake.
Ndo wap ukoNjoo PM malaika
PM maana yake ni Private Message.. Angalia apo juu kuna kibox cha SmsNdo wap uko
Ndio maana una akili za bangi bangiSina mtoto na wala sitegemei
Nakaa kwetu na nina miaka 52, wala sitegemei kuhama labda baba ndio ahame aende kwao
Nihame kwenda wapi akati hapa ndio kwetu ?