William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Heshima mbele wakuu wote hapa, mchango wangu mdogo:-
1. Ulimwengu alikuwa magazeti ya chama na Mkapa kwa muda mrefu sana, yes ni friends na wanajuana sana tena kwa karibu, lakini only kikazi na sio personal kama Ruhinda na Mushi, au Ngiwilizi walivyokuwa na Mkapa.
2. Kwenye uchaguzi wa 1995 Ulimwengu alipewa nafasi ya kushiriki kwenye kampeni kambi ya Mkapa, alishiriki kikamilifu na walikuwa very close only na namna ya kumanipulate mass kuhusu Mkapa as a person na kiongozi anayefaa na the Mr.clean things, kuwepo kwa Mwalimu ninaamini ndiko hasa kulikomfanya Mkapa kuwajumuisha kina Ulimwengu, Warioba, Butiku, Salim na wengineo wa the hiyo likes, lakini siamini kwamba binafsi in his heart Mkapa aliwataka hawa wote kua karibu naye kisiasa, na alilithibitisha hilo kwenye term ya pili kwa kuwatupa wote nje!
3. Kagame ndiye aliyeanzisha choko choko zilizoishia Balozi Bandora, Ulimwengu, na Mwenyekiti wa zamani wa CCM Bukoba kuambiwa sio raia, kuna a lot of complex things in the middle, Ulimwengu aliishia kuongezewa tu na wapambe wa Mkapa, kwenye hili soo la uraia lakini Mkapa was never involved. Ulimwengu alianza kumshambulia sana Mkapa baada ya kuachwa kwenye kampeni, lakini walioamua kumshugulikia walikuwa ni wapambe wa Mkapa sio yeye binafsi hakuhusika.
4. Wapambe wa Mkapa walilifikisha suala la uraia bungeni, ambako kamati ya ulinzi na usalama ilikubaliana nao kwamba hawa watatu sio raia either wafukuzwe au wapewe nafasi ya kuomba makaratasi upya, Mkapa aliposikia haya akakasirika sana na kufoka sana na kufutilia mbali huu uamuzi wa kamati ya bunge, kwa hiyo wakaendelea mpaka kuwepo kama raia, (nafikiri Ruhinda alihusika sana na huu uamuzi wa Mkapa against bunge). Haikusaidia kitu Ulimwengu akazidisha mashambulizi dhidi ya Mkapa kwenye magazeti yake.
5. Mkapa kwa pembeni akaanza kuwalalamikia wapambe wake kwamba huyu Ulimwengu hana shukrani, ndipo katika kumfuatilia kwamba Ulimwengu anpata wapi kiburi hiki, wahusika wakagundua kwamba alikuwa ni Kagame's man, ndipo siku moja Mkapa akasema sana kwenye mkutano mmoja wkamba hawa waandishi wengine uchwara wanajifanya wanajua huku kumbe wanafadhiliwa na viongozi kutoka nje, tunaweza kuwaomba hao viongozi wa nje waache kuwapa huo ufadhili, haikuchukua muda sana baada ya kuingia kwa Mtandao, Ulimwengu akaanza kwenda chini financially ninaamini Kagame alipewa masharti na somebody kuacha kumfadhili ili mambo yake Kagame yafanikiwe na bongo. Na Mtandao wamekuwa wakimpiga vita sana recently kwa sababu zao wanazozijua wenyewe.
Since then imekuwa ni downhill kwa ulimwengu, lakini najua kuna ndugu yake humu JF angejitokeza kuweka wazi yaliyomjiri.
Respect.
FMeS!
1. Ulimwengu alikuwa magazeti ya chama na Mkapa kwa muda mrefu sana, yes ni friends na wanajuana sana tena kwa karibu, lakini only kikazi na sio personal kama Ruhinda na Mushi, au Ngiwilizi walivyokuwa na Mkapa.
2. Kwenye uchaguzi wa 1995 Ulimwengu alipewa nafasi ya kushiriki kwenye kampeni kambi ya Mkapa, alishiriki kikamilifu na walikuwa very close only na namna ya kumanipulate mass kuhusu Mkapa as a person na kiongozi anayefaa na the Mr.clean things, kuwepo kwa Mwalimu ninaamini ndiko hasa kulikomfanya Mkapa kuwajumuisha kina Ulimwengu, Warioba, Butiku, Salim na wengineo wa the hiyo likes, lakini siamini kwamba binafsi in his heart Mkapa aliwataka hawa wote kua karibu naye kisiasa, na alilithibitisha hilo kwenye term ya pili kwa kuwatupa wote nje!
3. Kagame ndiye aliyeanzisha choko choko zilizoishia Balozi Bandora, Ulimwengu, na Mwenyekiti wa zamani wa CCM Bukoba kuambiwa sio raia, kuna a lot of complex things in the middle, Ulimwengu aliishia kuongezewa tu na wapambe wa Mkapa, kwenye hili soo la uraia lakini Mkapa was never involved. Ulimwengu alianza kumshambulia sana Mkapa baada ya kuachwa kwenye kampeni, lakini walioamua kumshugulikia walikuwa ni wapambe wa Mkapa sio yeye binafsi hakuhusika.
4. Wapambe wa Mkapa walilifikisha suala la uraia bungeni, ambako kamati ya ulinzi na usalama ilikubaliana nao kwamba hawa watatu sio raia either wafukuzwe au wapewe nafasi ya kuomba makaratasi upya, Mkapa aliposikia haya akakasirika sana na kufoka sana na kufutilia mbali huu uamuzi wa kamati ya bunge, kwa hiyo wakaendelea mpaka kuwepo kama raia, (nafikiri Ruhinda alihusika sana na huu uamuzi wa Mkapa against bunge). Haikusaidia kitu Ulimwengu akazidisha mashambulizi dhidi ya Mkapa kwenye magazeti yake.
5. Mkapa kwa pembeni akaanza kuwalalamikia wapambe wake kwamba huyu Ulimwengu hana shukrani, ndipo katika kumfuatilia kwamba Ulimwengu anpata wapi kiburi hiki, wahusika wakagundua kwamba alikuwa ni Kagame's man, ndipo siku moja Mkapa akasema sana kwenye mkutano mmoja wkamba hawa waandishi wengine uchwara wanajifanya wanajua huku kumbe wanafadhiliwa na viongozi kutoka nje, tunaweza kuwaomba hao viongozi wa nje waache kuwapa huo ufadhili, haikuchukua muda sana baada ya kuingia kwa Mtandao, Ulimwengu akaanza kwenda chini financially ninaamini Kagame alipewa masharti na somebody kuacha kumfadhili ili mambo yake Kagame yafanikiwe na bongo. Na Mtandao wamekuwa wakimpiga vita sana recently kwa sababu zao wanazozijua wenyewe.
Since then imekuwa ni downhill kwa ulimwengu, lakini najua kuna ndugu yake humu JF angejitokeza kuweka wazi yaliyomjiri.
Respect.
FMeS!