Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

kunakosa gani watu kusoma UDSM na kurudi kwao????Mbona wapo watu kibao wanachukua uraia wa Marekani au UK wanasomeshwa bure au kwa mkopo na wakimaliza wanarudi makwao(original) India,Pakistan,China na hata TZ na Kenya???mbona wamarekani au waingereza hawapigi kelele???Kusoma sehemu ingine na kurudi kwenu kuwa Waziri ni Kosa?????tuache ubaguzi usio na msingi???Acheni Warwandese waendeleze nchi yao,kama nchi yenu imewashinda msitafute sababu.....
Habari ndo hio....

Swala si kusoma UDSM, tatizo ni kwamba mda wote tuliposoma nao, tukaenda JKT pamoja na kwenda vyuo walidai na kujitambulisha kuwa ni watanzania!!. Ni pale tu Watutsi walipochukua madaraka 1994, walipoonoka na kwenda Rwanda kwa utambulisho wa uraia wa nchi hiyo,hata wale waliozaliwa hapa Tz.
Waliobaki japo wameendelea kuwepo katika taasisi mbali mbali, binafsi na za umma, mguu mmoja uko Tz mwingine uko Rwanda. Na kwa kweli wana uchungu zaidi na nchi ile si hii.Sina tatizo na yule anayeamua kuwa RAIA WA KWELI WA HAPA, pasipo kubeba maslai ya nchi nyingine pia, Hawa ni wachache kama 1/100. Si swala jepesijepesi kama wengi wanavyoonekana kulichukulia
 
Joka Kuu,jina halisi la ulimwengu ni Bwana Twaha Khalfan.Jina la Jenerali Ulimwengu alilichukua ukubwani kwa sababu enzi za ujana wake ndo kulikuwa na vuguvugu la mapinduzi Afrika na yeye alikuwa ni mwanaharakati.Kumbuka siku ya uhuru Desemba,09,1961 wakati bendera ya Tanganyika inapandishwa mjini Bukoba Ulimwengu ndiye aliyesoma utenzi wa Uhuru,upo hapo?
hizi ndio data zisizo na chenga wa zengwe......nilikuwa sijui kama JU jina lake halisi ni Twaha Khalfan......kwa hiyo jamaa ustaadh?
 
Yo Yo,
Ni kweli Born Again Pagan alisoma na akina M7 na Jenerali. Ngoja nione kama nina contacts zake NY nimtafute.
mkuu namuaminia sana huyo jamaa.....huwa anashusha data mpaka nasikia raha......mtafute
 
Swala si kusoma UDSM, tatizo ni kwamba mda wote tuliposoma nao, tukaenda JKT pamoja na kwenda vyuo walidai na kujitambulisha kuwa ni watanzania!!. Ni pale tu Watutsi walipochukua madaraka 1994, walipoonoka na kwenda Rwanda kwa utambulisho wa uraia wa nchi hiyo,hata wale waliozaliwa hapa Tz.
Waliobaki japo wameendelea kuwepo katika taasisi mbali mbali, binafsi na za umma, mguu mmoja uko Tz mwingine uko Rwanda. Na kwa kweli wana uchungu zaidi na nchi ile si hii.Sina tatizo na yule anayeamua kuwa RAIA WA KWELI WA HAPA, pasipo kubeba maslai ya nchi nyingine pia, Hawa ni wachache kama 1/100.

Nakuunga mkono pacenti zote, mtu anajifanya mtanzania kumbe anahangaikia maslahi ya watu wa taifa lingine!!

""Si swala jepesijepesi kama wengi wanavyoonekana kulichukulia""

Pia ni kweli mkuu, kama ni kweli ni pandikizi la Taifa la nje hatua zaidi zichukuliwe ili kujiridhisha kuwa kweli hana madhara kwa ustawi wa taifa letu.
 
hizi ndio data zisizo na chenga wa zengwe......nilikuwa sijui kama JU jina lake halisi ni Twaha Khalfan......kwa hiyo jamaa ustaadh?
Jenerali si mtu wa swala tano lakini mwezi mtukufu huwa anafunga.
 
Binafsi huwa namhusudu sana Jenerali kwa maandishi yake ya kizalendo zaidi kuliko wengi wetu tunaojiita Watanzania. Nadhani kwa sasa anazidiwa na Mwalimu tu kwa maandishi ya aina ile. Marekani, Taifa lenye nguvu kubwa za KIUCHUMI na KIJESHI duniani limewakubali watu wa MATAIFA mbalimbali kuwa raia wa MAREKANI akiwemo Rais wa sasa ambaye baba ni Mkenya. Sheria zetu za URAIA zinahitaji maboresho ili watu wa aina Jenerali tuwe nao wengi tu.
 
Binafsi huwa namhusudu sana Jenerali kwa maandishi yake ya kizalendo zaidi kuliko wengi wetu tunaojiita Watanzania. Nadhani kwa sasa anazidiwa na Mwalimu tu kwa maandishi ya aina ile. Marekani, Taifa lenye nguvu kubwa za KIUCHUMI na KIJESHI duniani limewakubali watu wa MATAIFA mbalimbali kuwa raia wa MAREKANI akiwemo Rais wa sasa ambaye baba ni Mkenya. Sheria zetu za URAIA zinahitaji maboresho ili watu wa aina Jenerali tuwe nao wengi tu.

Hapana.

Binafsi nilikuwa msomaji mzuri wa makala za huyu Twaha ktk gazeti la RAI kipindi kile cha nyuma. Zilikuwa zina contrast vizuri tu juu ya utawala na mapungufu yake..hilo sina tatizo nalo..

Tatizo ni motives behind the man, hili wengi wetu tunapenda kuliavoid..I can imagine hivi: upo vitani ..mpo in pairs, mpo bega kwa bega na mwenzako, mnafika mahala ambapo battle is very critical , mara maadui wamewazunguka and you need to act immediately na mara unashangaa uliyedhania ni mwenzako anakuelekezea na yeye mtutu..??

Nadhani we don't need more surprises, we had have enough of those. Inahitaji tummulike kila mtu na kujiridhisha kuwa kweli ni patna mwema mwenye nia ya dhati.
 
Last edited:
Hapana.

Binafsi nilikuwa msomaji mzuri wa makala za huyu Twaha ktk gazeti la RAI kipindi kile cha nyuma. Zilikuwa zina contrast vizuri tu juu ya utawala na mapungufu yake..hilo sina tatizo nalo..

Tatizo ni motives behind the man, hili wengi wetu tunapenda kuliavoid..I can imagine hivi: upo vitani ..mpo in pairs, mpo bega kwa bega na mwenzako, mnafika mahala ambapo battle is very critical , mara maadui wamewazunguka and you need to act immediately na mara unashangaa uliyedhania ni mwenzako anakuelekezea na yeye mtutu..??

Nadhani we don't need more surprises, we had have enough of those. Inahitaji tummulike kila mtu na kujiridhisha kuwa kweli ni patna mwema mwenye nia ya dhati.
Nilicho na uhakika kwa Jenerali kimoja, msimamo wake usio yumba juu ya RUSHWA na UFISADI. Akigundua wewe ni mnafiki, unalohubiri silo unalofanya, kama ana mtutu( ambao mara nyingi ni kalamu yake), atakugeukia tu tena kwa kasi ya ajabu. Simfagilii kwa suala moja tu kupenda kusomwa kwenye vyombo anavyomiliki yeye tu.
 
Nilicho na uhakika kwa Jenerali kimoja, msimamo wake usio yumba juu ya RUSHWA na UFISADI. Akigundua wewe ni mnafiki, unalohubiri silo unalofanya, kama ana mtutu( ambao mara nyingi ni kalamu yake), atakugeukia tu tena kwa kasi ya ajabu.

Jamaa inasemekana alikuwa kwenye vilinge vya Che Nkapa 1995..how do you explain that mazee...? Baada ya kutoswa akaanza madongo..huyo ndo mtu unayesema anapinga rushwa na ufisadi? Huyu bwana sidhani kama ana jipya kwa sababu kumbukumbu zangu zanambia aliwahi kuwa mbunge wa Taifa huko kipindi cha nyuma kama sikosei (koh koh ..citation needed)..hivyo kama sasa hivi tunavuna ufisadi hata yeye alipanda mbegu kwa namna moja au nyengine.
 
Nilicho na uhakika kwa Jenerali kimoja, msimamo wake usio yumba juu ya RUSHWA na UFISADI. Akigundua wewe ni mnafiki, unalohubiri silo unalofanya, kama ana mtutu( ambao mara nyingi ni kalamu yake), atakugeukia tu tena kwa kasi ya ajabu. Simfagilii kwa suala moja tu kupenda kusomwa kwenye vyombo anavyomiliki yeye tu.

Mzee, hili nadhani siyo kweli.
Huyu jamaa ni mmoja kati ya waandishi waliiogopa kabisa kulitaja jina la Rostam Aziz alipotajwa na DK Slaa kama ni mmoja wa mafisadi wakubwa TZ, alikaa kimya, kimya kama hakusikia vile!!
Hadi hivi leo, anaweza kuandika kisa kinachohusu Rostam lakini hamtaji moja kwa moja, hata ikibidi kuitaja Caspian huwa inakuwa kaazi kubwa! kidogo sasa hivi anajaribujaribu, lakini pia sio kwa ishu za ufisadi, ni kwa ugomvi na Mengi.
Mafisadi anaowaandika ni wale tu aliogombana nao, na wale wanaoonekana kuishtukia "RAI" yake.
Ulimwengu anakila dalili yakuwa na agenda ya siri! acheni ushabiki tafakarini.
 
kumjadili jeneral si vibaya ila kwa nini sasa na si alipokuwa na dhamana ya uongozi maeneo mbalimbali aliwahi kuwa mkuu wa wilaya hai na kwinginepo ?????
 
kumjadili jeneral si vibaya ila kwa nini sasa na si alipokuwa na dhamana ya uongozi maeneo mbalimbali aliwahi kuwa mkuu wa wilaya hai na kwinginepo ?????

Alipokuwa na dhamana ya uongozi ni siku nyingi, na hata JF haikuwepo sasa hivi tunamjadili kwenye JF. Kila kitu kina wakati wake, kuna kuvuna, panda, kulia, kucheka n.k
Hata yeye anawaandama watu kwa wakati tofauti, haanzi nao toka wanazaliwa??
Kuwa makini bwana!
 
Hayo yoote is true;Remember what he did in Tabora?
 
Hayo yoote is true;Remember what he did in Tabora?
 
Hebu ni waulize..serikali ilijua lini kwamba Ulimwengu siyo raia? ni baada ya yeye kushupalia mauaji ya Pemba? au lini? na kama dola ilijua mbona ilikaa kimya na kumpa nyadhifa nzito katika taifa letu? Does it mean haikujua lolote? Otherwise hatufanyi vetting tunavyochukua viongozi?

Hivi leo Rostam akigeukwa na hawa viongozi wetu akavuliwa uraia..tutasema nini? tutashupalia kwamba kweli jamaa siyo raia? na wakati leo ni hawa hawa viongozi wetu wamemkumbatia kwa kila khali? Wakati jamaa analiibia taifa letu kwa kwenda mbele na pesa ana invest Dubai? Hivi ni vita za wakubwa..wananyanganyana uraia..kwa sababu.zao..I can assure..you leo RA akimess up..usishangae wanamwambia wewe ni muirani! TANGU MWAKA GANI SIJUI CHAVDA ALIFUKUZWA NCHINI (KWENYE ILE KESI YA MREMA)........LAKINI MPAKA LEO YUPO NA ANAKULA MAISHA KULIKO WEWE NA MIMI! HII DOUBLE STANDARDS NYINGINE..INAUDHI..

Wakuu mi naona kwamba tunadanganyana hapa, ila sasa wengine tumeshafika mahali tumekataa kuburuzwa na hizi siasa mufilisi za viongozi wetu na watanzania wenzetu wachache. Unajua mtu akiwa masikini ni rahisi kumfanyia manipulation. Lets put to task our leaders. sheria zetu za uraia zitaimarika kama zitaheshimiwa na kutekelezwa bila ubaguzi. Kwa sasa citizenship ni political card za wakubwa. Mtu akitaka kukuengua atasema wewe siyo raia.

USA..mpaka leo kila idara nyeti imejaa wayahudi mpaka White House...na wana uraia wa Israel na USA...wenzetu hawawaogopi...wanawatumia kisawa sawa..tunachotakiwa siyo kuwaogopa au kuwa victimize wale ambao hawakubaliani na sisi..ni kuweka sheria madhubuti ambazo wote tutaziheshimu! Kama mtu kweli siyo raia..afukuzwe mapema...siyo kuona anakupa legitimate criticims ndo unamshambulia.

It is only when nchi kama Tanzania tutakapoacha woga na unafiki, tukakubali hali halisi ya umasikini wetu na kuamua kuweka gloves pembeni tupambane na wengine, especially majirani zetu...tutaishia kulalamika tuu...hata ukiona mtoto mdogo kama akina JANUARY makamba kapata kibarua cha umessenger Ikulu..unalalamika tuu eti kapendelewa...

Inawezekana, tuache uoga! Tuchape mzigo na kuwa open minded!


Masanja,
 
Jamaa inasemekana alikuwa kwenye vilinge vya Che Nkapa 1995..how do you explain that mazee...? Baada ya kutoswa akaanza madongo..huyo ndo mtu unayesema anapinga rushwa na ufisadi? Huyu bwana sidhani kama ana jipya kwa sababu kumbukumbu zangu zanambia aliwahi kuwa mbunge wa Taifa huko kipindi cha nyuma kama sikosei (koh koh ..citation needed)..hivyo kama sasa hivi tunavuna ufisadi hata yeye alipanda mbegu kwa namna moja au nyengine.
Alipokuwa Mbunge wa Taifa ndipo baadhi yetu tulianza kumsikia alipotofautiana na Mzee JSM wakati huo akiwa WM na Makamu wa Kwanza wa Rais juu ya rushwa ilivyokuwa imeanza kujikita serikalini na taasisi zake. Mzee Mwinyi akamzawadia u-DC kwa namna ya kumnyamazisha. Yaliyojiri baada ya hapo Jenerali mwenyewe yupo anaweza kuyaelezea.
 
Jeneral si huwa anahoji sana watu ktk kipindi chake? Nae aitwe na wengine kwenye intavyuu
 
Jeneral si huwa anahoji sana watu ktk kipindi chake? Nae aitwe na wengine kwenye intavyuu

Kweli bwana, ila awe mkweli kabisakabisa. Aseme kama kweli alichukua vijisenti kwa Kagame/Museveni....kwamisingi gani alichukua?
Then, mbona baadhi ya tuhuma za viongozi kama vile JK kuingia madarakani kwa Rushwa anazifumbia macho wakati ziko wazi kabisa!? au anasubiri astaafu? na mengine meengi tu aulizwe......
 
Kama hao watutsi wana mipango mizuri na nyote mnaikubali kwanini tusiige na kuacha haya majungu ya kumjadili MTU ambaye hana madaraka serikalini wala hasababishi watoto kule Mbagala kukaa chini shuleni?
 
Back
Top Bottom