Imetimia takribani wiki mbili sasa tangu niwaahidi kuwa na rcva za strong srt 4922. Napenda kuchukua nafasi hii kukuj ulisheni kuwa sasa rcva hizo ninazo. Nyote mnakaribishwa. :majani7::majani7::majani7:
View attachment 92925
View attachment 92927
Niwashukuru wote mlio niunga mkono kwa kununua rcva zangu. Aidha naendelea kuwahimiza wengine kupata rcva hizo ili kufaidi ulimwengu wa fta sat tvs.
Mkuu Arselona samahani naomba kuku-uliza yafuatayo:- Je nikitumia receiver ulizosema unazo ni chanel gani ninazoweza kupata ambazo kwenye mediacom 930 sizipati? Kwenye dishi la ft6 uelekeo wa 68.5 E. Asante.
Niwashukuru wote mlio niunga mkono kwa kununua rcva zangu. Aidha naendelea kuwahimiza wengine kupata rcva hizo ili kufaidi ulimwengu wa fta sat tvs.
Kwa wapenzi wa mpira, movies drama, comedies wrestling nk. mnaweza wasiliana nami kwani kuna mengi ya kuwashirikishenei offline. Msiache
Kwa wapenzi wa mpira, movies drama, comedies wrestling nk. mnaweza wasiliana nami kwani kuna mengi ya kuwashirikishenei offline. Msiache
Kama ni kwa cband ni channels zote ambazo ni za dvb-s2. Kama ni kwa ku-band utakosa hizi SABc1, 2, 3 and e.tv
Mkuu naomba kuuliza nitawezaje kupata card ya my tv africa na aljeezira sport maana nina receiver ya strong model 4663x maana ina sehem ya kuchomeka card kama zinapatikana wapi na zinauzwa bei gan?
hello Arselona. nategemea kukuunga mkono kwenye rst 4922 soon. thanx kwa utaalam wako. Channels gani ambazo naweza kuzipata kwenye nilesat 101, 102 na badri4/5/6 26e ambazo humax ir2000hd inashindwa kuzifungua ukiacha zile za AD sports na JSC cards? plz
Kwa hiyo, nikinunua hiyo receiver yako ntaipata e.tv na sabc 1,2,3 for free with 6 ft satellite dish?kama ndiyo gharama ya hiyo receiver ni how much?
Mtuko2. Kadi za JSC sports zinaweza kupatikana pale JJN Shop. hilo duka lipo kkoo dsm, nyuma ya jengo la Simba SC kuna mtaa flan mfupi unatazamana na mlango wa DDC social hall.