Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

Hapa ndo waafrika wenzangu wananiacha hoi...Leo wahindi, wazungu na wengineo....wanaikamua nchi/bara letu no body speaks..but somebody is busy telling us sijui wahutu..siji watutsi..and what not..Hivi hii dhambi ya sisi waafrika kuchukiana tuliitoa wapi na tutaitibu vipi? Mpaka leo tunapandikiza chuki za kubaguana kwa kutumia kigezo cha urefu wa pua zetu? if you are a mhutu, mtusi, mmatumbi, mzigua..so what? And sadly..its all over Africa..huu ubaguzi sijui utaisha vipi. But What I can be sure of: Hautusadiii lolote na unazidi kutudidimiza.

An African is the only person who is neither respected at home nor abroad. Yaani tupo tupo tuu! Hivi hii ngozi nyeusi ililaaniwa na nani? Sidhani kama Mungu alifanya hiki kitu. No way, it must be somebody else. Huyo ndo inabidi tumtafute. Ndo mbaya wetu.

Kweli inasikitisha sana kuona mpaka leo watu bado tuna mawazo mgando kama haya..Hivi mtu anayefanana na Obama anaweza kweli kuja hata kugombea ukatibu tarafa kwetu Africa?..cha kwanza tutamhukumu kwa kuangalia sura yake...Ila akiwa ngozi nyeupe..I believe he stands a better chance..ila akiwa na asili yetu..his/her chances are doomed!

Kweli wazungu wametuzidi. Africa and Africans are just a lost case! no matter how we spin it. I said it...kusudi bara letu lisonge mbele..hatuna budi wote kuteketea...vizazi vichipuke upya!

Masanja,

Somo zuri kweli kweli hili...linamfaa sana Paul Kagame na serikali yake inayoongozwa na kabila moja tu...huku makabila mengine yakinyimwa haki ya kushikilia nafasi za juu katika serikali yake.
Pia nadhani linamfaa Museveni ...na wahima(watutsi wa uganda) ambao wanadhani wao ni haki yao kuwa madarakani miaka yote..
 
kuna mtu mmoja anajiita Born Agai Pargan(BAP) nadhani aanweza kuwa hata humu JF kasoma na m7,ulimwengu? na wengine nadhani atakuwa na jibu la uhakika.....

btw sidhani kama uraia wa uliwmengu kwa sasda una maana yoyote....
Yo Yo,
Ni kweli Born Again Pagan alisoma na akina M7 na Jenerali. Ngoja nione kama nina contacts zake NY nimtafute.
 
Somo zuri kweli kweli hili...linamfaa sana Paul Kagame na serikali yake inayoongozwa na kabila moja tu...huku makabila mengine yakinyimwa haki ya kushikilia nafasi za juu katika serikali yake.
Pia nadhani linamfaa Museveni ...na wahima(watutsi wa uganda) ambao wanadhani wao ni haki yao kuwa madarakani miaka yote..

Wembe mkali heshima yako mkuu!
Wewe umeonyesha kuwa unachangia kitu unachokijua vizuri, maana haya mambo yapo kwenye vitabu vingi tu jinsi watusi walivyoingia Rwanda na Burundi, inashangaza watu wanakosa weledi kwa kukosa kupenda kusoma soma... mimi hizi tetesi nilizisikia kitambo tu lakini nikawa na mashaka kuwa huenda ni ubaguzi tu lakini nikaamua kwenda kusoma asili ya watutsi nikaenda pale tanganyika library, sikumbuki kitabu kile kinaitwaje lakini kilikiri tabia zao za kujiona bora na kupenda kutawala. Vilevile kuna kitabu cha Bwana Musiba (UCHU), japokuwa ni riwaya lakini kina ukweli mwingi tu kuhusu historia ya watutsi na tabia yao ya upenda kutawala..japo ni kweli pia kuwa huwezi kumpa adhabu ya kumuua mtu wenye kupenda kutawala sana wenzake....lakini pia ni vizuri kumdhibiti ili atambue utu wa wengine pia.
 
Hapa ndo waafrika wenzangu wananiacha hoi...Leo wahindi, wazungu na wengineo....wanaikamua nchi/bara letu no body speaks..but somebody is busy telling us sijui wahutu..siji watutsi..and what not..Hivi hii dhambi ya sisi waafrika kuchukiana tuliitoa wapi na tutaitibu vipi? Mpaka leo tunapandikiza chuki za kubaguana kwa kutumia kigezo cha urefu wa pua zetu? if you are a mhutu, mtusi, mmatumbi, mzigua..so what? And sadly..its all over Africa..huu ubaguzi sijui utaisha vipi. But What I can be sure of: Hautusadiii lolote na unazidi kutudidimiza.

An African is the only person who is neither respected at home nor abroad. Yaani tupo tupo tuu! Hivi hii ngozi nyeusi ililaaniwa na nani? Sidhani kama Mungu alifanya hiki kitu. No way, it must be somebody else. Huyo ndo inabidi tumtafute. Ndo mbaya wetu.

Kweli inasikitisha sana kuona mpaka leo watu bado tuna mawazo mgando kama haya..Hivi mtu anayefanana na Obama anaweza kweli kuja hata kugombea ukatibu tarafa kwetu Africa?..cha kwanza tutamhukumu kwa kuangalia sura yake...Ila akiwa ngozi nyeupe..I believe he stands a better chance..ila akiwa na asili yetu..his/her chances are doomed!

Kweli wazungu wametuzidi. Africa and Africans are just a lost case! no matter how we spin it. I said it...kusudi bara letu lisonge mbele..hatuna budi wote kuteketea...vizazi vichipuke upya!

Masanja,

Masanja, umekosa penati wakati kipa hayupo!! Kujiuliza na kushea tetesi zio kupandikiza chuki ni sehemu ya kujifunza, hata hao wazungu unaowasifia sana wamebobea katika kujiuliza na kufanya juuchini kuujua kweli! Sio kufumbia macho jambo kwakuogopa kuwa mbaguzi au kupandikiza chuki!
Labda wewe pia fanya uchunguzi kwa wakati wako, je nikweli Mkapa alikuwa MC kwenye harusi ya mtoto wa Ulimwengu? nini sababu ya kweli ya kusambaratika kwa ushoga huo?
Be free, jiulize bila kuwa upande wowote wa shilingi.
 
Mkuu badili Nick yako uitwe MZIZI wa FITINA...
Kama unabisha basi leta proof ya hiyo narrative story yako shekhe

Kamanda vipi? mie kukupa tetesi kosa? basi hii nafasi yatetesi iondolewe!
Wewe tafuta watu wakubwa kubwa/vigogo jaribu kuwa dodosa kuhusu hili watakuambia japo kunaweza kuwa na tofauti kidogo kwenye stori lakini maana ni ileile..
Lapili ndugu yangu, tusiwe tunaishia kwenye JF tu kuchimbua mambo! tusome magazeti,vitabu, mitandao mingine nk...ili tuweze kuwa weledi, bila hivyo kila ukiambiwa usichokijua utasema fitina au uongo nk..
 
Jenerali anaogopwa sana mazee hasa na waandishi ambao humu ni wengi, hivyo nextime uwe mwangalifu usimguseguse!
 
wembe mkali heshima yako mkuu!
Wewe umeonyesha kuwa unachangia kitu unachokijua vizuri, maana haya mambo yapo kwenye vitabu vingi tu jinsi watusi walivyoingia rwanda na burundi, inashangaza watu wanakosa weledi kwa kukosa kupenda kusoma soma... Mimi hizi tetesi nilizisikia kitambo tu lakini nikawa na mashaka kuwa huenda ni ubaguzi tu lakini nikaamua kwenda kusoma asili ya watutsi nikaenda pale tanganyika library, sikumbuki kitabu kile kinaitwaje lakini kilikiri tabia zao za kujiona bora na kupenda kutawala. Vilevile kuna kitabu cha bwana musiba (uchu), japokuwa ni riwaya lakini kina ukweli mwingi tu kuhusu historia ya watutsi na tabia yao ya upenda kutawala..japo ni kweli pia kuwa huwezi kumpa adhabu ya kumuua mtu wenye kupenda kutawala sana wenzake....lakini pia ni vizuri kumdhibiti ili atambue utu wa wengine pia.


umenikumbusha kitabu kinaitwa bahemba empire ni cha historia...
Mtunzi wake jina limenitoka, ila kinaelezea jinsi jamaa walivyo na ndoto ya kutawala ukanda wetu huu wa maziwa makuu...
Lakini bora tutawaliwe na watu hawa kuliko kina waasia
 
Hii sio mara yangu ya kwanza kusema hiki kitu.

Kuna kitu BAHIMA wanakiita BAHIMA EMPIRE ambayo itaunganisha Uganda, Rwanda, Burundi na sehemu za Tanzania Magharibi na DR Congo Mashariki, hii kitu ipo mtake msitake. Sikumbuki vizuri ilikuwa mwezi upi kati ya Machi na Aprili 2009, Kubenea alilizungumzia ktk MwanaHalisi.

Hivi wanajamii mnajua kuwa sehemu kubwa ya UWT ya Rwanda ni WAtutsi waliokulia Tanzania na Uganda? Je mnamjua mkuu wa kikosi cha ulinzi wa rais ambaye ni Kanali (jina limenitoka kidogo) alikuwa TISS-PSU akiwa na nafasi nzuri tu lakini baada ya Kagame kuchukua nchi alirudi KWAO! Je manajua sababu kujaza waTZ ambayo ni ili waweze ku-recruit easily watanzania halisi ili wawafanyie kazi?
Je mnajua kuwa WAHIMA are very good in conspiracy kiasi kwamba wanaweza kuanda mpango utakoa chua miaka hadi hamsini kuzaa matunda?
Kama ni kuitwa mbaguzi, acha niitwe lakini hawa watu hawafai kwani wana tabia za Kiisraeli kwamba wao tu; ndio wao tu wanaositahili kutawala wengine wanafaa kuwatumikia wao tu.

These people they don't deserve to be in any of our security organisations, because they pose a real danger to our nation and entegrity.
 
Kuongezea utamu hapa ni kwamba Mheshimiwa Ulimwengu anakaudini fulani wewe mfuatilie kwa makini utagumdua;

Kwamfano kwenye gazeti la Raia Mwema wiki hii ametoa kama kuponda kwa mifano imani ya wenzie huku akiwa hajagusa kabisa imani yake! kaandika hivi,.
"Yesu Kristo asingewambwa msalabani kama angetulia Nazareti akatengeneza vitanda vya samadari akawauzie wakoloni wa Kirumi"
Akaongezea tena,
"Copernicus asingeuawa kama, badala ya kuwachokoza makadinali, angekubali kwamba dunia ni tambarare, kama meza, na mtu akitembea hadi mwisho wake atadondoka"
Mifano hii kwake ilikuwa ya nini? kwenye imani yake hakuna mifano yenye kutia mashaka? kwamfano angeweza kusema hivi; "Mtume Mohamed, asingeoa mtoto wa miaka sita na kuanza kufanya nae mapenzi akiwa na miaka tisa, utume wake usingekuwa na mashaka" lakini hayo kayaficha, anasema ya wenzake anamaana gani huyu?
siyo mara moja kwake kugusa imani ya wenzake kwa kuponda, kesha fanya hivyo mara nyiingi na hata kutumia kipindi chake cha zamani cha Jenerali on Monday channel Ten.

Naona labda ni kweli ni ile ile ajenda ya siri, anataka watz wagombane ili aweze kushaini.
 
Hii sio mara yangu ya kwanza kusema hiki kitu.

Kuna kitu BAHIMA wanakiita BAHIMA EMPIRE ambayo itaunganisha Uganda, Rwanda, Burundi na sehemu za Tanzania Magharibi na DR Congo Mashariki, hii kitu ipo mtake msitake. Sikumbuki vizuri ilikuwa mwezi upi kati ya Machi na Aprili 2009, Kubenea alilizungumzia ktk MwanaHalisi.

Hivi wanajamii mnajua kuwa sehemu kubwa ya UWT ya Rwanda ni WAtutsi waliokulia Tanzania na Uganda? Je mnamjua mkuu wa kikosi cha ulinzi wa rais ambaye ni Kanali (jina limenitoka kidogo) alikuwa TISS-PSU akiwa na nafasi nzuri tu lakini baada ya Kagame kuchukua nchi alirudi KWAO! Je manajua sababu kujaza waTZ ambayo ni ili waweze ku-recruit easily watanzania halisi ili wawafanyie kazi?
Je mnajua kuwa WAHIMA are very good in conspiracy kiasi kwamba wanaweza kuanda mpango utakoa chua miaka hadi hamsini kuzaa matunda?
Kama ni kuitwa mbaguzi, acha niitwe lakini hawa watu hawafai kwani wana tabia za Kiisraeli kwamba wao tu; ndio wao tu wanaositahili kutawala wengine wanafaa kuwatumikia wao tu.

These people they don't deserve to be in any of our security organisations, because they pose a real danger to our nation and entegrity.

Mkuu, hayo unayo yasema ni kweli kabisaaaa.. nikushuhudie tu kwa macho yangu kwenye myaka ya 1987-90 kule mjini Bukoba, kulikuwa na vijana wengi wahima wakisoma katika shule za secondary nyingi zikiwemo Ihungo, Kahororo, Bukoba sec, Rugambwa, Nyakato, na Ntungamo major seminary na nyinginezo around hapo, waliweza kujiorganise wakasingizia kwamba wana kikundi cha ngoma sijui.. wakatengeneza event ya kuwakutanisha na wakapewa ruhusa mashuleni, kumbe huko wakaenda kujiorganise na kuwaambia vijana wao huko mashuleni wasome vipindi gani kwa ajili ya maandalizi ya kwenda kushika nchi huko kwao..

Na kweli ndivo ilivo kuwa wengi wakaacha masomo ya sayansi japo walikuwa nauwezo sana wakachukua masomo ya arts, kwa mkakati mahsusi wa kwamba baada ya kuchukua nchi wanaenda kufanya kazi fulani!

There after, kwenye myaka ya 2000 nilibahatika kuonana na jamaa mmoja alinishuhudia ukweli wa mipango yao, kwamba kweli walirudi kwao na kweli walishika hizo nyadhifa. Sipendi kwenda ndani zaidi mkuu, lakini ni ukweli mtupu, hawa jamaa wako well coordinated na determined!

Na niwabaguzi wa kufa, Yaani wadada wao ni warembo sana, lakini ukimuoa, kaa tayari hata kaa azae nawewe, atakuja mgeni hapo kwenu atadaiwa ni binamu/kaka/mjomba huyo ndo atakuzalishia watoto wenye pua ndefu utakao walea ukidhani wa kwako! na atahakikisha unasaidia kila jamaa mwenye pua ndefu atakaye kutana naye popote akidai ni 'mwenewachu' Ndugu yangu.

Well pengine si vyema kusema haya but ndo ukweli.
 
Kuna jamaa tulisoma naye mlimani 90's mie nilidhani ni Watz..basi juzi nimekutana naye Ar. ni Mkurungenzi ktk Wizara ya Sheria Rwanda!
 
Kuna jamaa tulisoma naye mlimani 90's mie nilidhani ni Watz..basi juzi nimekutana naye Ar. ni Mkurungenzi ktk Wizara ya Sheria Rwanda!
Mbona wako wengu tu mkuu.City Engineer wa Kigali aliyekuwa Engineer wa Manispaa hapa Dar es salaam amesoma UDSM,kuna Mawaziri si chini ya wawili waliokuwa wanafanya kazi baada ya kusoma hapa UDSM wako kwao.
Nadhani mtakumbuka na scandal ya Col Rusimbi jeshini.
 
kunakosa gani watu kusoma UDSM na kurudi kwao????Mbona wapo watu kibao wanachukua uraia wa Marekani au UK wanasomeshwa bure au kwa mkopo na wakimaliza wanarudi makwao(original) India,Pakistan,China na hata TZ na Kenya???mbona wamarekani au waingereza hawapigi kelele???Kusoma sehemu ingine na kurudi kwenu kuwa Waziri ni Kosa?????tuache ubaguzi usio na msingi???Acheni Warwandese waendeleze nchi yao,kama nchi yenu imewashinda msitafute sababu.....
Habari ndo hio....
 
Ukabila hauna maana yeyote, Sasa maana Mungu ni Mmoja alituumba na kutupa tulivyo navyo hata leo. Muhimu sana ni kujua wengine bora kuliko wewe ndio na Mungu atakuona wewe. Watu wanaiba halafu story zinakuwa ukabila haifai kabisa katika jamii tunayoishi leo. Wema
 
Ukabila hauna maana yeyote, Sasa maana Mungu ni Mmoja alituumba na kutupa tulivyo navyo hata leo. Muhimu sana ni kujua wengine bora kuliko wewe ndio na Mungu atakuona wewe. Watu wanaiba halafu story zinakuwa ukabila haifai kabisa katika jamii tunayoishi leo. Wema


Hahaa.. Wema, karibu na uwe mwema, kwa kuiita spade a spade not a big spoon!
 
umenikumbusha kitabu kinaitwa bahemba empire ni cha historia...
Mtunzi wake jina limenitoka, ila kinaelezea jinsi jamaa walivyo na ndoto ya kutawala ukanda wetu huu wa maziwa makuu...
Lakini bora tutawaliwe na watu hawa kuliko kina waasia

Tatizo (risk) la kutawaliwa na wageni Tanzania na hata Africa (tatizo la utawala kwa ujumla Africa) ni kuwa hakuna mechanisms zinazo hakikisha mtawala anafanya kila jambo kwa manufaa ya taifa (kama ilivyo US, Ulaya, Japan etc). Kwa hiyo mtu yeyote akipata madaraka awe mgeni au mzawa ataweza kuyatumia atakavyo, bila kujali matokeo yake.

Wenzetu ukipata madaraka lazima uhakikishe nchi inafaidikia kwanza, ndio maana France wakaweza kumchagua Sarkozy ambaye ni Myahudi, US wamemchagua Obama ambaye ni black na na hata Fujimori mwenye asili ya Japan aliweza kuchaguliwa kule S. America, alipovurunda wakamsweka lupango.
 
Mbona wako wengu tu mkuu.City Engineer wa Kigali aliyekuwa Engineer wa Manispaa hapa Dar es salaam amesoma UDSM,kuna Mawaziri si chini ya wawili waliokuwa wanafanya kazi baada ya kusoma hapa UDSM wako kwao.
Nadhani mtakumbuka na scandal ya Col Rusimbi jeshini.


Tz tuliwasaidia kujikomboa, wanajeshi wetu wamekufa huko, ni nchi nyingi zinafahamu mchango wetu, wonderful enough, tumewasomesha and slowly tunawaanda tena waje watutawale! good, few and only few will survive, of course those who r determinants knowing what exactly are their roles in this country
 
Tz we needed natioanal ID siku nyingi!!! naona tumechelewa!

Na kuimarisha Immigration Dept yetu maana haka ka-nchi anyone can easily pop in na kufanya atakacho na kutoweka zake. Tunahitaji utaifa imara nadhani.... kule RITA anyone anaweza kupata Tanzanian birth certificate..trust me.
 
Back
Top Bottom