Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Kama hao watutsi wana mipango mizuri na nyote mnaikubali kwanini tusiige na kuacha haya majungu ya kumjadili MTU ambaye hana madaraka serikalini wala hasababishi watoto kule Mbagala kukaa chini shuleni?
Ulimwengu hana tofauti na wasomi wengi wa TZ hawako rational, hukomalia jambo wasilo na maslahi nalo au kama anayehusika sio jamaa yake. Ulimwengu ni kama Shigongo gombana naye ndo utamjua kila siku uko front page. Kuna issues kibao ungetegemea huyu bwana angezikomalia (ufisadi) lakini wapi- ila akiaanza kumlalamikia Magufuli utadhani yeye ndio FISADI nyangumi/papa. Hana tofauti na kina Lwaitama, Bana, Haroub, Shivji ambao hata siku moja huwezi sikia wanasema kuhusu utawala uliopo madarakani- zaidi ya kujadili mambo ya panafric etc.
Mkuu hapa ulishindwa kuwa huru kifikra, wala hukujihangaisha kufikiri sana. Yaani kujua kama ana ajenda ya siri au hana watu wasimjadili?
Vipi mkuu, unakula embe bovu ukiwa umefumba macho ili lisikudhuru!!?
Ndugu;
Sioni lolote la maana kuhusu huyu TWAHA linaloongelewa zaidi ya conspirancy theories kibao zinazokuwa driven humu.
Je mnamjua Kanali KABAYONGA? Huyu ni mkuu wa kikosi cha ulinzi wa viongozi kule Rwanda, lakini alikuwa UWT ulinzi wa vion gozi vilevile.
Aidha kuna taarifa (sio rasmi) kuwa Wamarekani wanawahitaji WAHIMA kwa ajili ya CONSIPIRACY, kwani wamabobea
Mnaosema ukabila semeni tu.[/QUOTE
Inaelekea unataarifa usizokuwa na uhakika nazo jina ulilotaja siyo sahihi japo kuwa linafanana fana hivyo umesikia watu wakisema na wewe ukadandia utakapo weza kutamka jina la huyo kanali labda ndo watu tuuamini unachosema.
Katika mambo ya kinywaji nyakati za mwanzo za utawala wa awamu ya tatu, Jeneral Twaha Ulimwengu alikuwa amekaa mahali akinywa katika kikao chake hicho alionekana kumlaumu sana Raisi wa wakati huo Ben Mkapa kwa kutomteua kuwa waziri wakati kwani wao ni marafiki wakubwa kwani hata kwenye harusi ya mtoto wa Ulimwengu, B Mkapa alikuwa MC!
Sasa kutokana na kuumia kwa kuwekwa benchi au sijui nini... Akaanza kutamka maneno haya;
Kwamba yeye hajali kitu kwani anaamini wao watutsi kunasiku wataiongoza tu dunia, kwani hata mtaji wa Magazeti yake alipewa na ndugu yake (mtutsi mwenzie) Museven rais wa Uganda kama njia ya wao kujiimarisha kutaka kuitawala kwanza Afrika mashariki.... akaenda mbali zaidi kwakusema hata jina la gazeti lake RAI lina maana ya "RWANDESE AGENCIES INTERNATIOALE"!
Sasa, kama mnavyojua bwana... kumbe UWT walikuwepo wakampelekea mkanda mzima bwana Ben Mkapa!
Nasikia Ben ali-mind mno!! Akaamua kuunyofoa uraia wa Ulimwengu!
Haya wengine kwamba ooh, waligombana kwenye pombe nasikia sio kweli... hili ndiyo msingi wa Bifu lisiloisha kati Jenerali na Ben.
Na eti Ulimwengu hatamsamehe Ben ataendelea kumponda lakini msingi wake ni kuharibiwa mpago wake wa RWANDESE AGENCIES INTERNATIOALE!! hapa Tanzania maana alikuwa karibu kabisa kuaminika hadi watu kuanza kumfikiria kuwa raisi ambalo lilikuwa lengo lake kuu!
Story ndefuee!? sorryy
........Jamani hii nimeishawahi kuisikia kama mara mbili tatu hivi kutoka kwa watu wazito tu.....kuna ukweli??!
Na ndio maana Jenerali hadi kesho ana chuki na huyo aliyekuwa rafiki yake kipenzi, kwanza alikuwa campaign manager wake, hizi blabala anazopiga Jenerali siku hizi hasa kuhusu Ben na Magu ni chuki binafsi anazozijua mwenyewe lakini kwa sababu zake binafsi anawalisha sumu Watanzania kwa kujifanya yeye ni mzalendo halisi na hao akina Ben na magu wameharibu nchi.Katika mambo ya kinywaji nyakati za mwanzo za utawala wa awamu ya tatu, Jeneral Twaha Ulimwengu alikuwa amekaa mahali akinywa katika kikao chake hicho alionekana kumlaumu sana Raisi wa wakati huo Ben Mkapa kwa kutomteua kuwa waziri wakati kwani wao ni marafiki wakubwa kwani hata kwenye harusi ya mtoto wa Ulimwengu, B Mkapa alikuwa MC!
Sasa kutokana na kuumia kwa kuwekwa benchi au sijui nini... Akaanza kutamka maneno haya;
Kwamba yeye hajali kitu kwani anaamini wao watutsi kunasiku wataiongoza tu dunia, kwani hata mtaji wa Magazeti yake alipewa na ndugu yake (mtutsi mwenzie) Museven rais wa Uganda kama njia ya wao kujiimarisha kutaka kuitawala kwanza Afrika mashariki.... akaenda mbali zaidi kwakusema hata jina la gazeti lake RAI lina maana ya "RWANDESE AGENCIES INTERNATIOALE"!
Sasa, kama mnavyojua bwana... kumbe UWT walikuwepo wakampelekea mkanda mzima bwana Ben Mkapa!
Nasikia Ben ali-mind mno!! Akaamua kuunyofoa uraia wa Ulimwengu!
Haya wengine kwamba ooh, waligombana kwenye pombe nasikia sio kweli... hili ndiyo msingi wa Bifu lisiloisha kati Jenerali na Ben.
Na eti Ulimwengu hatamsamehe Ben ataendelea kumponda lakini msingi wake ni kuharibiwa mpago wake wa RWANDESE AGENCIES INTERNATIOALE!! hapa Tanzania maana alikuwa karibu kabisa kuaminika hadi watu kuanza kumfikiria kuwa raisi ambalo lilikuwa lengo lake kuu!
Story ndefuee!? sorryy
........Jamani hii nimeishawahi kuisikia kama mara mbili tatu hivi kutoka kwa watu wazito tu.....kuna ukweli??!
Mtutsi lazima amtetetee Mtutsi mwenzake,Wanyankole kabila analodai ni lake Museveni sio kweli yeye ni Mtutsiuongo mtupu....
1) Jenerali ana watato 4, wa tatu wa kiume na mmoja wa kike
2) Hana mtoto aliyeoa au olewa
3) RAI sio Rwandese Agencies Internationale ; kama ungekuwa hivyo si Rostam Aziz angebadilisha jina la Rai baada ya kununua Habari corporation
4) Bifu ya Mkapa na Jenerali ilitokea kwa Mkapa kutopenda yale Jenerali aliyokuwa akiandika magazetini mwake
5) kampuni ya Habari corporations ilianzishwa na Jenerali Ulimwegu, Salva rweyemamu, johnson Mbwambo, gideon shoo na Ben Mhina... museveni hakumpa Ulimwengu huo mtaji
6) Museveni ni mganda
7) Kama huyo Ulimwengu anaamini kwamba watutsi watakuja kutawala siku, si angeenda Rwanda na kujipendekeza kwa Rais Kagame.
8) Jenerali hajawahi kuwa na mpango wa kugombea nafasi ya urais wa Tanzania
Kwa hiyo Ulimwengu(mtutsi) anamchukia Magufuli(mhutu)?au sio?Na ndio maana Jenerali hadi kesho ana chuki na huyo aliyekuwa rafiki yake kipenzi, kwanza alikuwa campaign manager wake, hizi blabala anazopiga Jenerali siku hizi hasa kuhusu Ben na Magu ni chuki binafsi anazozijua mwenyewe lakini kwa sababu zake binafsi anawalisha sumu Watanzania kwa kujifanya yeye ni mzalendo halisi na hao akina Ben na magu wameharibu nchi.
The Kettle Calling a Pot Black..., We jamaa ni mbaguzi alafu unasema wabaguzi wengine ? Au Ubaguzi kwako ni kwa kabila na kabila na mtu mweupe kwa mweusi na sio mweusi kwa mweupe ?Hapa ndo waafrika wenzangu wananiacha hoi...Leo wahindi, wazungu na wengineo....wanaikamua nchi/bara letu no body speaks..but somebody is busy telling us sijui wahutu..siji watutsi..and what not..Hivi hii dhambi ya sisi waafrika kuchukiana tuliitoa wapi na tutaitibu vipi? Mpaka leo tunapandikiza chuki za kubaguana kwa kutumia kigezo cha urefu wa pua zetu? if you are a mhutu, mtusi, mmatumbi, mzigua..so what? And sadly..its all over Africa..huu ubaguzi sijui utaisha vipi. But What I can be sure of: Hautusadiii lolote na unazidi kutudidimiza.