majam19
JF-Expert Member
- Nov 13, 2024
- 900
- 971
Mmh hadalani siwez kusema wee pm me nkupe fact Kisha utakuja kuniamin nakwambiaZipi hizo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh hadalani siwez kusema wee pm me nkupe fact Kisha utakuja kuniamin nakwambiaZipi hizo!
Mh!PM siji umesema hadharani toa jibu hadharaniMmh hadalani siwez kusema wee pm me nkupe fact Kisha utakuja kuniamin nakwambia
Nop it's Soo enoughMh!PM siji umesema hadharani toa jibu hadharani
HahahaMim mwenyewe najishangaa mademu wananikubali ila nilivyo unawez Cheka ufee
Ulimpataje mkuuu!Sura nzuri, na Kazi na mtonyo usiokauka. Familia bora, alitunzwa vyema. Ila shepu anayo, tabia nzuri anayo.
Long story brother ila nilianze nae akiwa shule Flani ya vichwa bagamoyo kule, Tukawa chuo, tukaingia mtaani, mpaka ajira, mpaka ndoa.Ulimpataje mkuuu!
😂😂😂Kuna wanawake wamependa hii
View attachment 3235596
Duuh ndo maana asee mna historia ndefu nilidhani umemuokota mtaani tuLong story brother ila nilianze nae akiwa shule Flani ya vichwa bagamoyo kule, Tukawa chuo, tukaingia mtaani, mpaka ajira, mpaka ndoa.
Kwa kweli inashangaza, unakuta mwanamke sura ngumu kama ya Diamond enzi ana njaa, eti anakuringia kisa ana tako, mimi uwa naangalia sura ya demu na overall appearance yake, tako hilo nawaachia wafiraji, sina muda nalo.Mwanamke akiwa na tako anajiamini kuliko mwenye degree. Ni hayo tuu.
Tako muhimu mkuuuKwa kweli inashangaza, unakuta mwanamke sura ngumu kama ya Diamond enzi ana njaa, eti anakuringia kisa ana tako, mimi uwa naangalia sura ya demu na overall appearance yake, tako hilo nawaachia wafiraji, sina muda nalo.
Wangu tabiaMambo yamekua mengi wanawake wanapenda hela, wengine wanajenga nyumba za siri, wanaume kataa ndoa wanaongezeka na walio ndani ya ndoa wanachepuka, kila kona ni vurugu.
Wewe huyo bebi wako uliyenaye 2025 ulimchagua kwa kigezo gani?
Nini kilikuvutia, na je bado yuko vile vile au amebadilika?
View attachment 3235584